Posts

Showing posts from February, 2021

UPEPO MBAYA UNAOKUMBA NYOTA DALILI AINA ZAKE NA SULUHU

Image
KAMA ni mfuatiliaji mzur wa makala zangu neno upepo mbaya ki nyota hakitakuwa geni masikion mwako. Leo nitafafanua walau kwa uchache ukisikia upepo mbaya kinyota huwa inamaanishwa nini. Na daliki zake ni zipi na nini ukifanye ukishajigundua una tatzo hilo fuatailia makala haya mpaka mwisho anayekuletea chambuzi hizi ni Mtabibu ASILI TZ. Upepo mbaya ni hali inayoikumba nyota yako yaweza kuwa haki ya muda bimaana katika mzunguko wa sayar ikatokea siku hyo nyota yako ikakumbwa na upepo. Pia kuna hali ya makadirio yaana michezo ya kufanywa na watu sasa hali hii hudumu kwa muda mrefu kwako kama hukuweza kuikabili mapema. Ila ile mzunguko wa sayat huwa ni siku hyo ymtu basi. Ukisoma chambuzi mfano nikisema leo haitakuwa nzur kwako ila choma fisho la nyota yako kinachomaanishwa kuna upepo mbaya utaipitia nyota yako mambo yako mengi yatakuwa na mkwamo wakati mwingine huvuruga mpaka mapenz ila siku ikipita mambo yanarud kama mwanzo na ule mkwamo huisha. Sasa ukiona nmesema kipindi h