Posts

Showing posts with the label uzazi

MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZA KISASA NA MATATIZO YAKE

Image
KWA KAWAIDA KABISA KUNA MADHARA MENGI YANAYOTOKANA NA NJIA YA UZAZI WA MPANGO MWANAMKE ANAWEZA AKAPATA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJA KUMSABABISHIA MAMBO MAKUBWA KAMA KUTOSHIKA UJAUZITO KABISA AU KUZAA KWA OPARESHENI. NA PIA NYONGA HUWEZAKUGEUKA NA KUWA ZA KIUME. KITENDO CHA DAMU YA HEDHI KUBAKI NDANI YA TUMBO HUWEZA KUSABABISHA UCHAFU AMBAO UNAWEZA UKASABABISHA UVIMBE TUMBONI. zamani wazee wetu walikuwa wakitumia za asili ambazo ziliwapa matokeo mazur bila madhara yoyote yake. KUna njia nyingi za kisasa za uzazi wa mpango zenye madhara makubwa kwa mtumiaji. Zifuatazo ni baadhi na madhara yake. MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA   Kuna madhara mengi makubwq sana ila fahamu kwa uchahe kuwa kuna usumbufu hedhi, Kuumwa kichwa mara mara Kizungu zungu Kichefu chefu Kuongezeka uzito usiokuwa na faida. MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA Huathiri fuko la uzazi kwa ndan, Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga, Kuumwa kichwa mara mara. Kupata kichefu che

NJIA TATU RAHISI ZA KUMALIZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Image
Uhali gani mpenzi wa makala zetu kupitia mitandao ya kijamii. Tumefanya vzur kwenye makala ya kupunguza unene wa mwili na sehemu zake, kuongeza nguvu za kiume na mambo mengine kama umepitwa unaweza kutembelea kwenye wall yetu utajifunza mengi. Kwa wale wafuatiliaji wa makala za njia ya uzazi wa mpango za asili utazipata kwa utuo kwenye group la afya ya uzazi kwa njia za asili na ufafanuzi kuhusu matumizi ya nyonyo waweza nitafuta mwwnyeqe nikuelekeze jns ya kutumia achana na makachero wa mitandaoni. Uvimbe kwenye kizazi kitaalamu hujulikana kama 'uterine fibroid au uterine myoma'. Ni uvimbe ambao hutokea kwenye misuli laini ya mji wa uzazi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 hadi 50. Hii inatokana na sababu zinazosababisha ugonjwa huu ambao hukaa kwenye mfuko wa uzazi wa mwanamke. Kuna vimbe nyingi tumboni lakini Leo tunazungumzia uvimbe katika mfuko wa uzazi wa mwanamke. ZIFUATAZO NI SABABU ZA UVIMBE  Kutumia njia za uzazi wa mpa

TATIZO LA KUKOSA WATOTO KWA WANAWAKE NA WANAUME NA SULUHU YAKE

Image
Mara nyingi kwenye ndoa kukitokea tatizo la kutopata mtoto lawama anapewa mwanamke kuwa ndo chanzo cha tatizo hilo. imejengeka hivyo toka enzi na enzi ila hakuna ukweli wowote tatioz linaweza kuwa kwa yeyote kati ya hawa. MIMBA INATUNGWAJE ILI mimba itungwe inatakiwa yai la mama limepevuka na liwe tayari kurutubishwa na manii yaliyokomaa kutoka kwa baba. Watu hawa wanapokutana mwanaume anapomwaga manii yake hupita kwa kasi kwenye mirija ya uzazi kuelekea yalipo mayai ili kuanza urutubishaji TUKIO HILI LIKIENDA KAMA ILIVYOPANGWA MIMBA HUWEZA KUTUNGWA ILA PAKIWA NA TATIZO SEHEMU YOYOTE MIMBA HAWEZI KUTUNGWA. SABABU ZINAZOPELEKEA KUTOSHIKA UJAUZITO KWA MWANAMKE 1. kuziba kwa mirija ya uzazi 2. mayai kutopevuka kwa wakati 3. matatizo ya chango 4. majini na ibilisi 5. uzalishaji wa mayai kuwa mdogo pamoja na mambo mengine SBABU ZA MWANAUME KUKOSA UWEZO WA KURUTUBISHA YAI LA MAMA 1. kukosa nguvu za kiume 2. manii dhaifu I3. kuumwa kwa muda mrefu 4. majini na maibilis 5. upigaj