Posts

Showing posts with the label miti dawa

MIZIZI YA MLAZALAZA LUFYAMBO KATIKA DAWA ZA MAPENZI

Image
MLAZALAZA LUFYAMBO  KATIKA MAPENZI MTI unaouona pichani nishauzungumzia mara kadhaa kwenye makala zilizopita leo nitazungumzia mizizi yake katika mapenzi Hapa ni mpenzi bimaana mke mume au mtu unayejamiiana nae fuata taratibu zifuatazo Amka asubuhi ukiwa msafi bimaana kama umelala na mwenzio basi ujitwayarishe  vzuri usiwe na janaba hedhi wala nifasi Elekea eneo lenye mti huo pichani ukifika gonga hodi sema wewe mlazalaza nmekuja kumlaza fulani bin fulan au fulan bint fulan utachuma majani na kung'oa mizizi kadhaa huku ukiendelea kunuia Ukimaliza rudi nyumbani kwako twanga vyote kwa pamoja tia mafuta zaituni kidogo kisha kama n mwanaume pakaa kwenye kichwa cha uume kama mwanamke paka kwenye kinena na mlango wa uke acha mpaka ikauke Nenda kaingiliane nae hakika utamlaza kweli na atakupenda mpaka utamchoka Ukitaka akihadithie mambo anayoyafanya kUKna tarasimu utamuwekea kwenye mto wake wakati ukimfanyia hivyo atakuhadithia kila kitu usiku mkiwa katika tendo kw