Posts

Showing posts with the label mitidawa

FAHAMU KUHUSU MKUYU MTI WA UTAJIRI NA MAAJABU YAKE

Image
UKIFANIKIWA kuliona ua la mti huu na kulichuma na kulimilikia dhiki ndogo ndogo zitakuendea mbali kwani mkuyu uaningia kwenye miti inayomilikiwa na majini wa heri. Sifa za mti huu kwanza huvuta maji panapo mti huu huwa hakuna shida ya maji hata ukichimba shimo pembezon mwa mti huu basi unaweza ukaheuza kuwa kisima. Mti huu una maajabu kuanzia majani magome yake na mizizi. Fuatana na mi mwamzo mpaka mwisho wa makala haya. Hedhi isiyokata Kama umepigwa kitu cha kichawi unableed mfululizo tafuta magome mkwayu kisha chemsha tumia kwa kunywa kwa siku saba  Mtoto kususa ziwa. Chukua majani ya mkuyu chemsha kunywa wewe mzazi na utamuogesha mtoto kwa siku tatu asubuhi na jion wakat unaendelea kunywa endelea kumpa mtoto nyonyo Hii ina saidia hata wale wasiotoa maziwa au maziwa machache tumia itakuongezea ma,iwa. Pia kama una jini anayemtisha mtoto tumia kujifusha mzazi itakusaidia. Maradhi ya chango Majani mkuyu chemsha kiasi cha kiganja chako kwenye maji lita moja iache ibaki nusu lita. Kisha

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI

Image
Faida za mtunguja, mtura. Mti huu unaingia miongoni mwa miti midogo duniani ambayo inafaida kubwa katika afya ya mwadamu. Na mti huu si sumu kama inavyopotoshwa na wengi Kwa ufupi mtu huu unafaida, kiafya, kiurembo na masuala ya mapenzi. Kwenye mapenzi dawa za mapenzi masomo yanatolewa whatsap group. Leo tutazungumzia kwenye afya na biashara na kukinga wachawi Maradhi ya kuumwa meno Km jino limetoboka chukua mzizi wa mti wa mtura mkavu chemsha na chumvi kisha nyunyuzia kwenye shimo Km halijatoboka sukutua Mara tatu kwa siku. Kwa watoto wadogo wa kiume wenye ugonjwa wa ngiri kende kusinyaa. Chukua mizizi ya mti huu na mzizi wa mpapai dume itimie saba Chemsha mpe anywe kutwa Mara mbl kwa ck saba Kwa wakubwa Hii inatuliza tu maumivu kutokana mdudu kukomaa ukhtaj dawa nione. Maumivu ya hedhi Chukua unga wa tunda zake kijiko kimoja weka kwenye glass ya maziwa ni dawa mujarabu kwa kunywa. Tumia mpaka maumivu yakate. Kwa matatizo ya uzazi Hutumika mizizi ya mti huu mti wa mzalia nyuma mti wa