Posts

Showing posts with the label MIMEATIBA

FAHAMU FAIDA ZA MUEGEA

Image
FAHAMU KUHUSU FAIDA ZA MTI WA MUINGE AU MUEGEA KATIKA TIBA MTI huu una majina mengi wengine huita muegea, muinge  mlemela. Leo nitawapa faida kiafya wanaohtaj habar za kukuza nitawapa dawa. KWA AFYA KWA UJUMLA UUnatibu Tumbo Kujaa Gesi Kujisaidia Milendalenda Vidonda Vya Tumbo Kunawirisha Mwili Kwa Wale Wenye Afaya Mgogoro ukurutu na magonjwa mengine ya ngozi. Jinsi ya kutumia Kupata faida hizo kwa kutumia mizizi ya mti huo, chukua mizizi au magome yake na uyakaushe kivulini (sio juani), baada ya kukauka, saga magome hayo ili upate unga. Chota unga huo kiasi cha gramu 700 (karibu na robo tatu kilo), changanya na maji kiasi cha lita 6. Mwenye tatizo anatakiwa kunywa mchanganyiko huo kwa kiasi cha robo lita kila siku Hifadhi kwenye fliji ili isiharibike ukhtaj kutumia waipasha moto kidogo. kukausha vidonda chukua unga huo hunyunyuziwa katika nguo au kitambaa na kisha nguo au kitambaa hicho hufungwa katika kidonda au jereha na baada ya siku kadhaa jeraha hilo hukauka. KWA MARADH

KUSAFISHA NYOTA, MVUTO WA BISHARA KWA KUTUMIA MUOSHA FEDHA

Image
FAHAMU KUHUSU MMEA WA MUOSHA FEDHA Muosha fedha unaingia kwenye orodha ya mimea saba ambayo inafanya kazi kubwa katika hitaji binaadam. Mti huu huweza kungarisha nyota, kuvuta watu biashara pamoja na mambo mengine.mwingine Miongoni mwa miti saba ambayo inafanana kikazi na muosha fedha ni pamoja na mwita, mfunguo, muharaka miti mitatu naihifadh. Miti Hii km utaiweka pamoja inaweza kukupa matokeo haraka kwwnye kazi iliyokusudiwa. Itategemea na kusudio lako nia na mafanyo uliyopatiwa na mtaalam wako.            NAMNA INAVYOTUMIKA KWA TIBA Hapa kwqnza lazima ufahamu kila jambo linatibiwa kulingana na chanzo chake. Ikiwa ni mikwamo ya biahsra, mambo yako binafsi hayaend, masuala ya kazi, masuala ya kimapenz iwe kesi ni shart kwanza uangaliwe shida ni nn ifanyiwe kazi kisha ndipo mambo mengine yanafuata maelezo nitakayoyaweka hapa chini yatakusaidia kwa muda ikiwa hujashughulikiwa tatzo. Ila kama utashughulikiwa tatzo lako kisha ukafuata maelezo haya itakuwa umejinasua pale u