Posts

Showing posts with the label dawa asili

JUMBA 'GAMBA' LA KONOKONO KATIKA KUFANIKISHA MATIBABU YA ASILI NA MAMBO MBALIMBALI

Image
KABLA sijaenda kwenye mada husika napenda kutolea ufafanzu jambo fulan. Mlio wengi mmasumbuliwa na mashakiri ya kinyota kimapenz na utafutaji ridhki. Sasa kwa ufupi ridhka na maelezo nitakayokupa kwenye tiba huwa hakuna shortcut kinachotibiwa ni chanzo cha tatzo husika. Wewe mambo yako kukwama ama kukuendea kombo lile ni tatzo lakini lina chanzo chake hiko chanzo ndicho chapaswa kitibiwe. Kinajulikanaje hapo sasa ni kazi ya Wataalam wao watakuangalia watajua nn hasa tatzo na chanzo chake ndipo itakapopatikana tiba. Kwa maana hiyo ukiniuliza swali sijui natoaje nuksi sijui mpenz kanikimbia sijui nataka kumeudisha mtu jibu ntakalokupa halitotofautiana na maelezo nilotoa kwamba hakuna jambo linalofanyika pasina kujua chanzo na uzito wake ndipo utakapojua watibia nn na nm ufanye kumaliza hilo tatzo. Katika matembez yako nafikiri umeshawahi kuona konokono akitembea ama majumba ya konokono hakiwa matupu baada ya wao kufasasa makala haya nitaeleza mambo ambayo yuwaweza kuyafanya n