JUMBA 'GAMBA' LA KONOKONO KATIKA KUFANIKISHA MATIBABU YA ASILI NA MAMBO MBALIMBALI



KABLA sijaenda kwenye mada husika napenda kutolea ufafanzu jambo fulan. Mlio wengi mmasumbuliwa na mashakiri ya kinyota kimapenz na utafutaji ridhki. Sasa kwa ufupi ridhka na maelezo nitakayokupa kwenye tiba huwa hakuna shortcut kinachotibiwa ni chanzo cha tatzo husika. Wewe mambo yako kukwama ama kukuendea kombo lile ni tatzo lakini lina chanzo chake hiko chanzo ndicho chapaswa kitibiwe. Kinajulikanaje hapo sasa ni kazi ya Wataalam wao watakuangalia watajua nn hasa tatzo na chanzo chake ndipo itakapopatikana tiba.


Kwa maana hiyo ukiniuliza swali sijui natoaje nuksi sijui mpenz kanikimbia sijui nataka kumeudisha mtu jibu ntakalokupa halitotofautiana na maelezo nilotoa kwamba hakuna jambo linalofanyika pasina kujua chanzo na uzito wake ndipo utakapojua watibia nn na nm ufanye kumaliza hilo tatzo. Katika matembez yako nafikiri umeshawahi kuona konokono akitembea ama majumba ya konokono hakiwa matupu baada ya wao kufasasa makala haya nitaeleza mambo ambayo yuwaweza kuyafanya na ikawa tiba kwako kuna vtu vya kitaalam zaid nitavigusa tu walau kwa uchache. Vinavyoelezeaka nitaeleza visivyoelezeka mutaniwiya radhi

Ukimchukua konokono mzima kisha ukamuweka kwenye glas ya maji ukamuacha mpaka aaubuhi mtoe mwache ukichukua yale maji yanaweza kukusaidia kwa maradhi ya ngozi, harara, mbaranga vichunusi vya kunuka utanawa uso tu. Ikiwa magonjwa yapo mwilini utatumia kwa kupaka sehemu yenye ugonjwa wa husika kama nilivyoeleza matumizi yake ni kupaka tu.

Ikiwa utakunywa itakusaidia kwa matatizo yafuatayo. Huounguza maumivu ya vidonda vya tumbo. Hutoa miwasho mwilini lakini pia husafisha tumbo. Hata ulaji wa konokono lwa wanaokula huwapa faida hizo hizo nilizotaja. Yapo baadhi ya mataifa hutumika kama kitoweo wengine hutumia kama supu ya kifungua kinywa.

Ukichukua jumba la konokono aliyekufa mwwnyewe usiue ukute lipo tu chukua lisafishe. Kisha liungze kwenye jiko la kuni itapendeza kama zikiwa kuni za mninga, msonobali ama mnazi ukikosa tumia kuni zozote. Muhimu upate kuni uunguze katika kuni ukihakikisha limeshika moto vzur kabisa liache lipoe kisha lisage ama litwange kisha chunga upate unga laini kitaalam unaitwa sembe, ama vumba soma vizur chini baadhi ya matibabu ya huo usembe, vumba ama unga kwa lugha nyepes.

Mtoto mwenye kitovu kikubwa akawa analia na kama tumboni kuna meremeta na vtu kitembea unaitwa 'KOBO' unachukuliwa unga wa konono kama nilivyoeleza utayariahaji wake inachukuliwa na unga wa mdudu mwenyewe anayeitwa kobo yupo kama funza ni mkubwa anakaa sana kwwnye magogo minzi yaliyooza anakuwa nabmwili mweupe kichwan anakuwa mweusi yule hukaangwa vumba lake ama unga kwa lugha nyepes huchanganywa n unga nilioutaja hapo juu huchanjwa mtoto kuzunguka kitovu kisha hupakwa huo unga.

huyu ndiye anaitwa kobo anapatiakana kwenye magogo ya minazi yaliyooza majalalani au kwenye viski vya miti vilivyouza

Dumu ndani ya siku saba mpaka kuki na nne itatagemea na ukubwa wa mtoto na ukongwe wa tatizo husika. Kwa mtoto mwenye zasa yaani ule ugonjwa wa kubonyea utosi wa mtoto wakati mwingine huambatana na maymivu makali sana mtoto hulia na kichwa huwa kama kinagawanyika utachukua huo usembe niliuzungumza kisha utachukua mafuta ya nazi yailsiwe mengi tengeneza kama kitope fulani hivi kigumu kisha weka kwenye komwe la mtoto liwe kama unataka kuumua andazi ama chapati vile vitonge mnavyokata sasa kiwe kidogo muweka kwenye komwe mtoto husaiaidia sana.

Pia kama una kidonda kinatoa damu sana bimaana kibichi nyunyuzia unga wa konokono. Kama una donda sugu ila halitokana na uchawi na mambo mengine ya mitakaba ya kishetani utachukua mafuta ya nazi utachanganya na hilo vumba ama sembe ama unga utakuwa ukipaka sehemu yenye kidonda. Kama tatizo lako lina sababu nilizotaja hapo juu mpaka kwanza uahughulikie tatzo kisha utafanya kama ilivyoelezwa.

Kwa mzazi aliyetoka kile kinyama cha nyuma baada ya kujifungua atafute mafuta ya zaituni orijino kisha aweke huo unga kisha atatumia kupaka sehem husika yaak kwenye kile kinyama atatumia kitambaa laini cha pamba na kiwe kimerowekwa kwenye maji vuguvugu. Hii kwa wale waliotoka kinyama baada kutymia nguvu wakati wa uzazi pia utatumia unga wa uwatu kwa uji ama maziwa itakusaidia kutoa maziwa kwa wingi kwa mtoto lakini pia kurejesha haraka kile kinyama. Kuna michezo huchezwa pia wakat wa kujigungua sasa kam imepita michezo iteguliwe kwanza kisha tumia hyo dawa.


kama unataka kumziba mtu mdomo upate gamba la konokono liwe jeus uwe umeokota jararani au sehem inayokusanywa uchafu. Uwe na karatas nyeupe na kitambaa cheusi pia cha kuokota ile karatas utaandika jina la mkusudiwa na melezo ya mambo unayotaka yawe kisha utafunga hyo karatas na kitambaa ulichookota utafukiza na ubani mashataka kwa manuiz unayotaka kisha utaweka hcho kitambaa ndani ya hilo konokono nenda karbu na maeneo anayoish ikiawa anaish mbali nawe nenda makaburini chimba kwa kijiti ikiwa unayetaka kumfanyia ni wakike tumia mkono wa kushoto kuchimba ikiwa ni wa kiume tumia mkono wa kulia.

Chimba shimo kias kisha weka hilo konokono akiwa na kile kitambaa ndani yake hakikisha mdomo ukiangalia shimoni utazungumza manuiz ya mwisho kisha utafukia hakikisha mdomo unaangalia chini na utafukia kwa mguu maelezo kama yale awali ikiwa ni wa kike umalize na mguu wa kushoto ikiwa na wa kiume ufukie kwa mguu wa kulia maelezo zaidi nitayaweka kwenye group sambamba na maelezo mengine jisni inavyotumika ni zuri sana hata kumaliza kesi kwa wanaoujua huu utaalam.


Kama nlvyoeleza hapo juu nitaeleza vtu vianvyoelezeka pia visivyohitaj utaalam haya majumba ayanatumika sana na wachawi kuua mji au nyumba, kuziba mtu mdomo iwe kazini ama majumbani kuhamisha ama kusafirisha mtu atoke eneo haya yanayoelezeka nitayaweka kwenye group la wahatsp yaisyoelezeka njoo ofcn ama fika kwa wataalam walio karbu nawe watakusaidia shida yako.

NIMEJITAHD KUFAFANUA VILE VINAVYOELEZEKA NARUDIA HILI NENO KUNA WATU SI WAELEWA TUSJE KUULIZANA MASWALI AMBAYO MAJIBU YAKE NIMEYATOA HAPO JUU. UNA SHIDA NAMBA ZANGU ZIPO HAPO CHINI

una tatzo lolote la kazi, biashara, nyota, uzazi, kesi, pete za bahat, nguvu za kiume, kukuza dhakar nk 

+255621442936

Whstp group ni la malpo.






Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI