Posts

Showing posts with the label MIMEA TIBA

FAHAMU KUHUSU MLUFYAMBO MLAZAZA TIBA NA DAWA KWA WATOTO NA KINAMAMA

Image
FAHAMU KUHUSU MLAZALAZA' LUFYAMBO MTI huu huoatikana kwa wingi ukanda wa pwani hasa maeneo ya mapori na makaburi. Mti huu una sifa ya kutambaa na kutoa mbegu zenye rangi mbili nyekundu na nyeusi. Mti huu ni dawa kubwa sana katika matibabu ya asili na uganga wa jadi. Leo nitagusia vitu vikubwa vina vyoweza kufanywa na mti huu, kwa chochote usifanye kwa kujaribu tiba ni imani. Majani yake ni tiba kubwa ya kifua na pumu  Mtu anaweza kupata pumu iwapo atakuwa anakaa karibu na moshi  au wakati mwingine anaweza kurithi kutoka kwa mmoja wa wazazi au ndugu  wa damu aliyewahi kukumbwa na maradhi hayo. Namna ya kutumia: Chukua majani mabichi ya mmea huu yenye uzito wa nusu kilo, yatwange au yasage kwenye mashine  ya juisi ili kupata juisi. Juisi hiyo changanya na mayai matatu ya kuku  wa asili, asali vijiko vitano vya chakula na limau mbili au tatu itategemeana na ukubwa wake, changanya vizuri mchanganyiko huo. Kunywa nusu glasi kutwa mara  mbili (asubuhi na jioni), muda wa siku

FAIDA ZA MTI NA MAJANI YA MKUNAZI KATIKA TIBA ASILI

FAHAMU KUHUSU MMEA WA MKUNAZI MTI huu hupatikana sana ukanda wa pwani hasa Zanzibar pwani yenyewe na Tanga. Karbu katka mfululizo wa makala zetu zinazohusiana na mimea km ulipitwa tembelea wall yangu au pitia www.tabibuasili.blogspot.com. Mti huu ni mujarabu kwa mapenzi kutoa sihiri, kujikinga na wachawi, nguvu za kiume, pressha sukari hakika ukiwa na mti huu basi una kliniki nyumbani. Hapa ntazungumzia faida za majani, unga na magome ukihitaji masomo zaidi ntatoa group la whatsap namna ya kutumia Mafuta yake sambamba na mambo meninge. Mti huu ukichukua mzizi wake ukachemsha ukanywa kwa manuiz yoyote utajayemwendea shda yako atakusikiliza. Na Wale wagumu kutoa pesa unga wake unahusika Kutoa sihiri mwilini Wake wanaoota wanakmbizwa wanakabwa wanakula Chukua unga wa mkunazi Tia kwenye chai tumia kwa ck 3 Kla ck weka mpya KIFUA SUGU Chukua majani ya mkunaz chemsha pamoja na ndimu kisha unywe kwa siku 14 utapona, kila ck tengeneza mpya Hii haihusian na tb wala pumu KUDHIBITI WAC