FAHAMU FAIDA ZA MMEA WA NANAA

FAIDA ZA MIMEA SEHEM 3

FAHAMU KUHUSU MMEA WA NANAA

Hii ni muendelezo wa makala zinazohusiana na faida za mimea asili inayotuzunguka. Makala zilzopita tulizungumzia kuhusu mtura au mnyanya pori wengine huita ndulele na makala ya pl ilihusiana na mmea uitwao mvumbasi kama ulipitwa tembelea wall yangu au waweza jiunga group la whatsap kwa kufuata 0717053804.

Nanaa ni miongoni mwa miti midogo ambayo ina faida kubwa katika mwili wa mwanaadamu. kwa maradhi na pia kupendenezesha mwili pia kinga ni bora kulko tiba.

Nanaa ipo katika mfumo wa aina tatu tofauti km ifuatavyo

nanaaa ya majani [ kavu na mbichi] Mafuta ya nanaa unga wa nanaa

mafuta yapo ya njia ya mgando na kimininika. Faida ya mti huo ni kma ifuatavyo hapo chini.

Majani ya mnanaa ambayo hutumiwa kama kiungo. Nanaa husaidia katika kuzuia hali ya mwako wa moto tumboni, kupunguza kichefuchefu, kuzuia kutapika na kuharisha. Pia huweza kupunguza maumivu ya tumbo na mkakamao wa misuli. Vilevile nanaa husaidia katika uyeyushwaji wa chakula tumbon Inasafisha sumu na uchafu kwenye figo.

Chukua fungu la majani ya mnanaa uoshe. Katakata vipande vidogo vidogo weka kwenye sufuria. Mwagia maji safi na kisha chemsha kwa dakika kumi kisha acha yapoe. Baada ya hapo chuja vizuri hifadhi kwenye chupa safi kwenye friji ili iendelee kuwa ya baridi. Kunywa glasi moja ya maji kila siku utaona mabadiliko,

Utaweza kugundua mabadiliko ya mwili wako mwenyewe. Majani ya mnanaa yanajulikana kwa kiasi kikubwa kama tiba na sehemu kubwa ya mmea huu ni asili.

KWA UPANDE WA MAFUTA

huweza kutibu mafua kabisa ndizo mnazoita vicks au minti, humaliza maumivu kwenye mifupa na viungo, hulainisha ngozi, humaliza makovu sugu km utachanganya na mafuta ya jazzal.

MATUMIZI INATEGEMEA NA TATZO ULILONALO

KWA UNGA NA NANAA KAVU

zinaweza kupunguza mafuta mwilini matumizi unaweza kuytumia km majani ya chai au kuyachemsha

hakika itakupa matokeo mazuri

kwa urefu ntakuwa natoa dondoo juu mmea huu kupitia whatsap group kwan mmea huu una faida nying siwez maliza zote hapa kwa wanawake wenye tatizo la hedh huyu ni daktari mkubwa

pia mmea huu unaweza ukautengeneza kwa mtindo wa juisi na ukakupa faida kiafya, Unaweza ukautengenezea achari kwa kuchanganya na mtindii.

Pia mmea huu n daktar kwa wale wasiohisi raha wakati wa jimai.

Unaweza kufanya mawasiliano kwa kuptia 0621442936 kwa tatizo lolote

una tatizo la uzazi chango hedhi nguvu za 

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI