UPEPO MBAYA UNAOKUMBA NYOTA DALILI AINA ZAKE NA SULUHU




KAMA ni mfuatiliaji mzur wa makala zangu neno upepo mbaya ki nyota hakitakuwa geni masikion mwako. Leo nitafafanua walau kwa uchache ukisikia upepo mbaya kinyota huwa inamaanishwa nini. Na daliki zake ni zipi na nini ukifanye ukishajigundua una tatzo hilo fuatailia makala haya mpaka mwisho anayekuletea chambuzi hizi ni Mtabibu ASILI TZ.


Upepo mbaya ni hali inayoikumba nyota yako yaweza kuwa haki ya muda bimaana katika mzunguko wa sayar ikatokea siku hyo nyota yako ikakumbwa na upepo. Pia kuna hali ya makadirio yaana michezo ya kufanywa na watu sasa hali hii hudumu kwa muda mrefu kwako kama hukuweza kuikabili mapema. Ila ile mzunguko wa sayat huwa ni siku hyo ymtu basi.

Ukisoma chambuzi mfano nikisema leo haitakuwa nzur kwako ila choma fisho la nyota yako kinachomaanishwa kuna upepo mbaya utaipitia nyota yako mambo yako mengi yatakuwa na mkwamo wakati mwingine huvuruga mpaka mapenz ila siku ikipita mambo yanarud kama mwanzo na ule mkwamo huisha. Sasa ukiona nmesema kipindi hiki si kizur kwako jitahd kutfata fumbuzi za kinyota moja ya sababu ifakuwa ni hii, japokuwa nyota inaandamwa na matatzo mengi ila leo naongelea upepo mbaya.

UTAGUNDUAJE KAMA UNA UPEPO MBAYA

Moja ya dalili zake ni mambo yako kutokaa sawa. Mfano unaweza kuwa unapata sana hela ila hujui matumizi yake unashitukia zimekwisha tu. Unaweza kuwa na ahadi au mipango ya kazi mkaongea vzuri mwisho wa siku unakuta ahadi imeshapeperuka. Unaweza ukawa unapata wachumba posa zinakuja wakitajiwa mahari hawarud tena.

Unaweza kuwa na watu wenye kipato kizur lakini washindwe kukusaidia ila kula pombe na matumizi mengine wanakupa ila fedha kama fedha ufanye mambo yako huwez kupata. Utofaut wake na nuksi ni kwamba nuksi huwez hata kupewa hata msaada wa chakula na heshima yako lazima ishuke ila hii unaona mambo upande yapo sawa ila ikija kwenye maendeleo huna cha maana.

Ila mtu mmoja anaweza akaya na mambo yote haya anaweza akawa na nuski za vifungo upepo mbaya, nyota kufifishwa ndo utaona dunia kama imekudondokea vile hata ukimuona mtoto ananunua biskut wamuona anatumia hela vibaya kwa sababu wewe hali kwako ni nguku sana na heshima yako imeshuka katika jamii.

Upepo mbya  huwezwa kuletwa na mzunguko wa sayar kama nilivyosema hapo juu na hili haliwi tatzo endelevu na dawa yake ni fusho tu la nyota yako na wakat mwingine ni buhuru safi kama ninavyoeleza kwenye makala zangu. Pia mbaya zaid ni ya kutengenezwa na watu na hii ndo hudumu kwenye nyota yako kwa muda mrefu ikiwa hutapata mtaalam mwenye uwezo wa kuitoa.

Hapa imegawanyika makundi mengi ila kwa ufupi nitaongelea makundi kadhaa. Kundi la kwanza kuna kijini au kidudu kinapachikizwa kwenye nyota yako kila unachokifanya chemyewe kinapeleka habar kwa maadui zako ambao wamekituma mfano unaweza ukawa na ahad kila kitu kikaenda sawa ikifika siku ya utimilif kile kidudu kinakuwa kishapeleka habar kwa wakuu wake hivyo kinapewa kazi ya kuharibu mipango kinakuja kukaa uson mwako kinamtisha yule mtu anaghairi bila sbabu yoyote ya msingi. Hii hata kwenye mapenz unaweza kumpenda mru akiwa mbali mkapeana maneno mazur makatumiana nauki mkija kuonana bwana basi nimeghair tukutane siku nyingine.

Njia nyingine wanacheza na nyota yako, kama ulishawa kutembea kuona kwenye miti mikubwa au nyumba za zaman haizkaliwi na watu kuna tarasimu zinapepea ujue kuna watu washatengenezwa kadri zile karatasi zinavyopepea ndio nyota yako inayokosa uelekeo katika utafutaji. Wakat mwingine hufikia kaburini hapa ndio ujiona mvivu sana hata kutoka kwenda kuomba kazi waona uvivu ukikutana na mtu ambaye unajua atakusemesha habar za kazi hutak maongez naye yuwampita tu.

Nifafanue kuhusu tarasimu za majumba mabovu na kwenye miti mikubwa sio zote zinahusiana na nyota lahasha. Nulyengine ni za mapenz kadr upeoo unavyopepea maoenzi hunawiri. Nyengine ni za uchaa kadri upepo unavyopepea ile karatas kichaa mru kinamzidi. Nyengine ni za mambo binafs siwez kuziweka hapa hadharan. Kwa hivyo pia yawezekana ukabadilishiwa muelekeo kinyota mfano lengo lako lilikuwa kumiliki biahsra basi watu wanaweza kujuzubaisha wakaitumia wao kwenye biahsra zao alaf wewe ukabak na upepo mbaya. Na watu wa dizain hii wanakupenda sana kwa kukupa vtu vya starehe ila si kukuendeleza.

Wanayofanya haya yaweza kuwa watu wako wa karibu wenye asiki ya kuchawi. Au kushirikiana na wataalam ambao wamakuwa wameahidiana jambo fulani. Muhimu kuwa makini sana hasa katika makundi usione anakuambia twende sehem fulan inaweza ikawa njama ya kufifisha nyota yako. Hii hata sehem za biahsra unaweza kuweka hicho kipepo aidha kikawekwa kidudu cha kijini pale watu wakija wanauliza bei kile kijini kinawatisha wanaondoka zao. Kuhusiana na kushika mimba kisha kupotea niliwahi kumuongela jini pakuzi soma darasa ziliopita. Huwez kuyajua haya kwa macho yako ya kawaida mpaka upate usaidizi wa wataalam.

NINI UFANYE KUKABILIANA NA HII HALI

IKiwa umesoma vizur maelezo ya hapo juu utagindua nmefafanua mambo mengi sana na sababu nuingi zinazosababisha. Sasa kila sababu ina matibabu yake kinyota na kila mtaalam ana ufumbuzi wake kulingana na elimu yake uhodari na qudra. Ushaur wangu nmetoa haya makala kwa lengo la kukutoa hapo ulipo nikisema una upepo mbaya kinyota kwenye zile tabiri uelewa naanisha nn. Au ukienda kwa mtaalam akakuambia kuna upepo umepitia nyota yako ujue nini kimemaanishwa.

Unapoona mambo yako hayapo sawa wahi kwa wataalam waangalie kiundani kuishi kihisia si vizur sana. Pia jaribu kifuata shaur za nyota yako kila unaposoma jitahd kuifanyia kazi itakufanya ufanue vizur zaid katika mambo yako. Kwa maana hayo hakuna matibabu nayoweza kuyaweka hapa kinachotinlbiwa ni chanzo cha tatzo. Mfano ukiona nmeandika choma au fusha fusho la nyota yako kinachotoka pale ni moshi hubadilisha hali ya hewa kinyota kutoa ugumu kuketa ulaini sasa ikiwa tatzo nibkubwa zaid yatakiwa matibabu makubwa. kwa ushaur ama msaada zaid wasiliana nami kupitia namba zangu hapo chini.

Una tatzo lolote la nyota, mapenzi, uzazi, kaziz biahsra, nguvu za kiume, kukuza dhakar, bawasiri kuibiwa nk niachie ujumbe inbox

+255621442936

Whtsp group ni la malpo kwa wahitaj

Link ya Group la utabiri wa nyota tu

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI