Posts

Showing posts from April, 2023

KUHUSU MAMBO YA KAMALI 'BETTING' MILKI NA MAJINI YENYE NGUVU NA NAMNA YA KUSHINDA

Image
UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWQ ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU HUWA napokea jumbe na maswali mengi kuhusiana na mambo ya kamali wengi wanauliza kuna dawa ya kamali wakitaka kujaribu. Leo nmeona nitolee ufafanuzi hizi kama ninavyoyatolea mambo mengine ninayoulizwa lengo ni kuwafungua akili aidha upate uelewa lakini kubwa zaidi usitapeliwe kizembe, kama umelaiki page yangu mtabibu asilit tz halaf bado unaish kinuonge wewe ni mzembe. Kuna mambo mengi yanayonasibihana na mambo ya kamali na huwez kushinda mshindo mkubwa kama hujainhia kwenye ulimwengu wa wamiliki wa mambo ya Kamali. Kumbuka kamali zote duniani ni mchezo wa shetani na kuna mashetani saba wakuu ndio wanaosimamia michezo ya kamali wakiwa na wasaidizi ama wasimamizi mashetani 45. Kila shetan ana siku yake yenye nguvu kutoa mshindi hivyo sio kila siku atakuwa shetan mmoja lakini pili kila mwaka kuna namba ya siri ya ushindi ambay