Posts

Showing posts from March, 2021

MADHARA YA ZINAA 'MAPENZI' KINYOTA INAVYOHARIBU MAMBO YAKO VIFUNGO VYA MWILI

Image
KWENYE makala za uchambuzi wa nyota mara kadhaa nmekua nikizungumza kuhusiana na kuchanganya wapenzi kunaweza kukuharibia mambo yako hasa kinyota. Pia tabia ya kuwa na mtu ambaye hakuendani kinyota inaweza kukupa madhara. Tufahamu je ni kwa namna gani wapenz zinaa inaweza kukuharibia mambo yako kinyota soma kwa umakini makala haya jitahdi usome mpaka mwisho kuna funzo utalipata na kama una tatzo tayar utajua wapi pakuanzia. Zinaa imezungumzwa kwenye vitabu vya sini kuwa na uchafu na sio miongoni mwa njia nzuri. Uharamau wa zinaa umeelezwa kwa kina vitabu vya dini kiimani, pia ukaelezwa madhara yake kisayansi kwamba kuna magonjwa kadhaa ya zinaa yuwaweza kuyapata ikiwa utadumua au kufanya uchafu huo. Kuna kinga kazaa zmegunduliwa ila leo hapa nitakueleza hata ujikinge vipi kuna vitu huwez kuepukana navyo kinyota. Ipo imani ukitembea na mtu fulani basi mambo yako yatakuwa kama yule uliyetembea naye. Hapa ndio wengi wanatembea na watu maarufu, wanatembea na viongozi wa dini, w

JUMBA 'GAMBA' LA KONOKONO KATIKA KUFANIKISHA MATIBABU YA ASILI NA MAMBO MBALIMBALI

Image
KABLA sijaenda kwenye mada husika napenda kutolea ufafanzu jambo fulan. Mlio wengi mmasumbuliwa na mashakiri ya kinyota kimapenz na utafutaji ridhki. Sasa kwa ufupi ridhka na maelezo nitakayokupa kwenye tiba huwa hakuna shortcut kinachotibiwa ni chanzo cha tatzo husika. Wewe mambo yako kukwama ama kukuendea kombo lile ni tatzo lakini lina chanzo chake hiko chanzo ndicho chapaswa kitibiwe. Kinajulikanaje hapo sasa ni kazi ya Wataalam wao watakuangalia watajua nn hasa tatzo na chanzo chake ndipo itakapopatikana tiba. Kwa maana hiyo ukiniuliza swali sijui natoaje nuksi sijui mpenz kanikimbia sijui nataka kumeudisha mtu jibu ntakalokupa halitotofautiana na maelezo nilotoa kwamba hakuna jambo linalofanyika pasina kujua chanzo na uzito wake ndipo utakapojua watibia nn na nm ufanye kumaliza hilo tatzo. Katika matembez yako nafikiri umeshawahi kuona konokono akitembea ama majumba ya konokono hakiwa matupu baada ya wao kufasasa makala haya nitaeleza mambo ambayo yuwaweza kuyafanya n