Posts

Showing posts from April, 2021

FAHAMU KUHUSU MTOTO ANAYELIA, KUWEWESEKA NA KUSTUKA SABABU NA UTATUZ WAKE

Image
FAHAMU KUHUSIANA NA MTOTO ANAYELIA, KUWEWESEKA NA KUSTUKA SABABU NA UTATUZ WAKE AFYA ZA WATOTO KWANZA tufahamu jambo moja mtoto kulia ni hali ya kawaida sababu haweza kuzungumza anaweza kulia akisikia njaa, kajisaidia haja, pahala panamuuma au pia ukiwa umemlaza mda mref pia hulia kwa kuchoka mgongo hivyo si kila kilia mtoto ni tatzo. Pia mtoto asipolia kabisa nalo pia ni shida maana hospital ukijifungua huweza kabidhiwa mtoto ikiwa halii lazima watamchunguza kwanza. Sasa kuna kulia kupitiliza mtoto hataki nyonyo akilia analia mpaka mtaa mzima wanajua sasa hilo ndio tatzo ninalolizungumzia leo. Yawezekana akawa analia usiku tena sana na kuna wengine wao muda wowote wanalia. Ukiachana na sabab nilizotaja hapo juu zipo sbabu nyingine zinazomfanya mtoto kulia kupitiliza mfano mtoto kama akiwa hana kinga anaweza kufuatwa na wachawi usiku si kwa lengo la kumdhuru wanamtisha kwa sura zao na tupu zao hivyo mtoto hulia muda wote kwa woga hata ukimpa nyoyo anaweza kulikataa.  Pia ka

UCHAWI WA CHUMA ULETE UNAVYOWEZA KUKUATHIRI NA NAMNA YA KUKABILIANA NAYO

Image
CHUMA ULETE ni vitendo vya kuibiwa fedha kwa kiini macho yaana u akuwa na fedha half ghafla huoni. Yaweza kuwa ilikuwa mfukoni mwako ama eneo lako la bishara. Leo tutadadvua walau kwa hchache kuhusiana na kadhia hii ya kuibiwa fedha kwa njia za kichawi. Kikawaida mchawi akiingia ndan mwako hana uwezo wakuiba fedha hata uwe na mamilion ndan ataingia atakuchezea mwili atakavyo lakini haweza kutoka na kitu chako kisichopo kwenye mwili wako hawwz kuiba vyonbo wala fedha akiwa kwenye shughuli hiyo. Kinachoiba ni jini wa kichawi ambaye hutumika kwenye wizi wa fedha. Jini huyu anaweza kutumika akiwa nyumban kwa muhuiska yaan muhusika atazungumza nae atapatiwa dawa ataipaka fedha ni lazma iwe ya noti kisha atakuja nayo sehemu yako ya kazi ama bishara atakupatia kwa mkono wa kushoto na utampatia huduma wakati unamrudishia chenji ndipo anapoiba na zile fehda yeye huzikuta nyumbani kwake kwenye sehm maalum ambayo amaeitenga. Njia ya pili anaweza akatembea nayo mwenyewe ile dawa aliyop