UCHAWI WA CHUMA ULETE UNAVYOWEZA KUKUATHIRI NA NAMNA YA KUKABILIANA NAYO



CHUMA ULETE ni vitendo vya kuibiwa fedha kwa kiini macho yaana u akuwa na fedha half ghafla huoni. Yaweza kuwa ilikuwa mfukoni mwako ama eneo lako la bishara. Leo tutadadvua walau kwa hchache kuhusiana na kadhia hii ya kuibiwa fedha kwa njia za kichawi. Kikawaida mchawi akiingia ndan mwako hana uwezo wakuiba fedha hata uwe na mamilion ndan ataingia atakuchezea mwili atakavyo lakini haweza kutoka na kitu chako kisichopo kwenye mwili wako hawwz kuiba vyonbo wala fedha akiwa kwenye shughuli hiyo.

Kinachoiba ni jini wa kichawi ambaye hutumika kwenye wizi wa fedha. Jini huyu anaweza kutumika akiwa nyumban kwa muhuiska yaan muhusika atazungumza nae atapatiwa dawa ataipaka fedha ni lazma iwe ya noti kisha atakuja nayo sehemu yako ya kazi ama bishara atakupatia kwa mkono wa kushoto na utampatia huduma wakati unamrudishia chenji ndipo anapoiba na zile fehda yeye huzikuta nyumbani kwake kwenye sehm maalum ambayo amaeitenga.

Njia ya pili anaweza akatembea nayo mwenyewe ile dawa aliyopewa na jini akaiweka mdukon ama mkoban akaja akakuomba hata mia mbili tu we ukaona huruma ukampa akishaingiza ile hela sehem alipoweka dawa basi kaondoka n kias cha fedha sehem ulpotoa hiyo fedha. Kuwa makini unapotembea si kila aombae hela wana shida tena ni hela ndogo sana ikiwa mtu kakuambia ana njia jitahd umpatie chakula si hela mpelekr hata hotelin kamlipie. Kuwa makini wengi sikuhz mjini ndo mtaji wao huo unampa miambil jion unapoteza elf 20 alaf hujui umepotezaje.

Na huyu jini pia anaweza kutumwa akakuingia wewe binaadamu na ukaanza shughuli za wizi japokuwa zaman hukuwa na tabia hiyo. Yaan unakuta mtu hakuwa na tabia za wizi lakini ghafla tu kawa mwizi anaiba fedha alaf mafanikio hana yaana anaweza akaiba hata laki mbili milion siku ya pili hana hapa anakuwa kapandikizwa yule jini kisha anamshughulisha na tabia ya wizi alaf zile fedha zinakwenda kwa mtu mwenye jini yaan muhusika aliyemuingizia huyu mwizi jini.

Sasa kila hatua kuna uibaji wake anayeuza vitumbua anavyoibiwa sio kama anavyoibiwa mtu anayemilik duka la milion tano hata kinga zao ni tofaut. Ndo maana wengi wanalalamika nmeweka kinga dukan lakin bado naibiwa we umewekewa kinga ya ndogo yatakiwa lifanyike kafara linalohusu mnyama hapo. Kinachofanyika kwenye maduka makubwa anayekwenda kuiba ni jini mwenyewe anatumwa anaahidiwa kitu fulan mfano anaanmbiwa nataka milion moja nakupa sadaka ya mbuzi jini linaenda kushughulika kisha anapewa ahad aliyoahidiwa.

Baadhi ya dalili ambazo huonesha kuwa unasumbuliwa na chuma ulete. Kwanza kupoteza fedha bila kumbukumbu maalumu kama ulitoa hela. Hupat faida kwenye biahsra yaan kile ulichokikusudia baada ya mzigo kuisha kinaweza kisifike hata nusu yake. Na kwa wasiokuwa wafanya bishara n km hvyo unaweza kujikuta siku unapoteza fedha bila kufaham umeitumiaje. Kama una jamaa mdugu yako ni mwizi na unafaham tabia hho alkuwa hana na hata maendeleo pia hana na anaiba sana pia ni moja dalili sasa huyu kapandikizwa jini.

Pia kuna njia nyengine ambayo mchawi ama muhhsika anakwenda kutega sehem hyo dawa kila anayepita ambayr hana kinga anamuibia. Pia anaweza yeye mwenyewe akawa anatembea na hyo dawa aidha kwenye kikapu ama chombo chochote basi huwa anaiba maduka ya karbu. Cunguza wazee wengi wanaotembea na vimikoba alaf hawana shughuki maalum hiyo ndio njia ya kujipatia fedha wapo mnamoishi unamkuta mtu asubuh anatoka anatembea jion anakaa barazan na maisha yanaenda.

Kukinga chuma ulete kabla hujafungua bishara yako yatakiwa ufanye visomo vya kinga na uweke kinga ya wachawi na wizi wa vijicho eneo lako la biashara. Ikiwa tayar umeshafungua watakiwa kabla ya kuweka kinga kwanza usafishe na madawa ya kuua uchawi ikiwa kuna jambo lolote lilifanyika ili uharibu kisha ndio uweke dawa za kinga na mvuto wa biashara.

Unaweza ukaokota mkaa wa barabaran na ndulele  ile ya njano (tura ama turatura ama tunguja ) ukaweka kwenye sehem yako ya kuwekea fedha inapunguza hzi chuma ulete kwa wale wasiokuwa na uzoef wa kazi hizo. Ni nzuri kama utapata mzizi wa huo mndulele upate na unga wa kiazi cha mlangamia (wengi wanauita mfungafunga ama mkambamba ama mtete kuwamga hutanda juu ya mti mwingine) pia upate unga wa mzizi wa mlufyambo na dawa inaitwa msharifu ipo madukan utaweka kwenye kitambaa cheusi cha kuokota vtu vyote nlvoytaja utazungumza hitaji lako weka kwenye sehm yako biahsra. Au tembea nayo kwa wale wanaoibiwa mofukuno. Hizi kwa wale wenye vibishara vidogo sabab  kwa makonkod wanaiba kikubwa ni kinga ya kitaalam zaid kama nilivyoelza. 

Kuna dawa nyingi za kinga unaweza ukaweka mtu akija na jambo lake ashindwe na ataropoka mwenyewe. Pia zipo mazindiko ya kugandisha watu wa namna hiyo muhimu upate wataalam wanayojua hayo mambo ili wakupe kitu kulingana na uzito wa bishara yako kama nlvyoeleza hapo juu muuza vitumbua yeye kinga zake ni za kawaida si sawa na anayemilik yadi.

MUHIMU KAMA NILIVYO ELEZA KUNA CHUMA ULETE MTU AMBAYE NI RAHISI KUMDHIBITI LAKINI PIA KUNA CHUMAULETE JINI AMABYE HUTUMWA NA WATU AU HUTUMIKA NA MTU KWA LENGO LA KUKIDHI AKITAKACHO HATA KWENYE KINGA PIA NI TOFAUT KIUSHAUR NI LAZMA UPATE KINGA KUBWA ILI KUDHITI VTU VYOTE KWA WATU WA MMOJA. NMETOA MAKALA HAYA ILI KUWAFUNGUA MACHO NA MUWE MAKINI KATIKA SHUGHULI ZENU BIASHARA NA MATEMBEZ SINA LENGO LA KUWAMBIA MTAFUTE CHUMA ULETE MPATE PESA SITAJIB WALA KUTOA USHIRIKIANO KWA WATU WENYE LENGO HILO

Una tatzo lolote la afya, uzazi, nyota, mapenz biahsra, kuibiwa, kesi, nguvu za kiume, chango la uzazi, kukuza dhakar, bawasir na maradh na matatzo mengine kwa ufumbuzi fanya mawasiliano kwa namba zangu jitahd kupiga simu ikiwa unatuma ujumbe basi weka wwnye maelezo ya kutosha ulpo jina na shida jumbe fup sitazijb

+255621442936

Whatsp group ni la malpo kwa watakaji

Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI