Posts

Showing posts from October, 2021

ULIMWENGU WA TARASIMU KATIKA KUKIDHI HAJA KUPATA MAJIB YALIYOTARAJIWA 'KUMREJESHA MPENZI'

Image
SIKU hizi tarasimu zimekuwa nyingi kwenye mitandao kila mmoja yiwapost na ndipo wwngi mnapohaidiwa na kutapeliwa. Si vibaya watu kupeana elimu ama kufumbiana mamcho ila uwanda wa tarasimu ni mpana sana kuliko elimu ya miti. Mfano naweza nikaweka mti nikauelezea kwa kina unavyotib maradhi kikawaida tu yale maelezo mtu yoyote kama atafuata vile ilivyoelezwa atapata majibu. Mfano nikiandika mti wa mfangio unatibu masikio we ni mgonjwa ama una ndugu ana shida hyo ukafuata vile ilivyoelezwa majibu kupata ni kawaida. Sasa kwenye tarasimu kuna utofauti kidogo hata kama uwe unajua kuandika kuna mambo yatakiwa yafanyiwe zile tarasimu pili kuna qubur zake bimaana qudra na ucha mungu wako. Hivyo si kila mtu anazo hizo qubur hivyo inakuwa ngumu kupata kile kilichotarajiwa. Hivyo nimeona nitoe haya makala maana maswali ni mengi wanauliza kuhusiana na tarasim wengine wananitumia na picha zilizopostiwa sehem nyengine kutaka ufafanuzi. Kwa kawaida kila siku iendayo kwa mungu zina milki zak

MASHARTI YA KUMILIKI MALI UTAJIRI MAMBO YAKUFAHAMU KABLA YA KUJIINGIZA

Image
  NIMEKUWA nikipokea maswali mengi kuhusiana na kumiliku mali za majini. Kuna kitu huwa mnajichanganya kati ya mali za majini na mali za mashetani Na leo nmeaona niutolee ufafanuzi wa kina ili kupunguza maswali inbox yangu. Mara kadhaa nmezungumzia kuhusiana na pete za majini na kuzitolea ufafanuzi wa kina kama umepitwa na hizo makala jitahd kurejea post za chini.  Jini hutoa mali kwa ridhaa yake akikupenda tu atakupa ishara ya kupata mali hutoi chochote kwake. Mashetani ndio wanaombwa kwenye kumiliki mali ukiona unaenda mibuyuni mizimuni kwenye mito ambapo chini kuna miji mikubwa mali za namna hyo ni mali za kishetani na madhara yake ni makubwa mno kuliko ufikiriavyo.     Huwenda hali ya maisha si nzuri katika ufatutaji ama una shauku ya kumiliki mali pasina kujishughulisha sana. Ama umeshughulika sana lakini yuwaona hali haiwi nzuri kiushaur usipendr kujishughulisha na shughuli za utafutaji wa utajiri bila shughuli maalum. Mimi ninayeandika makala haya naujua mwisho wa hu

LAANA YA ASILI INAYOLETA NUKSI FAHAMU VYANZO NA NAMNA YA KUSHUGHULIKIA

Image
LAANA ni ukosefu wa radhi, yaweza kuwa ni ya mungu au mtu fualan katika jambo fulan. Kuna laana nyongi sana kama nilivyoeleza hapo juu kwamba kuna laana ya mungu lakini pia kuna laana za watu. Nitaziweka katika makundi makuu matano ili ufahamu zaid kuhusu laana vipi yapatikana na vipi utaimaliza.                    LAANA YA MUNGU Hii ndio laana kubwa kuliko zote duniani na hata matokeo yako mabaya sana. Laana hii huwawakumba watu wanaokwenda kinyume na amri za mungu. Kila dini ina sheria zake na mipaka yake mfano dini yangu mm hairusiwi mtu kujifananisha na jinsia nyengine kwa mavazi na matendo mwanaume kuwa mwanamke na mwanamke kuwa mwanaume huo ni mfano. Sasa hapa unaweza ukapata pigo la laana kwa mungu ukaona dunia chungu kutokana na matendo yako kwenda kinyume na maamrisho yake                    LAANA YA WAZAZI Kila dini ina amrisha kuheshimu wazaz wako wawili pia imekwenda mbali kabisa kuwa pepo ipo chini ya nyayo za wazazi wako. Sasa ukifanya vitendo vya kumchukiza m

šš„š“š„ š™š€ šŒš€š‰šˆššˆ š–š€ š€š’šˆš‹šˆ š”Pš€š“šˆšŠš€šš€š‰šˆ š–š€šŠš„ šš€ šŠUš…š€šš˜š€ šŠš€š™šˆ šŠš–š€šŠš„

Image
š–š€š“š” š°šžš§š š¢ š°ššš§ššš©šžš§ššš š¤š®š¬š¢š¤š¢šš š”ššš›ššš«š¢ š³šš š®š­ššš£š¢š«š¢ š©ššš¬š¢š§šš š¤š®š£š®šš š§ššš¦š§šš š²šš š®š©ššš­š¢š¤ššš§ššš£šž š°ššš¤šž. šŠš®š§šš š°š¢š¦š›š¢ š¤š®š›š°šš š„šš š°ššš­š® š¬ššš¬šš š”š¢šÆš¢ š°ššš©šØ š«šššš”š¢ š¤š°šš š„šØš„šØš­šž š¢š„š¢ š¦š«ššš š°ššš®š©ššš­šž š®š­ššš”š¢š«š¢. š‡š¢š²š¢ š¬š¢ š”ššš„š¢ š§š£šžš¦šš š¦ššššš§šš š”ššš¤š®š§šš š£ššš¦š›šØ š„š¢š§ššš„šØš°šžš³šš š¤š®š­šØš¤šžšš š¤ššš¦šš š”š®š£ššš£š¢š©ššš§š šš š§šš š”ššš­šš š„š¢š¤š¢š­šØš¤šžšš š›ššš¬š¢ š„š¢š­ššš¤š®šššœš”š¢šš š¦šššš”šššŸšš š¤š®š›š°šš š§šš š¤š®š¢š¬š”š¢ š¤š°šš š¦ššš¬š”ššš£šš. šŒššš¤ššš„šš š”ššš²šš š²ššš­šššžš§ššš š¤š®ššš§š ššš³š¢šš š¤š®š”š®š¬š¢ššš§šš š§šš š©šžš­šž š³šš š¦ššš£š¢š§š¢ š°šš ššš¬š¢š„š¢ ššš¦š›ššš³šØ š³š¢š§ššš„šžš­šš š¦šÆš®š­šØ ššš¦šš š›ššš”ššš­š¢ š²šš š¦ššš„š¢ š§šš šÆš¢š§š š¢š§šžšÆš²šØ. šš¢š¦šžššš¤š®š°šš š§š¢š¤š¢ššš§šš¢š¤šš š¦ššš¤ššš„šš š³šš ššš¢š§šš š”š¢š¢ š¦ššš«šš š¤šššš”šššš š¤ššš¦šš š§š¢ š¦šŸš®ššš­š¢š„š¢ššš£š¢ š¦š³š®š«š¢ š›ššš¬š¢ š®š­ššš¤š®š°šš š®š¬š”šššŸššš”