Posts

Showing posts from April, 2022

UCHAMBUZI WA THAMANI YA HERUFI C KATIKA MAISHA NA MAPENZI

Image
UCHAMBUZI HUU UNALETWA KWAKO NA MTABIBU ASILI TZ JITAHDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO MUJJARAB LEO TUNAENDELA DARASA ZA THAMANI NA UCHAMBUZI WA HERUFI ZA MAJINA KATIKA MAZINHATIO YA KIMAISHA. HEEUFI HIZI ZINAHUSIANA NA MASUALA YA UTAFUTAJI NA MAISHA YA KIMAPENZI KATIKA UTAFUTA MAENDELEO. TUMESHAZUNGUMZA HERUFI A,B SASA LEO TUNAINGIA HERUFI C. UTARATIBU NI ULEULE JITAHDI KUSOMA KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO.    MAMBO YANAYOHUSINA NA HERUFI C watu wenye herufi hii wametawaliwa na hisia kali sana na hupenda kukasirika upesi. Ajkili zao hazijatulia ni wafu wanaobadilika badilika wanamaneno mengi. Wana ushawishi mkubwa wa kimaneno. Katika mapenzi, wao wanapenda vitu au mambo tofauti tofauti, wakihisi wamechoshwa basi huwa wa kwanza kuondoka aidha kwa muda au moja kwa moja. Sio watu waaminifu mara zote wanahisi kwamba kuna kitu wanakikosa nje hivyo basi wanatoka sana nje, hata kama wakiwa wana ndoa yenye furaha.Wengi wao wanafikia hatua ya kuishi maisha ya sehemu mbili; mke

UCHAMBUZI WA THAMNI YA HEEUFI B KINYOTA MAISHA MAFANIKIO NA MAPENZI

Image
TUPO KWENYE MUENDELEZO WA KUCHAMBUA HERUFI NA THAMANI ZAKE KATIKA MAISHA YA BINAADAMU NA MAPENZI. TUMESHAMILIZA HEEUFI A SASA TUNAINGIA HERUFI INAYOFUATA AMBAYO NI B. CHAMBUZI HIZI ZINALETWA KWAKO KUPITIA PAGE HII YA MTABIBU ASILI TZ NIPO MBION KUREJESHA GROUP LA WHATSAP ILA LITAKUWA NA MALIPO NA NI ELF KUMI KWA MWEZI KWA WANAOHITAJI TU. NAREJRA TENA GROUP LITAKUWA LA MALIPO NA NI ELF KUMI KWA MWEZ KWA WANOHITAJI TU. Herufi B huwakilishwa watu wenye hisia kali watu wapole wanaofanya mambo yao kwa usiri mkubwa. Ni watu wasiopenda tabu wala shida hawapendi kujiumiza sana linapotokea jambo basi wapo tayar kuacha kitu ili amani ya nafsi zao zipatikane. Hawapend sana kusumbua akili biahsra au jambo likiyumba huona ni heri kuachana nayo. Wanarubuniwa haraka wepesi wa kusahau pia wanaweka visasi.    NINI KITATOKEA HERUFI B IKIKUTANA NA HERUFI NYINGINE B&A mapenz yatakuwepo ila A atajifanya mjuaji zaidi ataishi kwa kutaka kuwa juu. Ndoa ama mahusiano yaweza kuisha bila sababu y

UZITO WA HERUFI YA JINA LAKO KATIKA MAISHA NA MAPENZ 'HERUFI A'

Image
HABARI ZA JION NMEZUNGUMZA SANA KUHUSU NYOTA NA KILA KINACHOWAHUSU SASA NTAWALETEA MFULULIZO WA UZITO WA HERUFI YA JINA LAKO. ANAYEKULETEA MAKALA HIZI HADHWIM NA NGUMU ZENYE MAARIFA NI MTABIBU ASILI TZ. Hapa ntaongelea uzito wa herufi ya mwqnzo wa jina lako. Ukikutana na hwrufi ya jina nyingine nini kitatokea maisha yako yatakuwaje na wapi unaweza kutoka kulingana na matatzo utakayokutana nayo ungana nami mwanzo mpaka mwisho. Leo tutaanza na herufi A mkileta ushirikiano mzuri nitaendelea mpaka herufi Z kukiwa hakuna ulazima basi nitaziandika na kuziweka kwenye blog. Ikiwa utataka ,iwekwe hapa basi usisite kuweka coment yako hapo chini. Watu wenye herufi A huwa wakimya sana hufanya mambo yao kisiri. Na hupenda sana kuwasikiliza wapenzi wao kuliko wazazi na ndugu zao. Watu hawa uzazi kwao upo karibu sana ila huchelewesha ama kukwamishwa na aina ya watu wanaokuwq nao kwwnye mahusiano. Watu hawa husumbuliwa na majini ama maradhi ya kijini na kupona kwako huchukua muda. Watu haw

KUHUSU MALI ZA WAKOLONI 'WAJERUMANI, RUPIA, VITU VYA KALE' FAIDA HASARA NAMNA YA UPATIKANAJI

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHID KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO MUHIMU NILIWAHI kuzungumza kuhusu namna ya kupata madini kwa watu wa wanaofanya shughuli migodini. Nilipata maswali kadhaa kuhusiana na mali za kikoloni na rupia sasa jitahdi kusoma kwa upole makala yote pili nasisitiza maswali yaulizwe chini ya coment.  Mali za kikoloni ziliwekwa ardhini kwa kuficuwa baada ya wakoloni wenyewe kufanya safara ya kurejea kwenye nchi zao. Waliweza kubeba mali zinazobebeka na nyingine kuzizika ardhini. Lengo la kuweka lilikuwa mali chini moja ni sehemu salama kwao kwa kuwa nyakati hizo waaftika wengi walikuwa hawana elimu. Lengo la pili wakifika kwenye nchi zao huwaoa ramani watu wao wa karibu ili kuja kuzichukua na kuondoka nazo  Inasemekana mali hizo ni rupia na viti vingine vya thaman ambazo kama ukifanikiwa kuzipata na kufanikiwa kuuza basi maisha yako yanatononoka kwa kipato utajachokipata. Katika kila kanda basi kuna masalia ua mali za Mjera