KUHUSU MALI ZA WAKOLONI 'WAJERUMANI, RUPIA, VITU VYA KALE' FAIDA HASARA NAMNA YA UPATIKANAJI




MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHID KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO MUHIMU

NILIWAHI kuzungumza kuhusu namna ya kupata madini kwa watu wa wanaofanya shughuli migodini. Nilipata maswali kadhaa kuhusiana na mali za kikoloni na rupia sasa jitahdi kusoma kwa upole makala yote pili nasisitiza maswali yaulizwe chini ya coment. 

Mali za kikoloni ziliwekwa ardhini kwa kuficuwa baada ya wakoloni wenyewe kufanya safara ya kurejea kwenye nchi zao. Waliweza kubeba mali zinazobebeka na nyingine kuzizika ardhini. Lengo la kuweka lilikuwa mali chini moja ni sehemu salama kwao kwa kuwa nyakati hizo waaftika wengi walikuwa hawana elimu. Lengo la pili wakifika kwenye nchi zao huwaoa ramani watu wao wa karibu ili kuja kuzichukua na kuondoka nazo 

Inasemekana mali hizo ni rupia na viti vingine vya thaman ambazo kama ukifanikiwa kuzipata na kufanikiwa kuuza basi maisha yako yanatononoka kwa kipato utajachokipata. Katika kila kanda basi kuna masalia ua mali za Mjeramani ugumu upo namna ya kujua ramani na maelezo ya kupata. Leo nitaongelea mali zilizofukiwa mungu akipenda ntakujakuongelea rupia.

  NAMNA ZILIVYOFUKIWA NA KUHIFADHIWA

Wanapoweka mali zao kuna password au pini ya siri huiweka ili iwe ngumu kwa mtu mwingine asiyekuwa wao kuweza kupata mali kirahisi ambao wanaamini wao wamezipata kwa jasho. Hivyo hutumia majini kama walinzi pamoja na kuweka password zao. Majini hao ni mithiri ya mizimu ambayo huagana na kuingia mkataba kwa kazi maalumu ya ulinzi. Waliowah kwenda kutafuta mali aidha unaweza kukuta nyoka simba tembo nk hyo ni mifano ya ulinzi wa kijin uliowekwa.

Wanapofukia lazima ifanywe tambiko na kafara aidha walitumia wanyama au binaadam ilitegemea na ukubwa wa mali iliyohifadhiwa. Hii inawafanya mizimu wafanye kazi ya ulinzi kulingana na maagano waliyoingia, ulinzi huo ni pamoja na kuzihifadhi zisiharibike na kulinda zisichukuliwe na watu wengine.

Si kila mali imefukiwa chini zipo zilizoficjwa maporin zipo kwenye mito na mabahari. Na kila pahala ilipowekwa hufanywa matambiko ndipo unaweza kuta unamiliki shamba miaka mingi ila hujui kama lina mali anakuja mtu mwenye uelewa wa mambo hayo ndipo anafaham kama kuna mali hivyo si kila mtu ana uwezo wa kujua mali pia si kila mtaalama anajua kuhusu hizo mali umakini unahitajika kwa wanaozitafuta.

 NAMNA NA NJIA ZA KUPATA HIZI MALI

mizimu inayoshikilia ulinzi ikiwa itakupenda inaweza kukuotesha sehem ilipo mali wakakupa namna ya kufanya ili uipate. Mara nyingi kuna baadhi wa wataalam hupata ndoto hizi na hupewa mashart maalum wanapofaulu basi wanapata wakifelu hukosa. Na hili halina njia kwamba uombe mpaka wenyewe wakutunuku. 

Kwa watu wa kawaida wanaotaka mali jambo la kwanza lazima ujue mzimu unaomiliki hiyo mali asili yake vitu wanavyopenda wanapoitwa kufanya kazi zao. Jambo la pili lazimq ujue makafara yaliyotumika wakati wq kuhifadhi. Maanae huwez kupata mali kama hujarejesha lile kafara liliotumika. Yaan wakati wa kuzihifadh kafara lililotumika ulijue na hii ni kazi ya wataalam.

Ukishajua kafara lake yakupasa uzidishe mara mbili kama walichinjwa ng'ombe wawili wakat wa kuhifadhi basi itawapasa wapatikane ng'ombe wanne. Sehem ilpowekwa wanyama zaidi ya sita ni sawa apatikane mtu mmoja mwenye akili timamu na nguvu. Hivyo kipengele hiki ndio kigumu zaidi.

Jambo muhimu zaidi walipohifadhi mali zao waliweka zaidi ya viumbe sita kama kafara na zipo sehem wamezimwa watu hivyo pale unapotaka kujiingiza kwenye utafutaji wa mali hizi basi jua katika kundi lenu lazima watapotea watu sababu ya makadirio ya makafara yaliyowekwa.

Unapoenda kwenye utafutaji kwanza lazima muwe zaidi ya mtu mmoja uiswe peke yako, pili lazima ujikinge sana sababu mizimu inayolinda lazima itaondoka na mtu. Jambo la tatu kwenye kundi lazima awepo msoma ramani ili kwwnye alama zilizowekwa chini ajue pakupitia wapi na ipi njia sahihi. Jambo la mwisho lazima muwe na mtu mtaalam anayejua alama za mizimu ya kijeruman iliyowekwa hapo ili kila hatua mnayofikia mjue chakuweka kama sadaka 

Nasisitiza mali yoyote inayohusiana na majini kuna vipengele vya kafara hivyo jishughulikie sana kabla ya kujiingiza kwenye utafutaji wa mali hizo. Mali zinazokusudiwa ni dhahab na madini walizopora enzi za ukoloni, kuna vtu walivyokuwa wanatumia wenyewe kama pasi majiko, vikombe, fedha zao nk.

KUWA MAKINI SANA SABABU KUNA KIPINDI ULIZUKA UTAPELI WA UTAFUTAJI HIZI MALI, HIVYO UNAWEZA TAPELIWA VILEVILE USISHIRIKI NA WATU USIOFAHAMIANA NAO KABLA YA KUJIINGIZA SHUGHULIKIA HAYO NILOELEZA MALI ZIPO NA UTAPELI UPO MKUBWW SANA.

VITU HIVI VINATUMIKA KWA WAGANGA WA JADI KATIKA TIBA NA MASUALA YA MALI ZA KISHETANI. KWA WAJERUMANI WWNYEWE HUUZA MAKWAO NA WAKATI MWINGINE HUBIPELEKA KWWNYE SEHEM ZA MAKUMBUSHO HIVYO KUNA FEDHA WANALIPWA. HIVYO KWENYE HILI KUNA UKWELI UPO LAKINI PIA UTAPELI UPO MUHIMU KUWA MAKINI

      MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA

KATIKA KUFUATILIA MALI ZINAZOHUSIANA NA MAJINI NI LAZIMA KWANZA UJUE MAKAFARA YALIYOFANYWA HAPO AMA KUJUA ASILI NA MAMBO WANAYOPENDA HAO MAJINI WANAYOMILIKU HIYO MALI. VINGINEVYO UNAWEZA JIKUTA UNAPATA NUKSI ISIYOISHA AMA ULEMAVU WAKUDUMU AMA MUHUSIKA KUJIKUTA MWENYEWE ANAKUWA SEHEM YA KAFARA.

SHUGHULI YOYOTE UNAYOTAKA KUIFANYA IWE BISHARA UVUVI USAFIRISHAJI BIMAANA UNAMILIKI VYOMBO VYA USAFIRISHAJI LAZIMA KWANZA MUHUSIKA UJISHUGHULIKIE UHAKIKISHE MWIKI UPO SAWA NYOTA YAKO IWE JUU UFALME UWE JUU PATA  NA PETE YA BAHATI KWQ NYOTA YAKO KULINGANA NA SHUGHULI ZAKO. HIVYO HAKIKISHA KILA KITU KINAKUWA SAWA DHIBITI BIAHSRA YAKO NAJITAHIDI KUELEZA VTU VYA SIRI SANA VYA MAFANIKIO NIA YANGU USIWE NA AKILI YA KUTAFUTA MALI ZISIZO NA FURAHA NAMAANISHA MALI ZA MAJINI. NAPOKE JUMBE NYINGI KUHUSU MALI MIMI SITOI MALI 

KWA UFUPI IKIWA UTASHUGHULIKIA MAENEO NILOZUNGUMZA BASI UNAWEZA KUFANIKIWA. MASWALI KUHUSU MADA ULIZA HAPO CHINI.

MAKALA HAYA SEHEM YA SIMULIZI NMEIPATA KWA WAZEE WALIOKUWEPO WAKATI WA MKOLONI AMBAO WENGINE NI WALIMU WANGU KWA FANI WAALIMU WANGU KWA MAISHA. KAMA UMELIPENDA SOMO RUKSA KUSHEA KAMA UTAKOP BASI WEKA MAELEZO MUANDISHI NI NANI NA USITOE WALA KUONGEZA KITU

Una shida yoyote ya nyota, bishara, kazi, mapenz, pete za bahati, nguvu za kiume, kukuza dhakar, uzazi, nk

+255621442936

KWA MNAOTUMA UJUMBE JITAHD KUWEKA MAELEZO YAKUTOSHA YA SHIDA YAKO JUMBE ZA HI, MAMBO, HABAR, KWEMA NK JUMBE FUP SITAZIJIB.

Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI