Posts

Showing posts from September, 2022

ASILI ZA MAJINI 'JINI WA KIMASAI' CHANO, UTAJIRI, TIBA NAMNA YA KUFANYA KAZI

Image
BAADA ya kuzungumza kuhusiana na Nyota kuzifafanua aina zake na makundi yake. Kazi utafutaji mali na nani wakushirikiana nao. Pia nkaongelea Mizimu kwa uwanda fulan inapatikanajr vipi unaweza kifanikiwa na vipi yuwaweza kujitoa. Sasa tunaingia ulimwengu wa Majini na leo tunamzungumza jini wa Kimasai. Kutakuwa na ufafanuzi wa asili ya majini nguvu zao ufalme na namna wanavyofanya kazi. Na leo tumeanza na Jini wa Kimasai ikiwa mtatoa ushirikiano nitaendelea kuwachambua hakutakuwa na ushirikiano nitaendelea na habar zingine. Itakuwa kama zile makala za uchambuzi wa herufi ambazo tumeishia njian kwa kukosa ushirikiano.         ASILI UFALME WA JINI MASAI Jini huyu ana jinsia ya kiume ni ngumu sana kukuta mtu mwenye jini wa Kimasai iwe mganga au mtu wa kawaida kisha akawa na sauti ya kike. Jini huyu ni mfalme wa majini wa bara au majini pori. Anapokaa kichwani kwa mtu lazima yeye ndiye awe kiongo,i wa kuongoza wengine ramli kazi kubwa hufanywa na yeye. Hupenda mavazi ya kimasai a

SIRI, THAMANI, UCHAMBUZI WA HERUFI H KATIKA MAISHA UTAFUTAJI NA MAPENZI

Image
UCHAMBUZI HUU UNALETWA KWAKO NA MTABIBI ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA LEO TUNAENDELA DARASA ZA THAMANI NA UCHAMBUZI WA HERUFI ZA MAJINA KATIKA MAZINHATIO YA KIMAISHA. HEEUFI HIZI ZINAHUSIANA NA MASUALA YA UTAFUTAJI NA MAISHA YA KIMAPENZI KATIKA UTAFUTA MAENDELEO. TUMESHAZUNGUMZA HERUFI A,B,C,D,E,F,G SASA LEO TUNAINGIA HERUFI H. KAMA UMEPITWA NA HERUFI HIZO PITIA DARASA ZILIZOPITA MAKALA ZIPO HAZIFUTIKI. UTARATIBU NI ULEULE JITAHDI KUSOMA KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO.     MAISHA HALISI YA WATU WA HERUFI HII Wana uwezo mkubwa wa uvuto au kuvutia watu katika mambo yao. Ni wenye uelewa mkubwa, majasiri katika kukabiliana na matatizo ambayo wengine yamewashinda. Wana tabia ya kutilia mkazo mambo yao, tena kwa ukali na ikibidi kutumia ukatili ili jambo litimie wao wako tayari.Ni wasiri na wanaopenda kufanya mambo yao kwa siri sana. Ni wenye akili nyingi, waerevu na wepesi sana kuelewa mambo. Wanaweza kujidhuru wao wenyewe mambo yanapowawia magumu.     TABIA ZA KIMA

SIRI, THAMANI, UCHAMBUZI WA HERUFI I KATIKA MAISHA UTAFUTAJI NA MAPENZI

Image
UCHAMBUZI HUU UNALETWA KWAKO NA MTABIBI ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA LEO TUNAENDELA DARASA ZA THAMANI NA UCHAMBUZI WA HERUFI ZA MAJINA KATIKA MAZINGATIO YA KIMAISHA. HERUFI HIZI ZINAHUSIANA NA MASUALA YA UTAFUTAJI, MALI, UTAJIRI NA MAISHA YA KIMAPENZI KATIKA UTAFUTA MAENDELEO. TUMESHAZUNGUMZA HERUFI A,B,C,D,E,F,G,H SASA LEO TUNAINGIA HERUFI I. KAMA UMEPITWA NA HERUFI HIZO PITIA DARASA ZILIZOPITA MAKALA ZIPO HAZIFUTIKI. UTARATIBU NI ULEULE JITAHDI KUSOMA KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO. TABIA ZAO HALISI KIMAUMBILE KATIKA MAISHA      Watu wa herufi hii wanamatumaini ya mafanikio kwa lolote wanalolitegemea. Wanapenda kuwa na uhuru wa kupenda na kuchagua na wanapenda watu wengine wawe kama wao. Wapo wazi na wanaopenda kusoma. Ni wakweli na ukitaka kuelewana nao na wewe uwe mkweli wanaoenda mambo yao kukalimika haraka sio nusunusu. Ni watu watulivu, waaminifu na wanapenda uadilifu,.hawapendi kuamrishwa kufanya jambo kwa sababu wanaamini kwamba wao wenyewe wana uwezo