KUFARAKANISHA AU KUTENGANISHA WATU

KUFARAKANISHA AU KUGOMBANISHA

MARA KADHAA nimepokea malalamiko watu wanachukuliwa waume zao wake zao au wanachukiwa na watu ofisin ambao wanajifanya wapo katibu na mabosi.

sasa kufarakanisha au kuyengenisha fuata maelezo kwa makini ukishindwa ndo unitafute. 

hii inahusiana na mafusho sambamba na kafara la faraqa

mafusho yake ni haya 1. Sandal nyekundu, 2. Haltiti, 3. washqu (uwatu) 4. Miatsaila 5. maganda ya karanga. 6. magadi 7. ugoro 8.shubili Unachoma mafusho hayo muda zohari

FUSHA KWA CKU TATU HUKU UKINUIA HITAJ LAKO UKIMALIZA FANYA HIVI

Mahtaji Chungu kipya Kuku kinyavu Yule mwenye manyoya yalosimama Mahindi Makapeni nyeusi Jiko na mkaa

Andika majina ya unaowataka wagombane ndani ya chungu kwa kuzipa nafasi hzo heruf yaan kwa kuzipishanisha utaandika na tarasimu yake

Ukimaliza mchinje Yule kuku damu ikimiminikia kwenye chungu

Bandika hicho chungu kwenye moto uwe mkali hakikisha damu ikauke Weka mahindi koroga huku ukiwa unanuwiya unachotka na uweke tageti ya ck yaan nataka baada ya ck fulan Kila mtu awe na hamcn zake wameshagombana

Endelea kukoroga mpaka mahindi yaungue yageuke vumbi

Epua Kakivunje njia panda kikiwa cha moto ukiondoka usigeuke nyuma

wakat wakvunja tamka hiv ewe njia panda kama zlvyokutana barabara hv najua nawao walkutana wakaunganga kama ziligowanyika barabara hz naomba na wao kuanzia leo kila mtu ashike njia yake wasipatane kiangushe kwa nguvu ili kivunjike

Subr majibu kwa ck ulizokadiria

Vtu vya kuzingatia lazima kazi hii Ifanywe na mtu aliyeonewa kweli ukifanya kwa ubaya inakurudia

Pili lazma ifanywe muda maalum ambao unahusiana na faraq

0621442936

 facebook page mtabibu asili tz

Comments

  1. Replies
    1. Je kama Mimi ni Mimi ni mume wa mtu na nataka kuwaachanisha nafanyaje

      Delete

Post a Comment

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI