Posts

Showing posts from March, 2020

DAWA ZA WATOTO TIBA YA MTOTO ANAYELIA USIKU

Image
DAWA ZA WATOTO TIBA YA MTOTO ANAYELIA USIKU MARA nyingi watoto hulia usiku kutokana na sababu kadhaa, hapa nawaongelea watoto wa changa. Sababu za watoto kulia kupigiliza maana kunabkulia kawaida na kulia kupitiliza, mtoto asipolia kabisa pia ni tatizo na akilia kupitiliza pia ni tatizo. Sababu za mtoto kulia kwanza hutokana na njaa hivyo ukimpa nyonyo hunyamaza, pili  ni hofu na mara nyingi mtoto mwenye hofu akilia ukimpa nyonyo unyonya kidogo kisha huacha pale anakua amepata faraja. Lakini wakat mwingine huhitaji uwepo wa mzazi wake hivyo hulia akihisi yumpweke anapopakatwa hunyamaza. Lakini pia kuna sababu za watu wa baya ambao huja usiku kwa kuwa mtoto ana uwezo wa kuona huwa wanamtisha hivyo hulia na hanyamazi hata umpe nini, kingine mzazi anaweza akawa na jini baya pia laweza mtisha mtoto usiku asilale akawa analia kingine nyumba yaweza ikawa si nzuri mnayoishi na sababu nyingine nyingi.  Ili asiwe analia Chukua halititi,ambali,miat sail na karful mait chanaganya pamoja tia kweny

FAHAMU KUHUSU KIBATALI NA MATUMIZI YAKE KATIKA KUREJESHA MAPENZI

Image
FAHAMU KUHUSU KIBATALI NA MATUMIZI YAKE KUMREJESHA MUME MKE ALIYEKUKIMBIA NAPOKEA maswali mengi kuhusiana na mambo ya mapenzi kifupi, hii ni taaluma za watu km zlvyo taaluma zingine unapaswa uheshimu. Ni vyema ukapata usimamiz wa mtaalam aliye karbu nawe wakati unafanya zoez hili Kuna vtu vyakuelekeza na kuna vtu ww huwez vfanya bila usimamizi wa mtaalam. Na ucnitafute kwenye simu ukiwa una mashaka jiridhishe kwanza ndo unitafute. Leo nawapa kwa ufupi uchawi wa kutumia kibatari katika kuita mtu aliyekuacha. Nitaeleza kwa ufupi vile vinavyoelezeka kwenye utaalam zaidi nitakushauri wapi ufike jitahd kusoma kwa umakini sana na upole. Mahitaji Kibatali kipya Sanda iliyosalia (inatakiwa sanda iliyobakia wakati wakushona na sio mpya) maji ya bahari Mafuta ya taa Uvumba Kitambaa cheusi Kazi hii ufanyike sk ya ijumaa kuanzia saa cta uck au kama utaifanya siku za kawaida ikiwa ni mwanaume ndio unafanya basi hakikisha unaipata saa ya zuhura siku unayotaka kufanya. Ikiwa mfanyaji ni mwanamke anam

FAHAMU MAAJABU YA KUFULI KATIKA KUREJESHA NA KUDHIBITI MPENZI, KUMFUNGA MTU NYOTA NA KUMFUNGUA

Image
FAHAMU MAAJABU YA KUFULI KATIKA UWANJA WA TIBA ASILI UCHAWI WA ZAMANI SEHEMU 1 UCHAWI huu hutumika sana bara Asia na inaaminika ni moja kati ya tiba zenye kuleta matokeo makubwa zaid. Kuna nchi nyingi baada ya ndoa tu wahusika hutumia dawa kutengeneza na kufuli ili wasiachane maisha yao yote. Kufyli huweza kumdhibiti mtu, huweza kumfunga mtu nyota yake, huweza kumfungua mtu vifungo huweza kumsafirishia mtu nk. Leo nitagusia mambo machache yanayoweza kufanywa na kifuli ila kwa urefu tutaweka makala kwenye group la whatsap kutokana hatuwez kuanika kila ktu hadharani na group la whatsap ni la kulipia. Kumfunga mtu  Ukiangalia picha hapo juu ni kufuli iliyotumika kumfunga mtu yaani kmfungia mambo yake kwenye milango ya fedha mapenzi nk utengenezaji wake inatumika athari yake aidha nyuzi ya nguo au nywele unyao au mchanga wa kivuli chake  Hutengenezwa kwa tarasimu maalumu na viingita vyake kisha inafungwa ile kufuli na kutupwa au kuhifadhiwa sehemu basi aliyefanyiwa haya atapata

KIFUNGO CHA MIMBA KUCHELEWA KUJIFUNGUA

Image
KIFUNGO CHA MIMBA KUCHELEWA KUJIFUNGUA WAKATI wa ujauzito kuna maradhi na mambo mengi mpaka mtu kujifingua salama leo naongelea kifungo. kuna vifungo vingi kama vile ridhki mapenzi kazi nyota nk vyote vina tiba zake fka kwa wataalam karibu nawe wakuchunguze kwanza au njoo ofcn Tanga hapa naongelea kifungo cha mimba. wakati mjamzito anapojisikia uchungu na akienda hospitali mtoto hatoki, uchungu kukata  au kupitisha miezi ile ya kujifungua hiki ndicho nakiongelea hapa. ikifikia hatua hiyo mmoja wa wauguzi awahi kwa wataalam akaangalie kuna kp kinachosababisha na nn kifanyike kumnusuru mzazi. Wakat mwingine madhara yaje husababisha upareshen hata kumkosa mzazi au mtoto. siku za nyuma niliwahi kuongelea mlangamia au mfunganga utachemsha kamba zake utampa mgonjwa kwa kikonge cha plastic kisha atakichia kwa kukidondosha  njia ya pili waweza tafuta mzizi wa mti wa mfunguo pia ukamchemshi mgonjwa akanywa wakati anaposikia uchungu pia kuna makombe ya kuoga na kunywa kwa ufunguzi ma