KUHUSU KUNG'ARISHA NYOTA KWA KUTOA SADAKA KWA WATOTO WADOGO


KUJIIMARISHA KINYOTA MVUTO WA CHUMO LA AMALI ZAKO

KILA mmoja anazo shughuli zake za kujitafutia ridhki ili kuyaendesha maisha yake. Zipo shughuli za heri na shari ila si wote wanaofanya shari hupenda wakati mwingine ni majukuku kuwabana na hakuna njia nyengine ya kuyatatua. Si hamasihi watu kufanya shughuli mbaya nipo katika kukuelewesha namna ya kuupata unafuu katika mihangaiko yako.


Nmekuwa nikiulzwa sana baadh ya maneneo ninayotumia kuna watu huwachanganya ila hiki ninachoandika ni kiswahili sanifu alhamdulillah nmekaa na wazee pia nmesoma sana kiswahl elimu ya dunia. Hapo juu neno chumo maana yake ni kipato au fedha unayoipata baada ya kufanya kazi amali ni shughuli yoyote unyoifanya ili kupata hicho kipato sasa kuna amali njema na mbaya kama nilivyoeleza hapo.

Kabla ya kuendelea nataka niweke sawa ikiwa una mikwamo mambo hayaend unahs na kuona kabisa sio kawaida kwanza yatakiwa iangaliwe tatzo na chanzo chake ikiwa ni vifungo husda upepo mchafu majini nk vishughulikiwe kwwnza ndio uifanye kaz nitakayoieleza hapa chini. Na njia za kujua tatzo ni kufika kwa wataalam maana nitaulizwa sasa ntajuaje km nina jini hyo ni kazi ya mtaalam atakuangalia atajua tatzo na chanzo chake atibie kwanza chanzo kisha ndio aendelee na shughuli myengine.


MAMBO YA KUZINGATIA KWENYE SHUGHULI YENYEWE KUIMARISHA

kuna mambo yatakiwa yapatiwe usimamizi bimaana upate wakukusimami. Kuna mambo utayafanya mwenyewe jitahd kufuatisha kila ninachoeleza na kukifanya kikamilifu ili kupata majibu. Kuna mahitaji muhimu yatakiwa lazma yapatikane kwanza fusho la nyota yako, upate buhuri safi, mchanga mweupe wa bahar ule wakumeremeta wakati maji yakitoka, upate nyota ya bahari ipo kama nyota unayoiona usiku. Pia upate nguo nyeupe au kitambaa viwe vipya upate na msekela, mcheka na mbigu, marashi jabal na mmelemeta.

Zoez lako la kwanza linatakiwa liwe na msimamiz anayejua kusoma quruan asiwe mzinzi. Upate na watoto wasiopungua 21 itapendeza kama watakuwa thelathini ilia upate uwepes wa jambo lako. Uwe na hela za chenji yaan zipungue idadi ya watoto ikiwa wtoto ni thelathn bas fedha iwe 2500. Yatakiwa uwe msafi usiwe na hedhi nifasi wala janaba weka maji yako kwenye ndoo yawe masaf pia utawka hzo hela na hizo daws nilizotaja na hyo nyota utaiweka ielee kwenye hayo maji kasoro buhur saf na fusho la nyota yako usiweka ni dawa za kuchoma.

Kabla ya zoez lako yatakaa uwe na motot utie nia yako uchome fusho la nyota yako utachanganya na hiyo buhuri safi. Nuia ukitakacho na wepesi wa kazi yako unayoitaka kuifanya ili iwe na matokeo mazuri choma kidogo nyengine iache. Zoz linalofuata latakiwa liwe na msimamiz kama nlvyoongea.

Uwe na kistuli ukiwa umevaa aidha nguo nyeupe au kitambaa cheupe. Ule mchanga wa bahar utauweka juu ya kitu kama badi kisha uweka mbele yako utakanyaga peku ukiwa umekaa kwenye hicho kiti chako utatamka maneno yafuatayo. "mchanga huu una uwezo wa kubeba maji na maji yakabeba meli nabmeli zikabeba watu na mizigo yao basi na mm niwe kiungo katika mambo yangu shughuli zangu watu wanione kama kiunganishi kama ulivyo mweupe huu mchanga nawe mweupe kiroho na kimuonekano ewe mungu nisaidie"

Msimamiz wako atakiwa awe na udhu na we uanze kwa kuchukua udhu kama yuwaenda kuswali. Kisha atakumia maji upande wa kulia kisha amalize upande wa kushoto kisha aeneze maji mwili mzima huku akisoma aya saba za mwanzo za surrat yassin mara tatu kisha amalizie na ayyatul kurusiyu. Ahakikisje maji yameingia pande zote za mwili kisha utaenda kubalisha nguo jitahd uwe na mavaz mapya ili mambo yaende vizur.

Angalia mtoto mdogo kuliko wote kati ya uliowachagua au uliowaalika, aitoe hyo nyota humo ndan na hizo hela kisha akupatie wewe utamkabidhi hela yake zilizobak utachukua wewe waite wakae mbele yako tamka maneno yafuatayo. " hela ndio kila kitu katika maisha ya mwanaadam kila afanyae kazi ataka fedha, kila anayeiba ataka fedha bila fedha huna heshima fedha hupandisha watu daraja fedha hugombaniwa basi nami nigombaniwe nipande daraja kama hawa watito watakavyogombania fedha haoa nami nigombaniwe kwenye shughuli zangu watoto nafsi zao ni safi hawajui baya basi nionekane mwema kwa kila nilifanyalo mungu simama nami".

Mwaga hizo fedha acha watoto wagombanie atayekosa utawaweka pembeni kisha utawapa yakwao mikononi yaan maana yake hata kama ulitaka kitu ukakiosa kwa kuwa wenzio walikuzid marifa au nyota basi unaweza kutafutwa binafs mambo yako yakaenda sawa pasina kuvuja jasho. Ile nyota yatakiwa uianike ikauke utaikwangua unga wake utaweka kwenye mafuta ya ashers na utakuwa ukipaka kwa siku saba na kuchoma fusho na hilo buhur safi.

Zoez linalofuata ni kula pamoja na hao watoto hakikisha umeandaa chakula cheupe kinachopendwa sana na watoto wa eneo lako kwa huku kwetu ni wali wawwza pata maharage au samak au nyama yategemea na mfuko wako upoje. Ule nao hasa wale wenye umri mdogo unaweza kukaa nao sahan moja mle huku mwapiga story andaa na maji au vile vijuis vya kitoto cha vikopo angalia mfuko wako ulivyo.

Mkimaliza hapo wanaweza kutawanyika kuendelea na michezo yao kazi hii yatakiwa ifanyike ijumaa au lhamisi au junatato au jumapili jmos na jumanne si nzur ila Ijumaa ndio yenyewe kabisa kabla ya mshuko wa swali yaan unafanya hivyo kisha nenda kapate swalat jumaah kwa wale waumin wa dini ya kiislam ikiwa iman yako si muislam ukimazliza sadaka vaa tu nguo yako mpya tia utur wako utayaona matokeo mdogo mdogo kuanzia siku hyo.

ZOEZ LINAFUATA NI KUIMARISHA SHUGHULI ZAKO IWE KAZ AU MAMBO MENGINE WE UISIKAE MBALI NA UKURASA HUU NITAZIWEKA ZIMEBAKI MBILI NATAKA NIWAMALIZIE MWAKA NA MUANZE MWAKA KWA FAIDA TELE KAMA UPO HAPA NA HUNUFAIKI BASI JICHUNGUZE VIZURI. UFAFANUZI ZAID WA MAELEZO NILIYOYATOA LEO PICHA NA MANENO YA KIMANUIZ ZAID NITAYATOA KWENYE GROUP LA WHATSP PIA KUNA LINK MWISHO WA HII MAKALA UNAWEZA TEMBELEA MAANA GROUP SIO BURE LINALIPIWA KWA WANAOHITAJ KWA AJILI YA VTU MUHIMU HASA KUHUSU NYOTA.

MAMBO YA KUZINGATIA KWA MAELEZO NILIYOTOA LEO.
Nmesema muendeleoz wa kuimarisha shughuli zingine nitaiztoa uchambuzi zaid ni whstap group. Vitu nilivyotaja vinapatika maduka ya dawa asili kasoro mchanga kam upo bara unaweza agizia kwa walio mikoa yenye bahari. Nitatoa msaada kwa watu walio karbu na Dsm wanaotaka kusimamiwa kwa shughuli hii na pamoja kuanzia na nyota keshokutwa nitakuwa karbu na Dar. Narjea tena keshokutwa nitakuwa karbu n dawa kwa wanaotaka wanichek mapema nijue vyakubeba kwa walio mbali waweza fuata utartbu huo au kuwasiliana nami nijue nikusaidia vipi. Makala haya yameandaliwa na kuandikwa na Mtabibu ASILI TZ ruksa kushea ila usikop.

Una tatzo lolote la nyota, biahsra, mapenzi kazi, nguvu za kiume, kukuza dhakar, uzazi, jini mahaba kesi nk niachie ujumbe inbox yangu

+255621442936
Whsp group ni la malipo





Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI