Posts

UCHAMBUZI WA THAMANI YA HERUFI C KATIKA MAISHA NA MAPENZI

Image
UCHAMBUZI HUU UNALETWA KWAKO NA MTABIBU ASILI TZ JITAHDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO MUJJARAB LEO TUNAENDELA DARASA ZA THAMANI NA UCHAMBUZI WA HERUFI ZA MAJINA KATIKA MAZINHATIO YA KIMAISHA. HEEUFI HIZI ZINAHUSIANA NA MASUALA YA UTAFUTAJI NA MAISHA YA KIMAPENZI KATIKA UTAFUTA MAENDELEO. TUMESHAZUNGUMZA HERUFI A,B SASA LEO TUNAINGIA HERUFI C. UTARATIBU NI ULEULE JITAHDI KUSOMA KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO.    MAMBO YANAYOHUSINA NA HERUFI C watu wenye herufi hii wametawaliwa na hisia kali sana na hupenda kukasirika upesi. Ajkili zao hazijatulia ni wafu wanaobadilika badilika wanamaneno mengi. Wana ushawishi mkubwa wa kimaneno. Katika mapenzi, wao wanapenda vitu au mambo tofauti tofauti, wakihisi wamechoshwa basi huwa wa kwanza kuondoka aidha kwa muda au moja kwa moja. Sio watu waaminifu mara zote wanahisi kwamba kuna kitu wanakikosa nje hivyo basi wanatoka sana nje, hata kama wakiwa wana ndoa yenye furaha.Wengi wao wanafikia hatua ya kuishi maisha ya sehemu mbili; mke

UCHAMBUZI WA THAMNI YA HEEUFI B KINYOTA MAISHA MAFANIKIO NA MAPENZI

Image
TUPO KWENYE MUENDELEZO WA KUCHAMBUA HERUFI NA THAMANI ZAKE KATIKA MAISHA YA BINAADAMU NA MAPENZI. TUMESHAMILIZA HEEUFI A SASA TUNAINGIA HERUFI INAYOFUATA AMBAYO NI B. CHAMBUZI HIZI ZINALETWA KWAKO KUPITIA PAGE HII YA MTABIBU ASILI TZ NIPO MBION KUREJESHA GROUP LA WHATSAP ILA LITAKUWA NA MALIPO NA NI ELF KUMI KWA MWEZI KWA WANAOHITAJI TU. NAREJRA TENA GROUP LITAKUWA LA MALIPO NA NI ELF KUMI KWA MWEZ KWA WANOHITAJI TU. Herufi B huwakilishwa watu wenye hisia kali watu wapole wanaofanya mambo yao kwa usiri mkubwa. Ni watu wasiopenda tabu wala shida hawapendi kujiumiza sana linapotokea jambo basi wapo tayar kuacha kitu ili amani ya nafsi zao zipatikane. Hawapend sana kusumbua akili biahsra au jambo likiyumba huona ni heri kuachana nayo. Wanarubuniwa haraka wepesi wa kusahau pia wanaweka visasi.    NINI KITATOKEA HERUFI B IKIKUTANA NA HERUFI NYINGINE B&A mapenz yatakuwepo ila A atajifanya mjuaji zaidi ataishi kwa kutaka kuwa juu. Ndoa ama mahusiano yaweza kuisha bila sababu y

UZITO WA HERUFI YA JINA LAKO KATIKA MAISHA NA MAPENZ 'HERUFI A'

Image
HABARI ZA JION NMEZUNGUMZA SANA KUHUSU NYOTA NA KILA KINACHOWAHUSU SASA NTAWALETEA MFULULIZO WA UZITO WA HERUFI YA JINA LAKO. ANAYEKULETEA MAKALA HIZI HADHWIM NA NGUMU ZENYE MAARIFA NI MTABIBU ASILI TZ. Hapa ntaongelea uzito wa herufi ya mwqnzo wa jina lako. Ukikutana na hwrufi ya jina nyingine nini kitatokea maisha yako yatakuwaje na wapi unaweza kutoka kulingana na matatzo utakayokutana nayo ungana nami mwanzo mpaka mwisho. Leo tutaanza na herufi A mkileta ushirikiano mzuri nitaendelea mpaka herufi Z kukiwa hakuna ulazima basi nitaziandika na kuziweka kwenye blog. Ikiwa utataka ,iwekwe hapa basi usisite kuweka coment yako hapo chini. Watu wenye herufi A huwa wakimya sana hufanya mambo yao kisiri. Na hupenda sana kuwasikiliza wapenzi wao kuliko wazazi na ndugu zao. Watu hawa uzazi kwao upo karibu sana ila huchelewesha ama kukwamishwa na aina ya watu wanaokuwq nao kwwnye mahusiano. Watu hawa husumbuliwa na majini ama maradhi ya kijini na kupona kwako huchukua muda. Watu haw

KUHUSU MALI ZA WAKOLONI 'WAJERUMANI, RUPIA, VITU VYA KALE' FAIDA HASARA NAMNA YA UPATIKANAJI

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHID KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO MUHIMU NILIWAHI kuzungumza kuhusu namna ya kupata madini kwa watu wa wanaofanya shughuli migodini. Nilipata maswali kadhaa kuhusiana na mali za kikoloni na rupia sasa jitahdi kusoma kwa upole makala yote pili nasisitiza maswali yaulizwe chini ya coment.  Mali za kikoloni ziliwekwa ardhini kwa kuficuwa baada ya wakoloni wenyewe kufanya safara ya kurejea kwenye nchi zao. Waliweza kubeba mali zinazobebeka na nyingine kuzizika ardhini. Lengo la kuweka lilikuwa mali chini moja ni sehemu salama kwao kwa kuwa nyakati hizo waaftika wengi walikuwa hawana elimu. Lengo la pili wakifika kwenye nchi zao huwaoa ramani watu wao wa karibu ili kuja kuzichukua na kuondoka nazo  Inasemekana mali hizo ni rupia na viti vingine vya thaman ambazo kama ukifanikiwa kuzipata na kufanikiwa kuuza basi maisha yako yanatononoka kwa kipato utajachokipata. Katika kila kanda basi kuna masalia ua mali za Mjera

NAMNA YA KUTOA MAJINI WANAOSUMBUWA WANAADAMU

Image
FAHAMU KUHUSU UTOAJI WA MAJINI NA KUWATULIZA MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHDI KUSOMA MPAKA MWISHO  WIKI iliyopita nikizungumzia kuhusiana na falme zinazomiliki siku. Nilifafanua kuhusu Sayari inayobeba siku, Jini mwenye nguvu wa siku na Malaika msaidizi. Nikaweka masaa na kazi zake uradi wa siku na makafara yanayohusiana na siku husika. Sasa naanza kujibu baadhi ya maswali niliyoulizwa sana. Ila kabla sijaenda mbele napenda kutoa muongozo ukiona nimeweka darasa hapa una swali uliza chini ya makala husika namba nimeweka kwa wenye shida hivyo mnanipa wakati mgumu kunijazia jumbe za maswali hivyo mpaka wengine wanaohitaji ushaur ama dawa naahindwa kuziona jumbe zao.  Katika zile makala niliongelea kuhusu masaa na siku za kushughuika na mambo ya majini kama ulipitwa makala zipo kama uliiona ukaipuuzia basi isome utapata ufahamu mkubwa. Wengi nimegundua wanasumbuliwa na majini kulingana na maswali halaf idadi kubwa ni majini mahaba na majini mait

SIKU NA MILKI ZAKE, FAHAMU KUHUSU MALAIKA, JINI NA SAYARI ZINAZOBEBA SIKU

Image
MAKALA HAYA YANAONGELEA MILKI ZA SIKU. YAANI JINI MALAIKA NA SAYARI ZINAZOMILIKI SIKU. NITAFAFANUA SAYARI NA NYOTA ZENYE UWEZO WA KUWA NA NGUVU KWA SIKU HUSIKA PIA NA MATUKIO MUHIMU UNAYOWEZA KUYAFANYA. Katika tiba kuna siku na saa maalumu ambazo kuna kazi zikifanyika huwa na mjibu mujarabu. Yaan kuna kazi zikifanyika siku fulani muda fulan basi majibu yake huwa ni mazuri na hafaka zaidi kuliko zikifanyika siku zingine za kawaida. ww.tabibuasili.blogspot.com Hapa chini nitaongela siku na yanayohusiana na siku hiyo hivyo jitahidi kuwa makini sana katika kusoma. Kila siku zinakuwa na masaa ya kazi ila kuna siku maalumi kwa kazi maalum hivyo umakini wahitajika ukiwa wasoma. Nitafafanua kuhusu masaa buhuri dua na makafara.                   SIKU YA JUMATATU   Siku ya Jumatatu inatawaliwa na SAYARI ya QAMAR au KAMAR 'Moon'. Sayari hii ipo mbingu ya kwanza, Malaika wake  ni JIBRIL na jini wake ni MURRATUL ABYADH. Jini huyu na malaika wake hutawala siku ya leo mchana na Al

SIFA ZA NYOTA KATIKA MAPENZI

Image
MAMBO MUHIMU YA TABIA, SIFA ZA NYOTA KATIKA MAMBO YA MAPENZI MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHD KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO MUHIMU KUHUSU NYOTA Kama ni mfuatiliaji mzuri wa ukirasa huu utakuwa umekutana na makala nyingi kuhusiana na nyota. Nimeshafafanua nyota zote kila kinachowahusu. Na huu ni muendelezo wa sifa na tabia za kimapenz katika kila nyota. Wapo wanaopenda kunyenyekewa wao tu wapo wanaopenda kuhongwa wapo kiasili wao ni wahuni sana jitahd kusoma kwa umakini kisha weka coment yako mwisho wa makala haya. Nyota ambazo hupenda sana kuanzisha mahusiano na mtu mwenye fedha ama mwenye wadhfa fulani na ukifulia wanakuacha ama kukutesa. Ni nyota ya SAMAKI, MAPACHA, NDOO, SIMBA, MBUZI na nyota ya  MIZANI. Nyota za watu wanaojua kubembeleza kwenye mapenzi na wanajua kupenda. Ni watu wa nyota za NG'OMBE,MAPACHA, NG'E na watu wa nyota ya KAA Nyota ambazo ni ving'ang'anizi na wanajua sana kubembeleza wanapohitaji jambo lao la

NDOTO ZINAZOHUSIANA NA FUNZA KUOZA TAFSIRI NA HATUA ZA KUCHUKUA

Image
KABLA ya kuanza darasa hili napenda kutoa muongozo nimekuwa nikiuweka mara kwa mara hapa. Maswalu yote ya ndoto nayajibu hapa bure kabisa ukiona umesoma post ikaandikwa maswali ya ndoto uliza hapa chini, basi ukiuliza utajibiwa. Wanaohitaji kutafsiriwa private inbox aidha kwa kuona haya kuuliza hapa ama yuwaona mambo yako ni ya siri nmeweka pia utaratibu utalipia utatsfiriwa hivyo huwa sijib mesej za ndoto ila kwa wanaolipia maana nmetoa fursa hapa. Pia kama umempatia mtu namba yangu ana shida za kindoto basi mtosheleze kwanza kuhusu utaratibu au muelekeze aje hapa aulize ni bure. Darasa la leo litahusiana na kuwaona funza ama vitu vilivyooza kwwnye ndoto. Ili kitu kitoe funza lazima kiwe kimeoza na ili kioze lazima kiwe kimekufa hivyo vitu vinavyotawaliwa na funza mara nyingi huwa vimekufa na kuoza. Hivyo kwa asilimia kubwa funza ndotonk huashiria kufa kwa kitu, ama maradhi yaweza kuwa kuondoka ama kuingia. Pia huashiria mashambulizi ya nafsi inayohusiana na mambo ya sihir

TIBA YA HEDHI ISIYOKATA. HEDHI ISIYOKOMA SABABU NA TIBA YAKE

Image
SHIDA, MARADHI YA HEDHI ISIYOKOMA 'ISIYOKATA' KILA mwanamke aliyefikua baleghe yampasa kumpaka hedhi mara moja kwa kwa mwezi. Ndio wajibu na ndio mfumo wa afya ya uzazi ulivyo. Wapo wanenda mara mbili ndnai ya mwez mmoja ila unachotakiwa ni kuzijua siku zako za kwenda hedhi wakati mwingine huo mwez utakuta na mkubwa bimaana unas iku nyingi kuliko mzunguko wako wa hedhi. Wapo mizunguko yao siku 25 wapo wengine 23 wapo wengine 27 nk. Mfano huyu mwenye mzunguko wa siku 23 halaf ikwa hedhi yake anakwenda siku tatu tu anakata. Ikitoke kaanza kupata hedhi tarehe moja mwezi kimahesab atamaliza tarehe tatu ya mwez ukijumlisha mzunguko wake ambao ni siku 23 basi unapata siku 26 huyu ana weza akaenda hhedhi mara mbili ndanu ya mwez ila mzunguko wake upo vile vile haujaharibika ni wala si tatizo. Hii huwatokea sana waliotoka kuzaa halaf hawaon hedhi labda miez saba nane mwaka wengine mpaka mtoto atembee wakija kuanza kupata hedhi huwasumbua na ratiba hubadilika huwa si ile ya awali. Huo n