Posts

Showing posts from 2023

NAMNA JINI ANAVYOINGIA MWILIN, KUTUMWA KUKUMBA NA ATHARI ZAKE

Image
HUU NI MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA ASILI NA TABIA ZA MAJINI. LEO NITAONGELEA NAMNA JINI ANAVYOINGIA MWILINI MWAKO NA KUKUATHIRI DALILI NA ISHARA ZAKE NA NAMNA YA KUSHUGHULIKA NAE ANAYEKULETEA DARASA HIZI NI MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAJA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU 9 KWANZA tufahamu hakuna jini anayeweza kuingia mwilini mwa mtu kwa lengo la kutesa mwili. Jini hupanda kwa kiti wake panapotokea ahitajika kutoa msaada wa kitiba au dharura ya haraka. Mwemye uwezo wa kukaa kwenye mwili wa mtu au mnyama au mti ni Jini aliyeasi ambaye ana sifa za shetanai ndio utasikia una jini mchafu mwilini au jini mbaya. Maudhui ya leo yatazungumzia kwa jinsi gani unaweza kuingiwa na Jini Mchafu mwilini dalili zake ni zipi njozi zake ni zipi na hatua gani za kukabiliana nae. Kuna njia nyingi za JiniChafu anaweza kuingia mwilini na kukuletea madhara, lakini pia kuna misukure ambayo nayo ina uwezo wa kutoonekana hivyo anaweza kukuletea vitimbi ukae

ASILI ZA MAJINI FAHAMU KUHUSU JINI MAKATA KAZI, KUUA NA UTAJIRI

Image
HUU NI MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA ASILINA TABIA ZA MAJINI KAZI ZAO WANAVYOPATIKANA WANAPOISHI NA UTOAJI MALI. UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWQ NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILO NA TIBA NILIWAHI kueleza kuwa majini wana tabia zao kuu wana makazo yao makuu na hata kusimamia vitu vinavyowwza kukupa manufaa kifedha na utajiri. Jini kama makata hafai kupewa kazi ya ulinzi wa duka au shamba atalinda kama una yitaka ila ukimuudhi analichoma fasta na hakitoki kitu hata kimoja. Wale wazee wa kamali kubeti nishawaelezea shetani anayesimamia habari hizo na nmeweka vipengele vyake namna ya kunufaika na anavyofanya kazi ulipitwa makala zipo rejea nyuma utaona.        ASILI NA TABIA ZA MAKATA MAKATA ni miongoni mwa majini wakorofi walioasi falme za ujinini. Ni miongoni mwa Mashetani wenye nguvu zaidi na huwa hawapindishi maamuiz yao. Jini huyu ana asili ya Moto ana sifa ya Ushetani na jukumu lake kubwa kuadhibu watu. Jini huyu hiwa hatumiki kwenye kazi zakuagua hutumika k

DALILI ZA KUWA UNA JINI MZURI ANAYEWEZA KUPANDA NA KUONGEA

Image
ISHARA NA DALILI  ZA MAJINI WANAPAONDA NA KUONGEA KWA AMBAO BADO HAWACHIMBULIWA WALA KUKABIDHIWA KITI, WAGONJWA WANAOSUMBULIWA NA MAJINI MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWQ ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MAELEZO MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU JUU YA MAJINI KABLA ya kuendelea na makala leo nimeelza kuwa nis iku nyeupe na nikabainisha mambo ambayo unaweza kuyafanya siku ya leo kusimamisha ufalme na kujua nn chakufanya ili umiliki mali au umalize tatizo linalokusumbua. Walionitafuta waliotaka kuangaliwa yaliyoelezwa nimeshamalizana nao. Makala hii itazungumza dalili za kuwa una jini na huyu jini ana uwezo wa kupanda na kuzungumza. Katika ulimwengu wa Majini kuna elimu pana sana kuna majini wao kazi yao ni kinga tu. Kuna majini kazi zao ni tiba, kuna majini kazi zao kutajirisha hapa walioasi hutoa pesa haraka zaidi. Hebu tuangalie dalili kuu kuwa wewe una majini na wanazungumza ikiwa watashughulikiwa. Au mgonjwa unayemtibia a

FAHAMU KUHUSU MTURA 'TURATURA' NDULELE MAAJABU NA TIBA YA MARADHI MBALIMBALI

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA YIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU HUU ni muendelezo wa makalq za miti nikizowahi kuzizungumzia zaidi ya miaka saba iliyopita. Hivyo tutakuwa tukirejea baadhi ya miti kwa kuiwekea maelezo zaidi na ufafanuzi wa kina. Mturatura ni miongoni mwa miti midogo yenye matumizi mengi katika ulimwangu wa tiba asili. Huu haupo lwenye madawa ya kisuna ni mti wenye majabu mengi sana katika toba aaili hivyo soma makala mpaka mwisho kama nilivyoeleza hapo juu.        MAJANI YA MTI WA MTURATURA mwenye kisukari chukuwa majani yake ponda ponda upate unga wake utatumia kwenye maji ya vuguvugu kutwa mara tatu Kwa siku 14 neenda kapime Leta mrejesho. Aliyekumbwa na kitu kibaya akawa hajielew atafute mti wa mturatura majani mnukauvundo majani mvumbasi majani kisha achemshe nyungu ajifushe na aoge. Kwa mtu anayesumbuliwa na tumbo la hedhi upate unga wa majani tumia kwenye maji moto n

KUHUSU MAMBO YA KAMALI 'BETTING' MILKI NA MAJINI YENYE NGUVU NA NAMNA YA KUSHINDA

Image
UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWQ ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU HUWA napokea jumbe na maswali mengi kuhusiana na mambo ya kamali wengi wanauliza kuna dawa ya kamali wakitaka kujaribu. Leo nmeona nitolee ufafanuzi hizi kama ninavyoyatolea mambo mengine ninayoulizwa lengo ni kuwafungua akili aidha upate uelewa lakini kubwa zaidi usitapeliwe kizembe, kama umelaiki page yangu mtabibu asilit tz halaf bado unaish kinuonge wewe ni mzembe. Kuna mambo mengi yanayonasibihana na mambo ya kamali na huwez kushinda mshindo mkubwa kama hujainhia kwenye ulimwengu wa wamiliki wa mambo ya Kamali. Kumbuka kamali zote duniani ni mchezo wa shetani na kuna mashetani saba wakuu ndio wanaosimamia michezo ya kamali wakiwa na wasaidizi ama wasimamizi mashetani 45. Kila shetan ana siku yake yenye nguvu kutoa mshindi hivyo sio kila siku atakuwa shetan mmoja lakini pili kila mwaka kuna namba ya siri ya ushindi ambay

ASILI YA MAJINI FAHAMU KUHUSU SUBIANI VITIMBI NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAE

Image
UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWANA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA AS]LI NA YIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU SUBIAANI ni aina ya majini korofi wenye asili ya kike, hupenda kujibadilisha kukingana na mazingira husika. Jini huyu ana tabia mbili za wema na ubaya hivyo wapo wanaotumika kwenye uchawi bimaana kuroga na kuwapa watu mateso na wapo wema ambao hukaa kichwani kwa mwanadamu. Asilimia kubwa majini hawa hutumika kwenye shighuli za kuangamiza watu kuwapa watu mateso na dhiki. Kwa mru asiye mtaalam anaweza mfananisha jini huyu na jini mahaba maana daliki zao zinashabiina inahitajika utaalam wa hali ya juu kujua tofauti zao. Jini huyu anamuongia mtu yeyote na kumtesa mpaka watoto wadogo.        ASILI NA TABIA ZA MAJINI HAWA kama nilivyoeleza hapo juu wapo wa aiana mbili lakini wenye nguvu zaidi ni hawa wabaya hivyo hata mgonjwa akipanda akisema ana subian anataka kutibia jua kuna jini mwingine ndani yakr huyu ana tabia kuiba tabia z