DALILI ZA KUWA UNA JINI MZURI ANAYEWEZA KUPANDA NA KUONGEA

ISHARA NA DALILI  ZA MAJINI WANAPAONDA NA KUONGEA KWA AMBAO BADO HAWACHIMBULIWA WALA KUKABIDHIWA KITI, WAGONJWA WANAOSUMBULIWA NA MAJINI

MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWQ ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MAELEZO MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU JUU YA MAJINI


KABLA ya kuendelea na makala leo nimeelza kuwa nis iku nyeupe na nikabainisha mambo ambayo unaweza kuyafanya siku ya leo kusimamisha ufalme na kujua nn chakufanya ili umiliki mali au umalize tatizo linalokusumbua. Walionitafuta waliotaka kuangaliwa yaliyoelezwa nimeshamalizana nao. Makala hii itazungumza dalili za kuwa una jini na huyu jini ana uwezo wa kupanda na kuzungumza.

Katika ulimwengu wa Majini kuna elimu pana sana kuna majini wao kazi yao ni kinga tu. Kuna majini kazi zao ni tiba, kuna majini kazi zao kutajirisha hapa walioasi hutoa pesa haraka zaidi. Hebu tuangalie dalili kuu kuwa wewe una majini na wanazungumza ikiwa watashughulikiwa. Au mgonjwa unayemtibia ana majini na yanaweza kuongea ukiyafungua tuangalie hapa chini dalili.

     KICHWA KUUMA KWENYE UTOSI 

Ukiwa na dalili za mara kwa mara kichwa kuuma na kuacha au kuhisi kama kitu kimegonga kichwa ukahisi maumivu. Wakayi mwinhine kuuma upende mmoja wa kichwa hiyo ni moja ya dalili zinazokuonesha huyo jini unae na anataka kupanda. Anaweza akapanda kama ukiwa huna mazonge au kuhisi kutoa machozi kwa uchungu au akapanda kisha asiongee huwa ni dalili za jini aliyefungwa au jini ambaye yupo kwenye kichwa ambacho kinamilikiwa na majini wachafu.
 
Hivyo kama mtaalam yatakiwa ufanye kazi ya ziada kuhakikisha unajua uzito upo wapi. Ikiwa wewe mwenyewe ni mgonjwa basi wahi kwa watu wenye utaalam wa majini wanawwza kuchimbua. Jini anapokutawala au kusogea katika mwili wako lazima mwili wako ucheze hasa kichwa na macho. Huwa kuna jambo au ishara yuwapewa hivyo viungo vikicheza sana sababu anakuwa bado hana nguvu za kupanda na kuzungumza.

      KWENDA MIHAYO NA KUBEHUA MARA KWA MARA

Ikiwa utakuwa ukisikia quruani ama ukiswali au ukiskia harufu ya manukato makali kama udi ubani  pafyumu. Basi ni moja ya ishara kiwa mtu huyo ana dalili za majini wanaopada nakuongea. Ila hapa kuna tifaut kidogo ikiwa kila ukiswali mwili unakosa nguvu na kwenda mihayo hiyo sip ishara njema ni ishara ya kuwa na jini mchafu mwilin anakuzuia usofanye mambo ya ibada ataka umuasi mungi wako.

Ikiwa pia mtu akiwa karib na mtabibu anapoga sana mihayo pia ni moja ya dalili kuwa mtu huyo ana jini wakupanda pia kuna ishara kaiona yaweza kuwa njema au mbaya.

      KUOTA NDOTO ZA KUPANDISHA

Hapa ndipo penye siri kubwa kuwa jini uliyenaye ni wa aina gani. Ila ikiwa unaota mara kwa mara unapandisha huwa ni moja kwa moja ni dalili ya kuwa na jini anayepnda ila bado hajawekwa sawa. Katika upandaji huko kwenye ndoto yataangaliwa mazingira ndipo hujulikana aina na asili za huyo jini.

Zipo ishara zingine za kindoto ambazo zinakuwa zinajificha sana ila hii ya kupandisha ukiwa ndoton ni asilimia miamoja  kilichobaki ni kuangaliwa mambo mengine ya kushughulikiwa. Ndoto za kuota kisha jambo likatoea pia huahsiria una majini ila haitafsiri kama ni ya kupanda na kuongea. Ukiota unaelekkezwa dawa ila hujapandisha pia hutafsiri una majini ila si ya kupanda na kuzungumza
 
    KUHISI KICHEFU CHEFU, KIZUNGUZUNGU

Hii ni dalili ya kuwa tayar keshaingia mwilin na amekutawala bado tu kufunguliwa mdomo. Hivyo kuna kipindi unaweza sikis kichefuchefu kikali na hakikati mpaka utumie aidha marashi au majani ya mvumbasi au ujifushe udi ama ubani ndipo kizunguzungu ama kichefuchefu hukata. Na hapo anakuwa tayar mtu mwili unamuuma kama kidonda na huwa mzito sana jua ni moja ya dalili una jini anayepanda na anazungumza

   KUPENDA KUIMBA NYIMBO ZA KIJINI AMA KUKARIRI VITU HARAKA

unaweza ukaenda kwa mganga kumpeleka mgonjwa au shida yako nyingine ila kwenye mambo ya zile nyimbo za kijini na wewe ukawa unaziimba kama yuwazijua vile. Au zikawa zimekukaa kichwan kila ukitembea kama wazisikia zikiimbwa masikion ama ukilaa kuota tena hilo tukio. Au kuota yuwadhiri. Ni moja ya dalili una jini anayepanda na kuongea.

     KWANINI UTOKEWE NA DALILI HIZO

Huwa ishara inayoku9nesha kuwa wewe au mgonjwa anayo majini ya kupanda. Lakini pia huwa ishara ya kuwa kuna jambo linataka kukutokea sasa jini anataka kutoa taarifa lakini hana uwezo wa kuzungumza. Yaweza kuwa jambo zuri ama baya pengine angeweza kutoa msaada wa haraka. Lakini dalili hizi hukuonesha kuwajini hana nguvu aidha amefungwa ama mtu huyu anayo majini machafu yenye nguvu hivyo yanazuia wale wema kujitokesa. 

      MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA 

NAULIZWA MASWALI MENGI SANA JUU YA MAMBO YA MAJINI HIVYO TUTAZIDI KUELEWESHANA KIDOGO KIDOGO  KILA MTU APATE UEWELWA.MWANA WA JINI ANA VITU VYAKE NAVYOPENDA ANA VYAKULA VYAKE ANA MAVAZI YAKE NK NA MAJINI WAMEGAWANYIKA KWENYE KOO NYINGI SANA. HiVYO YATAKIWA UFUNGULIWE NA KUSHUGHULIKIWA KULINGANA NA ASILI YA JINI HUSIKA AFUNGULIWE ACHIMBULIWE APANDISHWE ATAKUWA AKIPANDA NA KUTOA HABAR AU MKIWA NA SHIDA APANDISHWE

SASA KAMA UNA ISHARA YOYOTE KATI YA HIZO AMA UNA DALILI ZINGINE ANDIKA UTASHAURIWA NINI CGAKUFANYA. KUMBUKA JINI ANAMSIKILZA ZAIDI HALIMU WA KIJINI HIVYO UKIWA NA TATIZO JITAHD UPATE WALMU WABOBEZI WA ELIMU HIZO. NASISITIZA U A DALILI  ANDIKA UTASAIDIWA USHAURO UNA SHIDA ELEZA UTASHAURIWA

una shida yoyote ya kindoa nyota mapenz kesi uzazi kukuza dhakar bawasiri pete za bahati nk

+255621442936

Kwa wanaotuma ujumbe weka maelezo ya kutosha jina pahala ulpo shida na msaada unaohitaji




Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI