ASILI ZA MAJINI FAHAMU KUHUSU JINI MAKATA KAZI, KUUA NA UTAJIRI


HUU NI MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA ASILINA TABIA ZA MAJINI KAZI ZAO WANAVYOPATIKANA WANAPOISHI NA UTOAJI MALI. UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWQ NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILO NA TIBA


NILIWAHI kueleza kuwa majini wana tabia zao kuu wana makazo yao makuu na hata kusimamia vitu vinavyowwza kukupa manufaa kifedha na utajiri. Jini kama makata hafai kupewa kazi ya ulinzi wa duka au shamba atalinda kama una yitaka ila ukimuudhi analichoma fasta na hakitoki kitu hata kimoja.

Wale wazee wa kamali kubeti nishawaelezea shetani anayesimamia habari hizo na nmeweka vipengele vyake namna ya kunufaika na anavyofanya kazi ulipitwa makala zipo rejea nyuma utaona.

       ASILI NA TABIA ZA MAKATA

MAKATA ni miongoni mwa majini wakorofi walioasi falme za ujinini. Ni miongoni mwa Mashetani wenye nguvu zaidi na huwa hawapindishi maamuiz yao. Jini huyu ana asili ya Moto ana sifa ya Ushetani na jukumu lake kubwa kuadhibu watu. Jini huyu hiwa hatumiki kwenye kazi zakuagua hutumika kwenye kupiga vitu aidha kuroga kuunguza au kuua kabisa.

Ni moja ya mashetani wakorof zaidi na koo lao ni miongoni mwa majini wasiosikia dawa kwa haraka. Jini huyu huoenda sana mafusho ya aina yoyote yale na huwa yanampa nguvu zaidi. Hivyo mgonjwa ukimfusja ndipo unamzidishia matatizo na maumivu zaidi. Sababu jini anazidi kujitanua mwilini mwa mgonjwa.

Jini huyu ni miongoni mwa wasanii hata watu wamazingaombwe wa zamani walikuwa wakimtumia huyu anauwezo wakuwasha moto bila kiberiti hivyo unaweza shangaa kumuona mgonjwa anatoka moshi mwilini mdomoni au kichwani.

      KAZI KUU ZA JINI MAKATA

Kazi kubwa ya Makata ni kuua tu kazi zingine ndogondogo ni kuchoma moto vitu kumuingia mtu nakumtesa kumtia moto mwilini. Kumuingilia mtu kinyume na maumbile. Kama umewahi kusikia kuna mtaalam anasifika sana kwa kuua watu yeye hana maaguzi mengine ni kuua tu ujue makata ndiye mfalme wa hicho kilinge.

Huyu ni bingwa wa kazi mbaya na ana nguvu na ufanyaji kazi wake asilimia miamoja. Wapo wenye asili ya kiumr na wapo wenye asili ya kike. Kuna mtu akioa wanawake hufa yaan kila mwanamke atakayeoa au kiwa nae kimahusiano anakufa huyu ana jini makata ndani yake. Wapo pia wanawake wanaua wanaume kila mwanaume anayekuwa nae anakufa huyu pia halikadhalika. Sasa wapo wakutumwa na wapo wanaokupenda wenyewe na kuanzisha mahusiano ya kimapenz hivyo kwa wivu wao wanaua watu utakaokuwa nao kimapenzi.

Ila siku hizi upo ugonjwa wa ukimwi pia watu huuana sasa sio kila anayeua wapenz wake ni majini Makata kuna Ukimwi pia hivyo jihadhar cheza kwa step. Lakini pia wapo majini wanaotegwa kwwnye familia utakuta ukoo fulan kila baada ya mida fulan wanazika pia huwa ni jini makata wa kutehwa kutekeza familia.

DALILI ZA MTU ALIYEKUMBWA NA JINI HUYU

Kwanza mgonjwa atahisi viungo vinawaka moto muda wote kuota anaona ngombe mweus mwenye pembe za kutisha au kiume cheusi iwe nyoka paka mbuzi kondoo ila anakuwa na pembe za kutisha au hata kumuona binaadam usiku ndoton lakini ana pembe. Kuhisi kiza hata wakati wa mchana au kuona kabisa mwanga unakita mbeleni mwako.

Mgonjwa kuambatana na kwikwi isiyokata sababu anatabia ya kukaisha maji na damu haraka hivyo kwikwi hiwa haikati kiwepes. Mhonjwa kupoteza kumbukumbu kuanza kuwasahau watu wake wa karibu. Kuua viungo hasa upande wa kushoto.

Dalili za mtu aliyepandisha jini huyu huwa hajitambulishi harka hujinasibisha kiwa yeye ni Suleiman Bin Daud anakuwa na uongeaji wa kibabe zaidi na kujifanya mwerevu. Hata mtu anayetaka kukabidhiwa uganga ikionekana ana jini huyu iwanza anayotolewa ili kuwekwa sawa waliobaki maana akikalia kilinge kazi itakuwa ni kuua watu tu na hakuna maaguzi mengine.

Mgonjwa kama atawahiwa unawwza kufanya maagano upya na jini aidha ukamlipa mara mbili alichoahidiwa  mkichelewa mpaka kufikia kwikwi mgonjwa kuna asilimia ndofo kupona asilimia kubwa na kifo.

      NAMNA YA KUMPATA JINI MAKATA

Anapatikana kwa kutumwa yaan mgonjwa anatumiwa na wataalam kwa maagano maalumu. Makata namna ya kumpata ili umtume kwanza yatakiwa uwe na elimu ya majini ila ibez kwenye saatul habar kuna saa amaalum za kumuita na uwe na chano chake sasa unaweza kumtafuta mtu mwenye jini makata kichwan yule aliyekalia kiti akapandisha kisha mkaendelea na zirz lenu. Au kwenda sehem aidha makaburin au baharini na chano chake mtafuata tarataibu atakuja hapo mtapanga akama utajiri au kuua mtu maagano yenu muyazingatie.

      VYANO NA MALI ZA JINI MAKATA

Makata anatoa mali kama nikivyoeleza hapo juu niia za kumpata. Na chano chake ni kizito kidogo ni lazima upate damu za mnyama dume mweusi mwenye pembe zilzokomaa na vitu vingine ambavyo vinapatikana kwenye vyano vya kawaida.

Nmejibu mali anatoa maana swali litakaoloulizwa sana ni mali na nmeelza hapo juu soma kwa umakini hakuna kitu chepes. Maana watu wanajua kuita jini ni kuchoma udi kuchoma mshomaa kuchora triangle ya unga ingelikuwa hivyo kila mtu angekuwa anamilii majini wake.

      MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA 

MADHARA MAKUBWA YA JINI HUYU KAMA NILIVYOELEZA HAPO JUU KAZI ZAKE HUWA NI KUUA NA KUCHOMA VITU MOTO. HIVYO BASI HATA KAMA AKIKUPA UTAJIRI BASI JUA MWISHOWE UTASIKIA MALI ZIMEUNGUA SABABU UKIVURUGA SHART YEYE HARUD NYUMA. TAFAKAR FIKIRIA JWA UMRI WAKO MATAJIRI WANGAP WALIOKUWA WANATIKISA KISHA WAKAFIKISIWA MALI KUUNGUA MOTO JUA MAKATA ALIHUSIKA.

HATA WAGANGA WA VITABU ASILIMIA KUBWA HUWA HAWAMTUMII HUYU JINI SABABU HANA MAMNO YA KURUDI NYUMA NA NI KATIKA MAJINI WANAOUA KWA HARAKA ZAIDI NA HUWA MGONJWA HAPONI AKITUMIWA MZIGO HUU. 

ANGALIZO WALE MNAOTAKA MALI KWANZA MOJA YA SHART ILI UPATE KWA MAKATA NI KUUA KIKICHOCHAKO CHAKO CUA KARIBU NDIPO MASHART MINGINE YANAENDELEA HIVYO JIFUNGE KWANZA JITATHMIN KABLA HUJAJIINGIZA.

una tatizo lolote la uzazi kazi biahsra mapenz nyota uzazi nguvu za kiume chango kuuza kitu kesi nk

+255621442936

Jitahd kuandika shida yako kwa wale mnaotuma ujumbe andika jina lako pahala ulipo na shida husika.

Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI