MAFUTA YA KUMBIKUMBI NGUVU YA MVUTO KUFUATWA KUTIMIZIWA HITAJI



NIMEKUWA nikipokea maswali mengi juu ya vitu ninavyoandika. Naomba nitoleee ufafanuzi mwisho wa kila makala huwa nafafanua hivyo vitu vinapatikana wapi hivyo jitahd usisome ujumbe nusu ukadakia kuchukua namba ama ukaende seh ya kukoment kuuliza jambo pasina kumaliza maelzo. Niliwah kuzungumzia kuhusiana na mafuta kumbikumbi leo natolea ufafanuzi soma mpaka mwisho kwa umakini. Makala haya yameandaliwa na kuandikwa na Mtabibu ASILI TZ kutoka Pangani Tanga.


Kumbi ni hao unawajua ambao hujitokeza sana nyakati za mvua ila kuna maeneo wanakuwa najenga vichuguu na kuishi humo. Sasa wale na vuchuguu vyao ndio hutumika kama dawa kulingana na hitaji la mtu. Hivyo usije ukajichanga sio wanakuja majumbani. Wapo wanaowatumia kama chakula bimaana mboga ila wamasai huwatumia kama kinga ya magonjwa kwa kutumia nyumba zao na wao wenyewe. Hutumika kuchanja ama kula kwa kuchanganya na nyama za wanyama pori na madawa mengine kama mizizi ya mpigo nk.

     MAFUTA YA KUMBIKUMBI MAPENZI

wale madada na wakaka wa mjini wenye shughuli za kuhitaji watu haya mafuta yanatumika kwa kupaka mwilini wakati unaenda kwenye mihangaiko yako. Utanuia kile unachokitaka katika matembazi yako kama ukizungumza na mtu asipindue akutimizie.

Wafanya biashara ya kutembeza unapaka wakati ukienda kwenye biashara yako watu wamiminike kama kumbi kumbi wanavyifuatana kwenye kichuguu. Viahsra za kukaa fremu unamwaga nje ya eneo lako.

Kila hitaji lina maandalizi yake na mahitaji yake katika utengenezaji.


    USEMBE WA KUMBIKUMBI MVUTO
 
Uswmbe wake hutegemea na maandalizi mfano mke na mume mmoja kumsikilza mwenzie na kumfuata atakacho huchukuliwa sembe huchanganywa na dawa zingine kama muinamo, mchaachaa, mtiifu na maua ridi hutegenenzwa kwa mtndo wa chakula,kinywa  kuoga ama tendo lenyewe mkikutana basi kuna maelezo utapewa kulingana na hitaki lako.

Biahsra ha frem isiyohamishika isiyo ya kuembeza itacanganywa na mvuma na nyuki mvuti, mripu mwita watu, mmeremere na dawq zingine za kitarasimu. Huchomwa eneo husika pia hutumika kupigia dek ama kunyunyiziaa kama huwez pigia deki na za kuweka eneo husika itategemea na mnavyofanya wenyewe.

Kuvutwq mtu atahitajika malikia wa kumbikumbi hapa ni wakichuguu sasa atatangenezewa sembe pekee yake kisha itachanganywa na madawa mwingine na matasrimu. Zitundikwe juu ya mti mkubwa uliopo njia kuingilia kwenye mji. Hatachukua muda atarejea ikiwa anayemuita hana mazonge wala hilafa za kinyota.

Nimetolea ufafanuzi ili kupunguza maswali kumbikumbi ni hawa hawa mbaowaona ila itengenezaji wake unahitaalm kuna viingila bimaana mahitaji ili iwe dawa muda wa kuchukua na uchukuaji jitahd kusoma kwa makini mpaka mwisho.

         MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA

MADAWA HAYA HAYAPATIKANA MADUKA YA DAWA ASILI, PAHALA UNAPOWEZA KUYAPATA KWA WATAALAM AMBAPO WANAWEZA KUKUTAYARISHIA KAMA UTAMUWELEZA SHIDA YAKO KAMA ANA UWEZO HUO WA KUYATENGENEZA NA KUYASOMEA ATAKUTENGENEZEA.

WANAOHITAJI KUTOKA OFISIN MWQNZO WA MAKALA HAYA NIMEELZA NAOATIKANA WAPI HIVYO MASWALI UPO WAP REJEA KWANZA KUSOMA. HIVYO FANYA MAWASILIANO KWA KUFUATA OFISIN AMA KUSAFIRISHIWA GHARAMA ZITATEGEMEA NA AINA YA SHIDA YAKO  HIVYO WAKATI UNATUMA UJUMBE ANDIKA NA SHIDA YAKO BIMAANA MATUMIZI UNAYOHITAJIA.

NIWAKUMBUSHE MAMBO MUHIMU KWQNZA UKIWA NA SHIDA YOYOTE YA KIMAPENZI MIKWAMO BIAHSRA JITAHD KUTAFUTA SULUHU KWA KUANGALIWA UNA SHIDA GANI MSINGI WA TATIZO CHANZO NA UZITO WAKE KISHA VIFANYIWE KAZI. MFANO MTU HAPATI KAZI USITAFUTE DAWA YA KUPATA KAZI KWANZA UANGALIWE UNA TATZO GAN MPAKA HUPAT KAZI LIFANYIWE UTATUZO. MFANO MTU HADUMU KWENYE MAHUSIANO AU NDOA USITAKE DAWA ZA KUO3NDWA UNAWEZA KUZIDI KUUMIA KWQNZA JICHUNGUZE SHIDA IPO WAP IFANYIWE UTATUZ BIAHSRA KADHALIKA KESI UADUI UZAZI. MAJINI MAHABA MAJINI YA UCHAWI KILA KITU KIANGALIWE

una shida yoyote ya mapenzi uzazi nguvu za kiume kukuza dhakar majini mahaba chango kesi bawasiri nk

+255621442936

Jitahd kuweka maelezo yanayoeleweka kwa mnaotuma ujumbe jumbe fupi mambo kwema niaje sitazijib.

Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI