Posts

Showing posts from May, 2020

MIBONO SHAHIDI, WALINZI WA KABURI FAIDA NA MATUMIZI YAKE KATIKA MAISHA YA MWANADAMU

Image
. MTI huu huwenda usifahamu kwa jina la mbono ila angalia picha ili twende sawa. Mti huu huitwa mashahidi au walinzi wa kaburi kwa sababu mazishi ya waislamu mara nyingi huweka miti kila engo ya kaburi kama alama ila kiitikadi huitwa maahahidi. Miongoni mwa miti mengine ni pamoja na mihogo au miarobaini na miti mengine yoyote iliyopo karibu na eneo la kuzikia. Sasa leo nitazungumzia kuhusiana na mti wa mbono angalia vzuri picha chini. Kwa wenye matatzo ya jino kuuma kutoboka fidhi kutoka damu  chukua utomvu wake weka kwenye jino linalouma litapona papo hapo. Wanasema dawa ya jino kuling'oa hawajui kinachosababsha jino kuuma ni wadudu ukilitoa jino bovu wadudu huamia jino kengine utajikuta unamaliza meno dawa ni kuua wadudu. Utomvu wake pia waweza ponesha kidonda kwa haraka zaid pakaa eneo lenye keraha hata ukiumia ukiwa unatoka damu nyingi twanga majani ya mti huu weka ulipoumia damu itakata haraka sana na haitachelewa kupona. Kwa wale wanaofanya shughuli za kuingiliwa

UA LA NYOTA YA JERUSALEM LIFAHAMU FAIDA NA MATUMIZI YAKE

Image
UA BAADA ya kuongea kuhusiana na mzungwa leo mazungumzo yetu yatahusiana na nyota ya jerusalem kikubwa endelea kufuatilia vyanzo vyetu. Kwa wale wanaohitaji group la whatsap andika namba zako inbox yetu utapewa maelezo ila jambo la muhimu group sio bure. Maua haya yapo katika mifumo miwili kuna maua ya pink na meupe. Maua ya pink ni kwa ajili ya wanawake na meupe kwa ajili ya wanaume. Iwapo ntaandika kitu kuhusu mwanaume basi angalia rangi niliyoitaja ndo utumie. Mti huu ni dawa kuanzia majani maua mpaka mizizi. Leo ntaongelea faida kuu tano katika tiba za asili. Maumivu ya jino  Chukua majani yake tafuna kisha weka kwenye jino linalouma maumivu yatapoa na hutaugua tena kwa uwezo wa allah Ugonjwa wa sukar Nenda kang'oe mti wote na mzizi wake uoshe vzur kisha chemsha tumia kunywa maji yake mara tatu kwa siku ndan ya ck 14 kisha kapime Kila ck tengeneza mpya au hfadh kwenye friji Tumbo la kuhara Chemsha majani tu kisha kunywa na tumia kuchamba tumbo litakata na kuhara kut

FAHAMU KUHUSIANA NA MPATAKUVA MZUNGWA TIBA KWA WATOTO NA WATU WAZIMA

Image
MTI huu una majina mengi sana kila kabila hapa nchini huliita wajuavyo wao kikubwa angalia picha hapo chini twende pamoja. Mti huu ni miongoni mwa miti yenye sifa kubwa katika tiba kuna kipind niliongelea mziwaziwa, mgagani na jani la uzazi. Yoye haya yanatumika katika afya hasa ya mama na mtoto makala ijayo nitaongela mzalia nyuma. Kama una maumivu wakati wa hedhi au hedhi yako haipo sawa unazdsha au kupunguza siku tafuta mti huu chemsha kisha kunywa mara tatu kwa siku wakat ukiwa ukiwa period kunywa sku tatu mfululizo. Kama una tatizo la kuharibu mimba miez mitatu miwil na ukaambiwa tumbo lako linaunguza mimba tumia mti huu chemsha tumia kuchambia na kunywa kwa siku tatu mara tatu kwa siku. Mtoto mwenye mchango mchemshie mpe kidogo anywe itatulia. Mtoto mtundu sana muogeshee nayo changanya na maji yake ya kuoga. Tumbo linauma tu bila sbabu kunywa litapoa, mtu aliyekumba jini huduma ya kwanza mcheshieni hiyo anywe kisha changanyenk na mvumbasi akaoge atapoa huku mkijiandia kwa tiba ka

MAUMIVU YA SIKIO NA KUTOKA USAHA SAMBAMBA NA MARADHI MENGINE 'MTI WA MFAGIO AMA FAGIA UWANJA

Image
KAMA una changamoto za ugonjww wa sikio kuuma ama kutoa usaha hii dawa hapo chini ni mujjarabu kabisa. Unaitwa mfagio wengine huita fagia njia na majina mengine mengi. Kwa ufupi mm si mtaalam wa lugha za makabila ni mtaalam wa dawa hvyo jitahidi kuangalia picha kwanza majina ya dawa kimakabila sifahamu. Utachuma majani ya mti huu utachanganya na punje kadhaa za kitunguu samu twanga ilainike kisha nyunyizia matone kadhaa sikion dumu ndan ya ck tatu mpaka saba utapata majibu. Iwapo utakosa mti huu tumia mpatakuva picha angalia makala zilizopta nishauzungumzia utachukua majani yake itawanga pia tumia kunyuzia masikion Ukikosa yote haya tumia vtunguu samu menya twanga kisha nyunyuzia matone kadhaa masikion pia tumia maganda yake kufusha masikion yaan choma maganda ule moshi wake elekezea masikion. Mti huu wa ufagio hapo pichani pia ni tiba mujarabu ya mdudu wa kidole chukua majani yake yapashe moto kidogo kisha weka kwenye kidole chenye mdudu kam n mchanga atapotea kama kakomaa

SHUGHULI ZA NAZI ZA MDONDO NA MAAJABU

Image
KARIBU sana kwenye mfululizo wa darasa zangu. Leo nitazungumzia nazi na kazi zake katika ulimwengu wa tiba asili. Halifanyiki kafara lolote biala nazi, hafunguliwi mtu vifungo bila ya nazi tena itaoendeza zaid kama itakuwa ya mdondo. Kama mambo yako hayaendi sawa kila unachokifanya hakiwi ahadi nyingi nenda sokoni na pesa ambayo hautarudushiwa chenji kanunue nazi rud nayo nyumban kwako ikwangue chukua makapen andika jina lako baba na mama ipasue kwa kupiga chini piga picha kisha nitumia hiyo picha nitakudadavulia. Kuna utofaut kati ya nazi na nazi mdondo  Nazi ya mdondo ni nazi inayoanguka yenyewe pasina kuangushwa na mkwezi  Sasa nazi mdondo kifuu chake dume kinaweza kutuliza ugomvi nyumbani hili nimeshalizungumza sana chukua kifuu dume kile chenye ncha achana na chenye macho matatu kile chenye ncha chukua chumvi ya mawe weka jikoni nuia unachokitana yaan kifuu ndio kiwe kama sufuria yako acha viwake vyote mpaka ibaki majivu. Ukichukua nazi mdondo ukaikuna vzuri uakchukua

UKIOTA UMENG'OA MENO AU JINO KUDONDOKA NA FIDHI KUUMA NINI MAANA YAKE

Image
HAPA NAONGELEA tafsiri za meno kung'oka na maumivu ya fidhi. Ndoto hzi zina maana kubwa sana kwa muotaji iwapo zifakujia mara kwa  mara. Kwa mfano wewe una maumivu ya meno na umeambiwa kesho wenda ng'oa jino usiku ukaota unag'oa jino ndoto hii haina tafsiri ni ubongo tu unakukumbusha kuwa kaa tayar kwa maumivu ya kesho. Ndoto ninazo zitafairi hapa ni zile za kujirudia mara kwa mara na uotaji wake ni usiku mkubwa tafafhali soma kwa makini kisha ndo uulize swali ukiulza swali ambalo nmeshaliffafanua sitalijibu okoa muda Tafsiri za meno kung'oka kila jino lina tafsiri yake kama unavyoona kwenye kinywa chako kuna meno ya juu meno ya chini meno mbele meno ya nyuma meno madogo na meno makubwa. Ukiota jino la mbele la chini limeng'oka hasa katikati ni ishara ya migogoro katika ndoa na itapelekea kutalikiana yaani kuachana. Ikiwa meno ya mbele yameng'oka na kusababisha maumivu na kutoka damu katika ndoto, inamaanisha kutokua na uwezo kufikia malengo yako pia

FAIDA ZA MTI WA MLANGAMIA AU MFUNGAFUNGA

Image
UHALI GANI MSOMAJI WA MAKALA ZETU TUANAKUKUMBUSHA KUWA MWENYE UHUTAJI WA DAWA ZA MARADHI AU MATATIZO MENGINE Inbox LEO tunaongelea mti wa mlangamia, mti huu una majina mengi kila eneo unajina lake ila angalia picha ili tupate kwenda pamoja. Faida za mti huu ni kubwa mno cwez kuzimaliza kuanzia kiazi cha mti huu mpaka kamba zake. Mti huu watu husema hauna shina c kweli unalo lakini ni ngumu kuliona mti huu shina lake ni kiazi ambacho hukaa chini alaf hauna muendeleoz unaonyesha kuwa unaelekea wapi kwa ufupi mti huu upo mtindo wa wirelless shina lipo chini mti wenyewe upo juu ni maajabu ya mungu. Kiazi chake kupatikana kwake kuna utaalam kidogo unatumika na ndio maana kiazi chake hutumika kwa kzi nyingi kuvuta wapenzi kwa haraka, wateja kwenye biashara kufungia watu riziki nk nitaeleza kwa uref kwenye group. Leo nitaongelea kamba zake km unavyoona pichani. Ukichukua kamba zake ukazitwa na kutia maji kidogo ili upate juisi yake utachuja na itatumika kama ifuatavyo Mtoto anayes

VITU VINAVYOLETA MVUTO WA WATEJA KWENYE BIASHARA YAKO

Image
HII ni makala ya pili ambayo naitoa kuhusiana na masuala ya mvuto wa biashara. Leo nitagawa mafungu mawili ya biashara zile za kutembeza  na zile za kwenye frem. Zakutembeza nazijumlisha na na wale wanaofanya biashara kwenye mitandao ni sawa tu na wale wanaotembeza. Hawa sasa jinsi kufanya ili biashara yako iwe na mvuto fuata maelezo yafuatayo. Kwanza wewe mwenyewe uwe na mvuto bimaana usiwe na nuksi mikosi wala hasadi hapa inakupasa utumie dawa za mvuto kulingana na nyota yako ili kukupa mvuto zaid. Pili unatakiwa uwe na pete ya bahati ya nyota yako pia upate dawa za mwili bimaana kuchanja mpaka ulimi ili unapoongea na mtu avutiwe na kile unachokiongea na iwe rahisi kwake kutoa maamuzi. Ukifanya hivyo utawachoka wateja sasa njia fupi yakukusaidia kwa haraka lakini c yakudumu koga maji ya bahari walau hata mara mbl kwa mwezi hakikisha iwe alhamisi saa sita uck au jmos saa nane wakati ukitoka choma udi au paka mafuta ya mvuto kulinganana na nyota yako. Wale wenye biashara za frem pia ha

TIBA MAALUMU YA MAFUA NA MAPAFU KWA AJILI YA WATOTO

Image
NAAM leo nitazuzngumzia kuhusiana na watoto. Juma lililopita nilizungumzia kuhusiana na mtoto anayelia usiku. Mashallah wengi waliofanya wamenitumia ujumbe kuwa watoto sasa wanalala vizuri. Mara nyingi kila kabila lina utaratubu wake juu ya dawa asili za kuwapa watoto ili wapite kwenye zile hatua za ukuaji pasina matatizo yoyote hapa nazungumzia kukaa, kutambaa, kusimama, kutembea, kukimbia na kuota meno wakati mwingine kuchangamka. Kwetu Tanga mtoto anapokuwa mchanga huoshwa na mavuo maalumu na kupewa dawa za kunywa za miti shamba ni miti ya aina saba na magome ya mti fulani na pia hupewa dawa za kunywa za miti minne maalum akitoka hapo km mtoto wakiume anakua mwanaume kweli kama wakikeanakuwa wakike kweli mliokutana na watu wa tanga mnanielewa zile shughuli zinaanza kupikwa utotoni. Leo ntazungumzia kifua kwa watoto wadogo. Kifua kinaweza kusababishwa aisha mtoto kula uchafu wakati anazaliwa hii ni pumu. Lakini pia yaweza ikawa hali ya hewa na mambo mengine  Dawa zake nim