Posts

Showing posts from June, 2020

FAHAMU KUHUSIANA NA MMEA WA MZALIA NYUMA TIBA KWA UZAZI NA MATATIZO YA HEDHI

Image
MMEA huu ni mdogo kiumbo lakini una mambo mengi sana katika tiba za asili. Niliwahi kuugusia siku za nyuma leo ufahamu kwa upana. Mmea huu huoatikana kwa wingi kwenye vipor vidogo hasa maeneo wanayoishi watu . Wanaoishi ukanda wa Pwani mti huu si mgeni. Angalia vzur picha ili uufahamu maana nitaulizwa unaitwaje kwa kizigua sijui nitajia jina lake kwa kihaya sijui kikwere mimi sifundishi lugha natoa darasa za dawa kwa mti na mimea sasa jitahd kuangalia picha vzuri. Ukichemsha majani ya mti huu ukanywa glas mbili kwa siku ndani ya siku saba inaweza kukutibu malaria sugu na homa ya matumbo iliyokomaa tyfoid. Kushusha homa kali chemsha majani ya mti huu tumia kwa kunywa kikombe cha kahawa inashusha mapema sana homa ila ina asili ya uchungu watoto wadogo na wajawazito hawaruhusitiki kutumia hii. Wanaosikia maumivu wakati wa jimai na husikii raha ni maumivu tu twanga mti wote mizizi na majani yake tumia kunywa subr kipindi cha hedhi ukimaliza acha kunywa mara mbili kw

FAHAMU KUHUSU MNAANAA VUVUZELA LA SHETANI FAIDA NA MATUMIZI YAKE

Image
KUNA miti miwili huwa inawachanga watu kuna nanaaa na mnaanaa ni vtu viwili tofauti nanaa ndio minti ni dawa ya mafua na maumivu soma makala zilizopota nishaieleza kwa urefu na upana. Pili kwa wale wanaokopi makala zetu na kuweka kwao kuna vtabu tunaviuza kwa ajili ya kuifahamu miti vzuri unaweza ukapatiwa ili uongoze elimu yako ya kidaktari pia tunatoa ushaur kwa wanaotaka kuingia kwenye fani ya tiba. kwa urahisi pitia www.tabibuasili.blogspot.com. Tuangalie mti wa mnaanaa au vuvuzela la shetani una majina mengi sana ila kubwa angalia picha kwa umakini ili ufahamu tunaongelea nini. kwa mtoto anaelia usiku chukuwa mbegu ya mnanaa isage na changanya na kitungu saumu na mafuta ya nyonyo funga kwenye kirairon kisha funga kwenye kitamba chusi  mfunge mkononi au weka mchagoni atalala vizur kabisa hii kwa watoto kuanzia siku moja mpaka miaka miwili. Kwa wenye matatizo ya pumu ya kubana pumzi kubana mbavu chukua majani makavu ya mti huu kisha yasage kama unasaga bangi

FAIDA ZA MTI WA MLANGAMIA AU MFUNGAFUNGA KATIKA DAWA ASILI

Image
UHALI GANI MSOMAJI WA MAKALA ZETU TUANAKUKUMBUSHA KUWA MWENYE UHUTAJI WA DAWA ZA MARADHI AU MATATIZO MENGINE Inbox LEO tunaongelea mti wa mlangamia, mti huu una majina mengi kila eneo unajina lake ila angalia picha ili tupate kwenda pamoja. Faida za mti huu ni kubwa mno cwez kuzimaliza kuanzia kiazi cha mti huu mpaka kamba zake. Mti huu watu husema hauna shina c kweli unalo lakini ni ngumu kuliona mti huu shina lake ni kiazi ambacho hukaa chini alaf hauna muendeleoz unaonyesha kuwa unaelekea wapi kwa ufupi mti huu upo mtindo wa wirelless shina lipo chini mti wenyewe upo juu ni maajabu ya mungu. Kiazi chake kupatikana kwake kuna utaalam kidogo unatumika na ndio maana kiazi chake hutumika kwa kzi nyingi kuvuta wapenzi kwa haraka, wateja kwenye biashara kufungia watu riziki nk nitaeleza kwa uref kwenye group. Leo nitaongelea kamba zake km unavyoona pichani. Ukichukua kamba zake ukazitwa na kutia maji kidogo ili upate juisi yake utachuja na itatumika kama ifuatavyo Mtoto anayes

FAHAMU KUHUSU NGUVU ZA KIUME NA KUKUZA DHAKAR

Image
Nmekuwa nikipokea meseji nyingi kuhusiana na nguvu za kiume na kukuza dhakari. Leo nimeamua kutoa makala haya ambayo yataeleza kwa kina ni kwa kiasi gani unaweza ukaathirika, chanzo na njia za kuepuka. Kuna sababu nyingi zinazosababisha mwanaume kukosa nguvu za kiume, nitazitaja zile kubwa na pia ili kutibu tatizo inabdi udili na chanzo kwanza utibu chanzo Hizi ni sababu kuu Upigaji wa punyeto kwa muda mrefu, hii huweza kulegeza misuli ya uume. Kuugua kwa muda mrefu mfano matadhi ya tb presha sukar huweza kushusha nguvu za kiume. Utuzamaji wa filamu na picha za ngono. Staili ya maisha kuanzia ulaji uvaaji unywaji. Majini mahaba hapa kama utakuwa na jini mahaba huweza kukufunga, pia hata kama mkeo ana jinni mahaba huweza kukufunga nguvu na hata riziki. Kufungwa kichawi, matego kwa kuingilia mke sio halali yako.   Utajuaje kama huna nguvu za kiume ukienda moja hurudi tena, uume kusinyaa, hata ukisimama hauna nguvu kabisa. Kushindwa kumpatia mwanamke ujauzito maana uzalishaji

MFAHAMU JINI PAKUZI 'MUHARIBU MIMBA' ANAVYOTESA HASARA ZAKE NA TIBA

Image
JINI huyu ni miongoni mwa majini tesi kwawanawake. Katika maisha ya wanawake yana mambo mengi sana yanayosababisha mitihani kwenye ndoa na vizazi vyao. Leo ntaongelea mlango wa ndoa n uzazi.  Ndo huwa mbaya kwa wanwake au mahusiano kutokana na majini mawili makubwa.Kuna majini mengi yanayowaandama wanawake lakini katika ndoa ni majini mawili ni jini mahaba na jini pakuzi. www.tabibuasili.blogspot.com Jini mahaba nilishatolea ufafanuzi mara kadhaa moja ya dalili zake ni pamoja na kuota kufanya jimai 'mapenzi' mara kwa mara na wakt mwungine hujisikia raha zaid ukiwa ndoton kulko unlkiingiliwa na mumeo. Ndoto za kuzaa ndoto za kunyonyesha ndoto za mimba ndoto za bahari ndoto za mali na utajiri. Hasara zake utakuwa hushiki mimba utawachukia wanaume kukosa maelewano kwenye ndoa wkati mwingine hukutia hata nuksi kwenye mambo yako na hii hata kwa wanaume pia huwatokea. Soma makala ya jini mahaba kwenye ukurasa wangu mtabibu asili tz nmefafanua vzuri Kuhusu jini pakuzi  Huy

FAHAMU TARASIMU YA MVUTO WA KUITA WATEJA NA KUVUTA ENEO LA KAZI

Image
TARASIMU YA MVUTO WA BIASHARA NA ENEO LA KAZI namba 1 Hii ni tarasimu ya kwa ajili ya mvuto wa eneo la kazi ama biashara. Utaiandika kwa kutumia wino mwekundu au mweusi peni.   Kisha utaifukiza na uvumba pamoja na ubani makka kisha utainduka eneo lako la biashara au eneo la kazi Kazi hii ifanyike siku ya jumatano. Mawasiliano  +255621442936

FAHAMU NGUVU YA MISHUMAA NA UTUMIAJI WAKE KATIKA TIBA ASILI

Image
ELIMU YA BURE NAKUPA MISHUMAA hutumika kwa kazi nyingi katika maisha ya binaadamu. Miujiza ya mishumaa imeanza tangu enzi za hizo. Mishumaa imekuwa ikitumika kwa kazi tofauti tofauti kutokana na rangi na aina ya kazi. Somo hili ni refu kidogo ngoja tuzungumzie mshumaa mwekundu katika kumrejesha mpenzi aliyekuacha. Kisha tutaangalia na kung'arisha nyota kikazi na maisha kwa ujumla SHARTI YA ZOEZI  awe kweli alikuwa mpenzi wako ni zoez la kirejesha na si la kuvuta bimaana mlishawahi kishiriki jimai. VITU VINAVYOHITAJIKA mshumaa mwekundu mmoja pini mpya au sindano kioo makapeni au zafarani nyekundu      JINSI YA KUFANYA andika jina la huyo mtu kwenye mshumaa kwa kutumia pini au sindano andika kwa ulalo kutoka juu kwenda chini andika majina yake matatu na jna la mama yake chukua hicho kioo andika jina lake pia kwa hyo zafarani nyekundu au makapeni ukimaliza kaa chini huo mshumaa uweke mbele yako na mbele ya mshumaa weka kioo washa mshumaa kwa manuizi ya zoeZI LAKO kisha anz

DAWA YA MARADHI SUGU YANAYOKUTESA KWA MUDA MREFU TARASIMU HII ITAKUSAIDIA

Image
TARASIMU KWA AJILI YA KUMALIZA UGONJWA SUGU   kama una maradhi sugu yameutesa sana mwili wako umetumia dawa nyingi lakini bado hakuna afuwe fuata taratibu zifuatazo.   Tarasimu hiyo hapo juu utaiandika kwenye sahani ya udongo siku ya ijumaa saa 12 jioni. Matayarisho yake utanunua zafaran ya unga misk nyeupe na maji ya rose.    Utayayusha hiyo zafarani na utaandika tarasimu kwenye sahan  ya dongo. Kisha utayeyusha siku ya pili alfajiri.   Yaani utafuta hayo maandishi kwa maji ambayo utakuwa umeyakinga kwa chini. Au itumbukize hyo saham kwenye bakuli la maji mpaka maandishi yote yatoke.    Matumizi atakunywa mgonjwa kwa siku tatu mara mbili kwa siku. Pia atatumia mizizi ya mnyanyua vizito atachemsha na kunywa kwa siku zote tatu anaanza hyo tarasimu kisha mnaynyua vizito. Kwa mawasiliano +255621442936

KUKINGA BOMA NYUMBA SHAMBA NA ENEO LA BIASHARA

Image
BAADA ya kutoa somo kuhusiana na njia za kumuadhbu mwizi na kurudiasha ktu chalk klchoibiwa nmepata meseji na simu nyingi wote wakilalamikia jiu ya kuibiwa. Natumai kuptia somo hilo mmejisaidia wenyewe na km ukishindwa utapatiwa msaada. Somo hilo km lilikupita ptia wall yangu mda huu Baada ya kuzungumza machache twende kwenye njia za kujikinga na wez zoo nying na nyengne za kitaalam zaid hapa ntatoa chache ambazo no rahisi. Ukhifaj kuweka nyuki shambani nyoka mwizi anapoingia amuadhibu nitafute. Kinga ya shamba au nyumba Toka mlango barazan tembea ukiokota vijiwe ardhini kwa kuvifukua viwe Saba au Kimi na nne au 21 itategemea ukubwa wa eneo unalotaka kulitega Kaa chini ukumbini au katikati ya shamba lako elekea kibla somea hvyo vijiwe aya tisa za Surat yasini Mara tisa ukiwa umefumba macho Ukimaliza Tia nia yako juu ya shughuli unayotaka kuifanya Inuka hzo vjiwe vfukie kuzunguka eneo unalotaka kulitega Kama hujui kusoma tafuta mtu anayejua asome mkiwa wote mmefumba macho kama nilivyoel

KUMFUNGA MTU ASICHEPUKE AU ASITOKE NJE YA NDOA

Image
NGUVU YA TARASIMU NILISHAWAHI kuzungumzia nguvu za tarasimu mara kadhaa leo naomba niongelee kwa ufupi taraismu hiyo hapoa chini. Hii ina matumizi mengi na kila matumizi ina uandaaji wake leo nitazungumzia kwa ufupi tu juu ya kudhibiti  Kabla ya kufanya hii shart lake kwanza anayefanya na yeye asiwe mzinifu maana jtajifunga mwenyewe. Pili ni lazma awe mke au mume wa ndoa  Hii tarasimu hapo juu inaandikwa kwa damu ya kuku mweusi jogoo itaandikwa na majina ya mkusudiwa kufungwa majina matatu lake baba na mama  Pili utaenda kukutana na mkusudiwa ukiwa na kitambaa maalumu ambacho mkimaliza utamfutia sehem nyeti hakikisha hicho kitambaa usigusishe nyeti yako Kisha utatoka nacho na utakifanya kama ifuatavyo utakikanyaga mguu wako wa kushoto na kusema kuanzia leo nmekuweka chini fulani bin fulani utataja majina yake matatu mkusudiwa uwe chini kama nilivyokukanyaga hapa usione na usitamani mwingine utaongezea maneno yako utakiokota Utakiweka katikati ya ile tarasimu utafunga vzuri