MARADHI YA KIHARUSI STROKE AMA KUPALALAIZ NA GANZI MWILINI


JANA niliongelea kuhusiana na masuala ya kutibia viini vya tatzo na si matokeo nmepata maswali mengi. Leo natoa futlrsa kama una jambo lina kuhangaisha muda mref liwe afya uzazi kazi biahsra weka maelezo ya kutosha ya tatzo lako nitakupa muongozo uanzie wapi ili kujinasua hakikisha maelezo yakueleweka ukiniandika kwa ufup ntakujibu kiufup. Mfano mtu ana matatzo ya kazi anaandika natafuta kazi nitakujibu tafuta. Tuende kwenye mada ya leo ambapo tutazungumzia ugonjwa wa kupararaiz n mwili kufa ganzi.


Ugonjwa huu hupoozesha mwili wakati mwingine mwili mzima au baadhi ya viungo au upende mmoja wa mwili. Yategemea na eneo lilipoanzia ugonjwa na aina yenyewe ya ugonjwa sababu ama chanzo.

Sababu za ugonjwa huu zipo nyingi nitajitahd kuelezea zile kubwa kinachosababisha hasa mishipa inayopeleka taarifa kwenye ubongo kufeli au kustop ndo hutoke a kiharus kwa watu wanene wenye mafuta wasiofanya mazoez kuna uwezkano mkubwa wakupata kwa sababu mwili hujaa mafuta hvo mishipa hupata tabu kupitisha damu hvyo kuna baash ya viungo havifikiw na damu hvyo hupooza.

Kuna jini huyu mbaya hukaa sana sehemu chafu vyooni huyu akiingia mwilin hukimbilia kwenye mishipa hvyo kama kaingilia upande kulia wa mwili bas huua mawasiliano ya upande huo.

Pia kuna uchawi na matego hapa ndo wengi hupata ugonjwa huu na kupona kwake ni mtihan maana unahtajika uteguliwe kama ilivyotegwa sheikh mke wa mtu sumu, usiibe wala usidhulumu vya watu utatupiwa jini linaua tu viungo vyako leo mguu haufanyi kaz kesho kichwa mwisho kitandan ni hatar sana huyu jini kutoka kwake ufike kwa wataalama wakuangalie vzur umepigwaje na vp atatoka.

Wakati mwingine ganzi ikikomaa husababisha kiharusi. Mfano una maradhi ya ganzi huyatibu yanweza yakapoozesha viungo vya mwili na kuzaa ugonjwa wa kiharusi

Sasa iwapo mshafahamu tatzo ni nn mshatibia tatzo au kama mmefahamu ni ugonjwa tu uliotokana na mishipa kusinyaa au ganzi mwili  fuata utaratibu ufuatao

Tafuta mafuta ya nyonyo, mafuta ya kitunguu
swaumu, mafuta ya ndimu, mafuta ya kharidal, mafuta ya zaitun,mafuta ya alizet na mafuta yaufuta kisha Changanya na almit,  karafuu maiti, halititi na makata apakwe mwili mzima kutwa mara mbili. Apakwe kwa kumchua kwanza aanze kuosha na maji vuguvugu kisha akandwe kwa muda wa dakika tano mpaka nusu saa kulingana na ukongwe wa tatizo.

Baada ya hapo atakiwa apatiwe madawa kwa ajili ya  kunywa ili kutibia tatzo kwa ndani utafute vitu hivi vifuatavyo hapo chini.

siki ya tufaha,asali, juis ya ndimu isiyowekwa maji,juice ya kitunguu swamu nzito,juice ya tangawizi mbichi nzito,vitu vyote hivyo vinahitajika ujazo wa kikombe cha chai kila kimoja na vyote utengeneze nyumban

 Siki ya tufaha na asali zipo maduka ya dawa asili. Juisi ya kitunguu saumu unaweza itengeneza kwa blenda au kutwanga kwenye kinu chambua vitungui vya kutosha kishwa twanga au saga halikadhalika kwa tangawizi. Ndimu utachuja usiweke maganda wala mbegu hakikisha ujazo uupate ulioelezwa.

unatakiwa kuchanganya vitu vyote kasoro  asali.chmsha Kwa Moto mdogo mdogo Hadi itakapo punguka kufikia ujazo wa vikombe vitatu tegua acha ipoe

 changanya pamoja na asali ile ya ujazo wa kikombe kimoja.utahifadhi vizuri kwenye chupa ya kigae mfano chupa ya konyag

Anatakiwa kila siku asubuh anakunywa ujazo wa kijiko kimoja kikubwa  na usiku kabla ya kulala Kwa uwezo wa mungu utaondokewa na mitihani uliyonayo. Asub akimaliza kunywa hyo dawa atafune uban karaha

Tumia mpaka dawa itakapomalizika.waweza tumia mara nyingi zaid kulingana na ukongwe wa tatizo hii hata kwa mtu mzima unaweza kuitumia kwa reflesh mwili na kutoa sumu kupunguza maumivu ya moyo kushusha pumu husafisha mfumo wa upumuaji hushusha presha hata wenye vitambi wanaweza kutumia hii nk.

Mfano mtu kaanguka choon ghafla akawa na ishara zote za kupararaiz muinuen muweken chini sakafun mvuen nguo nzito msimlaze kitandan asichomwe sindano anzeni dawa hizo na pia mnaweza mtafutia mafusho kwa wataalam walio karbu na eneo hilo

Km nlivyoeleza kwamba kila tatzio hutibiwa kulingana na chanzo husika ukitibia chanzo unaweza kupona na vipi utajua tatzo mfike kwa wataalam hata mgonjwa mwenyewe anajua aliyoyafanya mkimuhoj vzur mtapata majibu. Mfano hata watu wasio fanikiwa maishani wenye mikosi wakienda kwa waganga wasio na ujuz wanapewa dawa za kusafisha mwili na si  kuangalia chanzo cha tatzo ni kp utasumbuka sana.

Maswali kuhusu mada uliza hapa chini
Una mgonjwa unahtaj dawa nitumie ujumbe inbox
Vtu vilivyotajwa vinapatikana maduka ya dawa asili

Unatatzo lolote unahtaji msaada ushauri dawa niachie ujumbe nitaujibu usiwe na maelezo mengi taja ulipo na shida yako

+255621442936
Whtsp group ni la malipo

Share ili elimu iwafikie wafu wengi

Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI