MAFUTA YA MRONGE KWA AFYA NA UREMBO WA BINAADAM

FAHAMU FAIDA ZINAZOPATIKANA KWA KUTUMIA MAFUTA YA MRONGE KIAFYA NA UREMBO

MARA kadhaa nimekuwa nikiandika makala zinazohusiana na faida za mti wa mronge. Nimeshawahi kuandika juu ya faida za unga, mbegu pamoja na mizizi ya mlonge katika mwIili wa mwanaadamu.

Kama ilikupita tembelea wall yangu au ingia group la afya ya uzazi kwa njia za asili hapa facebook utayaona masomo yaliyopita. Kama ni mfuatiliaji wa makala zangu utaona umuhimu wa kufuatilia kila post inayotoka maana inakubadilisha kifikra.

MAFUTA YA MRONGE NI NINI Mafuta mronge ni mafuta yaliyotokana na mti wa mronge ambayo yameandaliwa kitaalamu kwa ajili ya matumizi ya kibinaadamu.

Mafuya haya unaweza ukayatumia kwa kupikia kama unavyotumia maguta ya korie samli alizeti au mafuta mengine yeyote. Tofuati yake ipo kwenye gharama mafuta haya yana gharama kubwa ukilinganisha na mafuta mengine, ukiweza kumiliki lita moja kwa ajili ya kupikia ujifunge mkanda kweli.

FAIDA ZA MAFUTA YA MLONGE

kama nilivyozungumza kwenye kichwa cha habari kwamba mafuta haya yana faida kiafya na urembo sasa kwanza tuanze na faida zake kiafya. www.tibatanzania.blogspot.com

FAIDA ZAKE KIAFYA Kwanza ili yakupe faida kiafya inakubidi uyatumia kwa kupikia hata mara moja kwa wiki sio mbaya kutokana na gharama zake kuwa juu.

faida zake ni kama ifuatavyo *Itakuongezea vitamin C *Inarekebisha presha ya kushuka *Inaimatisha mifupa na mfumo wa neva *inalainisha choo *Inamaliza vidonda vya tumbo *inasaidia kwenye mmengenyo wa chakula ni nzuri kwa wale waathirika wa ukimwi - baada ya kufahamu faida kiafya sasa tuangalie katika urembo

KATIKA UREMBO IMEGAWANYIKA KATIKA MAFUNGU MAWILI KAMA IFUATAVYO

UREMBO WA NYWELE unatakiwa uwe unatumia kea kupaka kwenye nywele zako kama unavyotumia mafuta mengine na faida zake ni kama ifuatavyo

*kurefusha nywele *kuzipa uimara *kuzuia kukatika *kuondoa mba *kuzifanya nywele zako kuwa nyeusi na zakuvutia *hulainisha ngozi ya kichwa

UREMBO WA NGOZI

MATUMIZI yake utayatymia kwa kupaka kama unavyopaka mafuta mengine. Kama ulikuwa unatumia loshen za kemikali kuna zoeZI itakubidi ulifanye kabla ya kuanza kupaka mafuta haya zoezi hilo utanipigia simu kwamba zilizopo mwisho wa makala haya www.tibatanzania.blogspot.com

faida zake ni kama ifuatavyo *inangarisha ngozi *inatoa mabaka na michirizi *inatoa sumu kwenye ngozi *inatoa harahara na muwasho *inatoa makovu ya kujikata, kuungua pamoja na michubuko

HUO NI UCHACHE WA FAIDA ZINAZOPATIKANA KWA KUTUMIA NA MAFUTA YA MLONGE

kwa maswali maoni andika chini kwa mafuta nitafute private

0621442936 ukhitaj kuungwa na group la whatsap namba hizo hizo

Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI