Posts

Showing posts from 2021

FAHAMU KUHUSIANA NA MARADHI YA PUMU NA MBAVU KUBANA

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHD KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU PUMU ni ugonjwq unaihusiana na masuala ya upumuaji. Hapa nazungumzia kifua na mapafu ndivyo vinavyoweza kuathirika zaidi kutokana na ukongwe wa ugonjwa huu. Ugonjwa huu huua kabisa kama utakomaa na mgonjwa kukosa zile tahadhari maana wengi hutakiwa kutembea na vifaa maalumu kwa ajili ya huduma ya kwanza ila unatibika.   Kwann wakina mama na watoto ndio waathirika wakubwa wa ugonjwa wa pumu ni kutokana na aina ya maisha wanayoishi kutojishughulisha sana hvyo mfumo wa upumuaji wao huwa na kasi ndogo.    Mwanaume anaweza akazaliwa na pumu kwa kurithi kutoka kwa wazazi wake lakini kadri anavyokuwa kutokana na SHUGHULI ngumu anazozifanya hivyo ugonjwa huuhumuondoka taratibu.  Ugonjwa huu unaweza ukasababisha kifo maana unapomkumba mtu humsababishia pumzi kutoka kwa shida.  Ugonjwa huu unatibika kabisa kama utaoata dawa hasa kulingana na ukubwa wa tatzo lako. Ipo pu

CHALE ZA WANGA ALAMA KUU NA MUHURI WA KICHAWI

Image
JANA iliongelea kuhusiana na uchawi nikaweka dalili na ndoto zake zinazoashiria kuwa yuwasumbuliwa na uchawii. Leo nitaongelea kuhusiana na chale za wanga namna zinavyopigwa na zinavyoweza kukusumbua na namna ya kuzishughulikia. Anaykuletea darasa hizi ni Mtabibu ASILI TZ jitahd kusoma mpaka mwisho kuna ufafanuzi wa mambo maalumu. Kabala sijaendelea mbele napenda kuwakumbusha zingatia kila nachokushaur hasa wale wanaopenda shotcut. Hakikisha unachoshauriwa unakifanyia kazi kila jambo latakiwa lishughulikiwe kwa chanzo chake hivyo iwapo utanipigia simu ama kunitumia ujumbe basi nitakachokujibu kizingatie kwa umakini kitakutoa hapo ulipo.              CHALE ZA WANGA NI ZIPI Chale ni alama ama muhuri maalumu ambapo mtu hupigwa kichawi kwa ajili ya shughuli maalumu. Mfano rahisi ni kama vile kampuni fulan ama shule inavyotoa vitambulisho ili watambulike kuwa ni wafanyakaz wa kampuni gani. Kama unavyoona matabaka ya hivyo vitambulisho kuna wafanyakaz wakurugenz walinzi nk. Ndivy

MTI WA MUASUMINI MNUKIA FAIDA NA MATUMIZI YAKE KATIKA ULIMWENGU WA TIBA NA MAPENZI.

Image
HUU ni mti mdogo kimuonekano lakini ni mkubwa kimatumizi. Upo sana maeneo ya Ukanda wa Pwani hasa Unguja, Tanga, Bagamoyo nk. Hutumika kamaanukato na mapambo kwa maharusi. Wazee wa zaman hasa kwetu Tanga huchuma majani yake na kuyamwaga kitandan wakti wakiwa wamekitandika vizuri. Bwana anapokuja kutoka kwenye mishughuliko yake hukuta chumba kinanukia na kitanda kinavutia jinsi kilovyorembwa 'Tanga Raha' ila si kwa mabinti wa majini wanaujua walau hata kwa kuuona huu mti. Unaitwa Muasumini au mnukia fahamu walau kwa uchache faida na matumizi yake. Maua yake ukichanganya na karafuu na marashi mazur ukamsinga mumeo huongeza mahaba pia humuachia harufu nzuri. Kudhibiti mtu kimapenz wakat unamsinga hakikisha zile taka zinazotoka unazikusanya sehem moja kisha utatafuta unga wa mzizi wa mchaachaa huu nishauzungumza siku za nyuma upo ofisin. Utakuwa na unga wa mmeremere na kitambaa cha kanga ambayo mtakuwa mmeitumia katika kusingana. Utakata kipande hyo kanga utaweka hzo ta

FAHAMU KUHUSU UCHAWI WA ZONGO NA TIBA YAKE

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHD KUSOMA MPAKA MWISHO KWA watu waishio Ukanda wa Pwani hasa Tanga ndugu zangu Handeni, Rushoto, Muheza na Pangani na maeneo mengine ya karibu neno Zongo sio geni kwenu. Uchawi huu ni hatar sana hasa kwa watoto wadogo na wageni wa maeneo fulani huandamwa sana na uchawi huu. Ni uchawi mtu anayeweza kutembea nao mikononi au usoni ama kwenye kikapu hutegemea na utaalam wa mchawi Uchawi huu upo wa aina nyingi, kuna mkunwa na mdogo mkubwa ukiathirika ama kukuoa maopozi yake ni makubwa ni lazima upate utaalam wa hali ya juu. Mdogo maopozi yake ni madogo tu na unaweza kufanyiwa hata nyumbani na mtu mzima yoyote hata asiyekuwa mtaalama ila atakiwa afike umri fulan kama mtakavyoona kwenye maelezo hapo chini.                     UCHAWI MKUBWA WA ZONGO Huu mara nyingi huwa ni wakutegwa yaani si wakurusha kama ulivyo mdogo huu huwekwa sehem maalumu kwa manuizi maalum. Hauna tofaut sana na mdogo ila huu maradhi y

MARADHI YA KIHARUSI STROKE AMA KUPALALAIZ NA GANZI MWILINI

Image
JANA niliongelea kuhusiana na masuala ya kutibia viini vya tatzo na si matokeo nmepata maswali mengi. Leo natoa futlrsa kama una jambo lina kuhangaisha muda mref liwe afya uzazi kazi biahsra weka maelezo ya kutosha ya tatzo lako nitakupa muongozo uanzie wapi ili kujinasua hakikisha maelezo yakueleweka ukiniandika kwa ufup ntakujibu kiufup. Mfano mtu ana matatzo ya kazi anaandika natafuta kazi nitakujibu tafuta. Tuende kwenye mada ya leo ambapo tutazungumzia ugonjwa wa kupararaiz n mwili kufa ganzi. Ugonjwa huu hupoozesha mwili wakati mwingine mwili mzima au baadhi ya viungo au upende mmoja wa mwili. Yategemea na eneo lilipoanzia ugonjwa na aina yenyewe ya ugonjwa sababu ama chanzo. Sababu za ugonjwa huu zipo nyingi nitajitahd kuelezea zile kubwa kinachosababisha hasa mishipa inayopeleka taarifa kwenye ubongo kufeli au kustop ndo hutoke a kiharus kwa watu wanene wenye mafuta wasiofanya mazoez kuna uwezkano mkubwa wakupata kwa sababu mwili hujaa mafuta hvo mishipa hupata tabu

MAZINDIKO YANAPOGEUKA NA KUHARIBU HALI ZA WAKAZI KIAFYA NA UTAFUTAJI RIDHKI

Image
MAZINDIKO KINGA ZA NYUMBA 'BOMA' AINA ZAKE NA ZINAVYOWEZA KUKUATHIRI  KIAFYA NA KIUCHUMI UHALI GANI MPENZ MFUATILIAJI WA DARASA ZA ELIMU YA NYOTA TIBA ZA MITI NA MASUALA MENGINE YA KIDUNIA AKULETEAE DARASA HILI NI MTABIBU ASILI TZ JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO. ZINDIKO tendo la kuweka kitu cha kitaalam pahala fulani kwa nia kuzuia vitu vibaya visiweze kifanya kazi kwa lugha lain huitwa kinga. Leingo kuu kudhibiti wezi ama watu wanaokuja nia hovu pia zindiko yaweza kuwa kusimamisha jambo fulani lisifanyike kwa muda fulani, kwa maana hiyo yuaweza zindika shamba, nyumba, gari, uwanja bimaana kama kuna shughuli yuwahisi kuna mabalaa yatatokea unaweza kuzindika. Pia yuwaweza kuuzindika mwili wako ili yale machafu ama mabaya yaliyokusudiwa yasikupate. Makala yangu ya leo nitaongelea zaidi kuhusiana na kukinga boma. Nitafafanua aina za kinga nzuri na mbaya na namna zinavyoweza kufanya kazi. Pia nitaweka madhara na alama ama dalili ya baadhi ya madhara ya hizo kinga na mwish

MADHARA YA WAGANGA KUTEMBEA NA WATEJA ZAO 'VIONGOZI WA DINI KUTEMBEA NA WAUMINI WAO'

Image
MADHARA YA KUJAMIINA WATAALAM NA WATEJA KINYOTA NA VIFUNGO VYA KIROHO KUNA watu wanaamini kufanya mapenzi na wataalam 'waganga wa kienyeji' kunamfanya kuwa na bahati au kuna mfanya kutimiziwa haja zake kirahisi. Na imekuwa kawaida wataalam kuwazini wateja wao wengine kwa kiwarubuni na wengine kwa kutaka wenyewe. Makala haya itajikita kuchambua vitu hivi madhara yake soma kwa umakini makala haya yanaletwa kwako na Mtabibu ASILI TZ jitahd kusoma mpaka mwisho. Kwenye utaalam wa kiuguz kuna makundi mawili wapo wataalam wa vitabu ambavyo msingi wake ni kusoma sana kuwa mchamungu na pia wapo watu wanaobarikiwa kusomeshwa elimu na majini baada ya kufika levo flani ya ucha mungu unaweza kuoteshwa tu ukapara makarama ukaanza kufanya tiba na watu wakapata shifaa. Hii hata kurithishwa inakuwa ngumu labda mtu aanze kukuandaa mapema kabisa ili upite zile njia za ucha mungu na wale majini ambao alikuwa akitumia muhusika wanaweza kukufuata. Ndio maana yuwakuta kuna mtu pahala alik

ULIMWENGU WA TARASIMU KATIKA KUKIDHI HAJA KUPATA MAJIB YALIYOTARAJIWA 'KUMREJESHA MPENZI'

Image
SIKU hizi tarasimu zimekuwa nyingi kwenye mitandao kila mmoja yiwapost na ndipo wwngi mnapohaidiwa na kutapeliwa. Si vibaya watu kupeana elimu ama kufumbiana mamcho ila uwanda wa tarasimu ni mpana sana kuliko elimu ya miti. Mfano naweza nikaweka mti nikauelezea kwa kina unavyotib maradhi kikawaida tu yale maelezo mtu yoyote kama atafuata vile ilivyoelezwa atapata majibu. Mfano nikiandika mti wa mfangio unatibu masikio we ni mgonjwa ama una ndugu ana shida hyo ukafuata vile ilivyoelezwa majibu kupata ni kawaida. Sasa kwenye tarasimu kuna utofauti kidogo hata kama uwe unajua kuandika kuna mambo yatakiwa yafanyiwe zile tarasimu pili kuna qubur zake bimaana qudra na ucha mungu wako. Hivyo si kila mtu anazo hizo qubur hivyo inakuwa ngumu kupata kile kilichotarajiwa. Hivyo nimeona nitoe haya makala maana maswali ni mengi wanauliza kuhusiana na tarasim wengine wananitumia na picha zilizopostiwa sehem nyengine kutaka ufafanuzi. Kwa kawaida kila siku iendayo kwa mungu zina milki zak

MASHARTI YA KUMILIKI MALI UTAJIRI MAMBO YAKUFAHAMU KABLA YA KUJIINGIZA

Image
  NIMEKUWA nikipokea maswali mengi kuhusiana na kumiliku mali za majini. Kuna kitu huwa mnajichanganya kati ya mali za majini na mali za mashetani Na leo nmeaona niutolee ufafanuzi wa kina ili kupunguza maswali inbox yangu. Mara kadhaa nmezungumzia kuhusiana na pete za majini na kuzitolea ufafanuzi wa kina kama umepitwa na hizo makala jitahd kurejea post za chini.  Jini hutoa mali kwa ridhaa yake akikupenda tu atakupa ishara ya kupata mali hutoi chochote kwake. Mashetani ndio wanaombwa kwenye kumiliki mali ukiona unaenda mibuyuni mizimuni kwenye mito ambapo chini kuna miji mikubwa mali za namna hyo ni mali za kishetani na madhara yake ni makubwa mno kuliko ufikiriavyo.     Huwenda hali ya maisha si nzuri katika ufatutaji ama una shauku ya kumiliki mali pasina kujishughulisha sana. Ama umeshughulika sana lakini yuwaona hali haiwi nzuri kiushaur usipendr kujishughulisha na shughuli za utafutaji wa utajiri bila shughuli maalum. Mimi ninayeandika makala haya naujua mwisho wa hu

LAANA YA ASILI INAYOLETA NUKSI FAHAMU VYANZO NA NAMNA YA KUSHUGHULIKIA

Image
LAANA ni ukosefu wa radhi, yaweza kuwa ni ya mungu au mtu fualan katika jambo fulan. Kuna laana nyongi sana kama nilivyoeleza hapo juu kwamba kuna laana ya mungu lakini pia kuna laana za watu. Nitaziweka katika makundi makuu matano ili ufahamu zaid kuhusu laana vipi yapatikana na vipi utaimaliza.                    LAANA YA MUNGU Hii ndio laana kubwa kuliko zote duniani na hata matokeo yako mabaya sana. Laana hii huwawakumba watu wanaokwenda kinyume na amri za mungu. Kila dini ina sheria zake na mipaka yake mfano dini yangu mm hairusiwi mtu kujifananisha na jinsia nyengine kwa mavazi na matendo mwanaume kuwa mwanamke na mwanamke kuwa mwanaume huo ni mfano. Sasa hapa unaweza ukapata pigo la laana kwa mungu ukaona dunia chungu kutokana na matendo yako kwenda kinyume na maamrisho yake                    LAANA YA WAZAZI Kila dini ina amrisha kuheshimu wazaz wako wawili pia imekwenda mbali kabisa kuwa pepo ipo chini ya nyayo za wazazi wako. Sasa ukifanya vitendo vya kumchukiza m

šš„š“š„ š™š€ šŒš€š‰šˆššˆ š–š€ š€š’šˆš‹šˆ š”Pš€š“šˆšŠš€šš€š‰šˆ š–š€šŠš„ šš€ šŠUš…š€šš˜š€ šŠš€š™šˆ šŠš–š€šŠš„

Image
š–š€š“š” š°šžš§š š¢ š°ššš§ššš©šžš§ššš š¤š®š¬š¢š¤š¢šš š”ššš›ššš«š¢ š³šš š®š­ššš£š¢š«š¢ š©ššš¬š¢š§šš š¤š®š£š®šš š§ššš¦š§šš š²šš š®š©ššš­š¢š¤ššš§ššš£šž š°ššš¤šž. šŠš®š§šš š°š¢š¦š›š¢ š¤š®š›š°šš š„šš š°ššš­š® š¬ššš¬šš š”š¢šÆš¢ š°ššš©šØ š«šššš”š¢ š¤š°šš š„šØš„šØš­šž š¢š„š¢ š¦š«ššš š°ššš®š©ššš­šž š®š­ššš”š¢š«š¢. š‡š¢š²š¢ š¬š¢ š”ššš„š¢ š§š£šžš¦šš š¦ššššš§šš š”ššš¤š®š§šš š£ššš¦š›šØ š„š¢š§ššš„šØš°šžš³šš š¤š®š­šØš¤šžšš š¤ššš¦šš š”š®š£ššš£š¢š©ššš§š šš š§šš š”ššš­šš š„š¢š¤š¢š­šØš¤šžšš š›ššš¬š¢ š„š¢š­ššš¤š®šššœš”š¢šš š¦šššš”šššŸšš š¤š®š›š°šš š§šš š¤š®š¢š¬š”š¢ š¤š°šš š¦ššš¬š”ššš£šš. šŒššš¤ššš„šš š”ššš²šš š²ššš­šššžš§ššš š¤š®ššš§š ššš³š¢šš š¤š®š”š®š¬š¢ššš§šš š§šš š©šžš­šž š³šš š¦ššš£š¢š§š¢ š°šš ššš¬š¢š„š¢ ššš¦š›ššš³šØ š³š¢š§ššš„šžš­šš š¦šÆš®š­šØ ššš¦šš š›ššš”ššš­š¢ š²šš š¦ššš„š¢ š§šš šÆš¢š§š š¢š§šžšÆš²šØ. šš¢š¦šžššš¤š®š°šš š§š¢š¤š¢ššš§šš¢š¤šš š¦ššš¤ššš„šš š³šš ššš¢š§šš š”š¢š¢ š¦ššš«šš š¤šššš”šššš š¤ššš¦šš š§š¢ š¦šŸš®ššš­š¢š„š¢ššš£š¢ š¦š³š®š«š¢ š›ššš¬š¢ š®š­ššš¤š®š°šš š®š¬š”šššŸššš”

NGUVU YA MIZIMU YA UKOO UHUSIANO KATI YA WATU WALIOKUFA "MABABU,MABIBI" NA MIZIMU

Image
     MUENDELEO WA MAKALA ZA MIZIMU.           SEHEMU TATU    Hii ni makala ya tatu katika mfululizo wa makala zinazohusiana na mizimu nilizowahi kuzoweka hapa. Niliwahi kufafanua mizimu ni nini na kwann inakuwa kwenye ukoo wako. Kama ulipitwa jitahdi kusoma makala za nguma nmeeleza kwa upana na urefu kuhusiana na matatizo haya na wapi yalianzia na pia wale waendaeo kushughulikiwa matatizo yao huko kwenye mizimu pia nmeweka maelezo kwann wanafeli na wapi wanatakiwa waanzie anayekuletea darasa hizi ni Mtabibu ASILI TZ.   Watu wengi wamekuwa wakisema natumia mzimu wa babu yangu, ama umewahi kusikia mtu anasimulia kuwa mzimu wa babu ama bibi yangu umenitokea ni kuniambia jambo fulani. Ama wengine huota wakitokewa na mizimu ya watu waliokufa zamani. Yaani hapa wanaota ndugu zao waliokufa wanawajia ndotoni na kuwapa habari fulani ziwe za heri ama shari. Je ni kweli babu ama. Bibi aliyekufa ndiyo kageuka kawa mzimu na ndiye anayekutokea ndotoni.   Wapo watu wanaoamini kuwa mtu uki

MARADHI YA MASIKIO, KUWASHWA, USAWA USIKIVU HAFUFU

Image
LEO KATIIA MAKALA HAYA NITAZUNGUMZIA KUHUSIANA NA MARADHI YA MASIKIO IKIWEMO NA KUTOSIKIA, KUWASHWA MASIKIO NA KUTOKA UCHAFU USAWA JITAHIDI KUSOMA MAKALA MPAKA MWISHO MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ.  Tatizo la kitokusikia ama usikivu hafifu au kutoka usawa ama kuwahswa masikion haya ni matokeo lakini kuna vyanzo vinavyosababisha matokeo haya. Katika tiba yakupasa utibie chanzo, kwa siky huwa napokea simu za shida mbali mbali ila wengi ni shida za kidunia mapenzi na ridhki, huwa napenda kutoa ushaur kwamba yatakiwa kwanza muhuiska ajue chanzo cha matatzo yake ni yapi kisha ndiyo yafanyiwe kazi. Yuwakuta mtu analilia mapenzi kila siku wakati nyota yake haipo sawa baada kushughulika na mambo muhimu ya kinyota yeye ashughulika na matokeo ya kimapenz ambayo msingi wake ni nyota yake iweke sawa. Hapa nilikuwanatoa mfano kwamba kila jambo lishughulikiwe kwa vyanzo. Katika maisha ya mwanadamu kuna mipango ya mungu na kudra zake, pia maharibifu kutoka kwa mwanadamu. H