Posts

Showing posts from 2022

KINGA YA KUFICHA KIVULI FAIDA NA MATESO YAKE

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALUWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO NA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU NIMEULIZWA  na watu kadhaa kuhusiana na kuficha au kukinga kivuli faida yake ipoje na madhara yake yapoje na je nafichwaje. Hapa nitaeleza faida na hasara zake na namna ya kuficha kivuli. Makala haya yatakuwa na mambo ya kutisha kidogo endelea kufuatilia nondo kutoka kwa mtabibu asili tz ikiwa maelezo haya hayatakuwa na furaha kwako kuna watu wanafaida nayo kuna wataalam wanaongeza ujuzi na elimu hapa hivyo utakachokisoma kinaweza kisiwe ma faida kwako ila kwa wengine ni lulu. Kuna utofaut wa kukinga kivuli na kuficha kivuli. Ukificha kivuli maanae si wanga tu watasumbuka kukuroga hata uoatikanaji wa ridhki zako zitakuwa za shida ukificha maanae yuwahisabiwa ni mfu ni sawa na pikipiki au chombo cha moto kisiwe na injini. Hivyo si vyema kuficha kivuli utaishi kwa dhiki sana na mateso na manyanyaso hata wanga wakikuf

ASILI ZA MAJINI FAHAMU KUHUSU JINI MAIMUNA NGUVU MAPENZ UTAJIRI

Image
TUPO KWENYE MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA MAJINI. KUWAJUA ASILI ZAO NGUVU ZAO KAZI ZAO NA UTOAJI WA MALI ANAYEKULETEA CHAMBUZI HIZI NI MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MAELEZO KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU.        ASILI NA SIFA ZA JINI MAIMUNA Leo tunamuangalia jini Maimuna ni miongoni mwa majini wa kisharufu wenye asili ya kike kwa lugha nyepesi huitwa Bi Maifu. Asili yake ni Arabu Milki yake ni bahari na nchi kavu Wasifu wake ni Uongozi. Anapendelea mapambo ya fedha na dhahabu hupenda pete ya fedha au dhahabu vito vyake hutegemea na aina ya jini na tawala yake. Wamegawanyika katika makundi mengi ila hapa nitayazungumzia makundi makubwa saba na kazi zao. Sio wote wanapenda mapambo, ni jini mwenye nguvu katika kazi zake hasa msuala ya mvuto wa mapenzi biashara kulete uchawi bimaana kuroga mtu. Huyu ni Khadimu wa siku ya Jumamosi hivyo ukifanikiwa kupata vitu vyake ukamtumia siku hiyo unaweza kupata ulichokikusudi

ASILI ZA MAJINI MAHABA WANAVYOINGIA MADHARA NA TIBA

Image
TUPO KWENYE MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA ASILI ZA MAJINI. LEO TUTAMZUNGUMZIA ASILI YA JINI MAHABA NI NANI ANATOKA WAPI KOO LAKE NI LIPI MADHARA KINGA NA NAMNA YA KUMTOA ANAYEKULETEA DARAWA HIZI NI MTABIBU ASILI TZ HII NI ORIJINO KABLA HAIJAKOPIWA PAHALA PENGINE NA MAHARAMIA WANAOJINASIBISHA NA TIBA ASILI.  Kiuhalisia hakuna jini anayeitwa Mahaba kwa kuumbwa. Mungu hakuumba jini anayeitwa Jini Mahaba, hivyo katika matembezi yako kwa wataalam ukiambiwa una jini mahaba yatakiwa upatiwe maelezo yakutosha. Hapa jitahd kusoma kwa makini wengi hamson mnakimbilia kuchukua namba na kuanza kuulizna maswali ambayo kwenye makala yanakuwa yamechambuliwa tena waziwazi.      KWANINI AITWE JINI MAHABA Huyu ni jini kama walivyomajini wengine. Huwa miongoni mwa Majini waovu wenye sifa ya Kishetani majini wanaotumia uwezo wao vibaya majini waliokimbizwa ama kufukuzwa kwenye sehem zao halisi baada ya kufanya makosa fulani. Huwa ni mashetana wanaomuingia mtu kwa lengo la kumtumia kimapenz ndipo li

ASILI ZA MAJINI FAHAMU KUHUSU JINI SHARIF UFALME, UTAJIRI

Image
HUU NI MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA ASILI ZA MAJINI KAMA ZILE ZILIZOPITA. LEO NTAONGELEA JINI SHARIFU, ANAYEKULETEA UCHAMBUZI KUZIANDIKA NA KUZIANDAA NI MTABIBU ASILI TZ. kama ulivyosoma darasa zilizopita kila jini anakuwa na asili yake alipotoka ufanyaji wake wa kazi. Chano namna ya kumpata madhaifu yake na mengine mengi yanayomuhusu leo ni zamu ya jini SHARIFU      ASILI NA SIFA ZA JINI SHARIFU Jini huyu ni miongoni mwa majini watukufu wakuu wenye uwezo wa hali ya juu. Ana asili ya kiume mavazi yake ni nguo nyeupe zenye ming'ao wakati mwingine huambatana na rangi ya kijani. Hupendelea vyakula vitamu kama tende halua asali na manukato mazuri. Makazi yake ni baharini na nchi kavu ni kiongozi mzuri wa majini asiyependa sifa. Hana mambo mengi  hapendi kupanda mara kwa mara, mtu mwenye jini huyu hupewa elimu ya kutosha na ishara za sauti hivyo anaweza kufanya kazi zake kwa weled wa hali ya juu pasina kumuita jini wake. Mashart ni udhu nyiradi, takbira  Akipanda unajiona Kama

SIRI THAMANI YA HERUFI J KATIKA MAISHA, MALI MAFANIKIO NA MAPENZI

Image
HUU NI MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA THAMANI ZA HERUFI KATIKA MAISHA MAPENZI NA MAFANIKIO. UCHAMBUZI HUU UNATOLEWA NA KUANDALIWA NA MTABIBU ASILI TZ.  HERUFI NILIZOZICHAMBUA MPAKA SASA NI HERUFI A,B,C,D,E,F,G,H,I NA LEO NAINGIA HERUFI J. UCHAMBUZI HUU UTAELEZA TABUA HALISI ZA WATU WA HERUFI HII, MAISGA YA MAPENZI. NA WATU WAKUSHIRIKAINA NAO.  kila herufi ina mwenendo ww maisha yake hivyo jitahidi kusoma kwa umakini. Ikiwa herufi yako ilishapita na hukuona yaan makala imekupita angalia post zilizopita makala zipo hazijafutwa. Uchambuzi private inbox utalpia gharama.  TABIA NA MAISHA HALISI YA HERUFI HII Watu hawa wanapenda kuwajibika, ni wenye bidii ya kazi, katika kazi yeyote watakayofanya hata kama ikiwa ni ya kipuuzi.  waaminifu sana, watu wastahamilivu na wenye kuweza kuvumilia matatizo yeyote. Kwa upande mwingine ni watu wenye tamaa kubwa ya kimaisha na kimaendeleo, na kwa sababu ya kutekeleza malengo yao basi huwa wanakuwa wabinafsi na wenye uroho na uchu. Mara nyingi huwa

ASILI ZA MAJINI FAHAMU KUHUSU JINI CHEKETU

Image
MUENDELEZO wa mfululizo ya asili ya majini katika kuwafahamu namna wanavyofanya kazi na jinsi wanavyoathiri watu. Leo tutaongelea kuhusiana na jini huyu Cheketu. Jitahd kusoma kwa umakini mwanzo mpaka mwisho anayekuletea darasa hizi ni Mtabibu ASILI TZ. Kwa ujumla majini wanakuwa na asili zao kama unavyoona asili za makabia yaliyopo kwenye nchi uliyopo. Wapo Majini Miliki ya bahari wapo majini miliki ya Bara kama tuliyozungumza jana Mmasai. Wapo majini Wakristo Wapo majini Waslam wapo kitoka mabara mengine kama Uarabuni Ulaya nk we endelea kufuatilia darasa zangu utatanua uelewa wako na kutoongopewa kuhusiana na majini kamwe.        SIFA NA ASILI YA JINI CHEKETU  HUyu ameondoka kwenye sifa za kijini amekuwa shetani. Miongoni kwa makoo maarufu Kishetani katika Ulimwengu wa Kijini. Shetani huyu ana sifa kubwa ya kiwa msanii yaan muigizaji ana uwezo wa kuogiza kila anachokiona kila anachokisikia na akakifanya kwa usawa uleule. Shetani huyu asili yake ni Uchawi hivyo katika uli

MAMBO MATANO MUHIMU YA KUZINGATIA KWA WANAUME WENYE UKOSEF WA NGUVU ZA KIUME USITUMIE MIKONGO UTAJIUA KABISA

Image
NIMEWAHI KUANDIKA KUHUSIANA NA MADHARA YA MATUMIZI YA DAWA ZINAZOITWA NI MIKONGO AU VUMBI LA KIKONGO. KWENYE MAKALA YALE NILIELEZA NAMNA ZINAVYOHADAA JINSI ZINAVYOFANYA KAZI NA MADHARA GANI UNAWEZA KUPATA. NIKAWEKA NA USHAUR NINI CHAKUFANYA MAKALA IPO REJEA POST ZILIZOPITA UTAFAHAMU MENGI. UCHAMBUZI HUU UNALETWA KWAKO NA MTABIBU ASILI TZ UTAANZA KUSOMA HAPA KABLA HAZIJATOLEWA KOPI NA KUPESTIWA. MAKALA haya yatazungumzia kuhusiana na nini ufanye nini ysifanye kwa mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume. Siku hizi wauza dawa wamekuwa mengi sana na kila mtu dawa zake ni za nguvu za kiume na kukuza maumbile. Hii yote inatokana na vijana wengi kukumbwa na kadhia hii na watu ndipo wnapoamua kuchuku fursa ya kufanya mambo yao.  Unapokuwa na na tatizo la nguvu za kiume jitahidi usikurupuke kutafuta madawa ya nguvu. Muhimu jambo la kwanza kujua shida yako imetokana na nini hivyo muhimu kutibu chanzo cha tatizo kwa madawa sahihi na urejeshe nguvu pia kwa madawa sahihi. Hapa nitawe

ASILI ZA MAJINI 'JINI WA KIMASAI' CHANO, UTAJIRI, TIBA NAMNA YA KUFANYA KAZI

Image
BAADA ya kuzungumza kuhusiana na Nyota kuzifafanua aina zake na makundi yake. Kazi utafutaji mali na nani wakushirikiana nao. Pia nkaongelea Mizimu kwa uwanda fulan inapatikanajr vipi unaweza kifanikiwa na vipi yuwaweza kujitoa. Sasa tunaingia ulimwengu wa Majini na leo tunamzungumza jini wa Kimasai. Kutakuwa na ufafanuzi wa asili ya majini nguvu zao ufalme na namna wanavyofanya kazi. Na leo tumeanza na Jini wa Kimasai ikiwa mtatoa ushirikiano nitaendelea kuwachambua hakutakuwa na ushirikiano nitaendelea na habar zingine. Itakuwa kama zile makala za uchambuzi wa herufi ambazo tumeishia njian kwa kukosa ushirikiano.         ASILI UFALME WA JINI MASAI Jini huyu ana jinsia ya kiume ni ngumu sana kukuta mtu mwenye jini wa Kimasai iwe mganga au mtu wa kawaida kisha akawa na sauti ya kike. Jini huyu ni mfalme wa majini wa bara au majini pori. Anapokaa kichwani kwa mtu lazima yeye ndiye awe kiongo,i wa kuongoza wengine ramli kazi kubwa hufanywa na yeye. Hupenda mavazi ya kimasai a

SIRI, THAMANI, UCHAMBUZI WA HERUFI H KATIKA MAISHA UTAFUTAJI NA MAPENZI

Image
UCHAMBUZI HUU UNALETWA KWAKO NA MTABIBI ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA LEO TUNAENDELA DARASA ZA THAMANI NA UCHAMBUZI WA HERUFI ZA MAJINA KATIKA MAZINHATIO YA KIMAISHA. HEEUFI HIZI ZINAHUSIANA NA MASUALA YA UTAFUTAJI NA MAISHA YA KIMAPENZI KATIKA UTAFUTA MAENDELEO. TUMESHAZUNGUMZA HERUFI A,B,C,D,E,F,G SASA LEO TUNAINGIA HERUFI H. KAMA UMEPITWA NA HERUFI HIZO PITIA DARASA ZILIZOPITA MAKALA ZIPO HAZIFUTIKI. UTARATIBU NI ULEULE JITAHDI KUSOMA KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO.     MAISHA HALISI YA WATU WA HERUFI HII Wana uwezo mkubwa wa uvuto au kuvutia watu katika mambo yao. Ni wenye uelewa mkubwa, majasiri katika kukabiliana na matatizo ambayo wengine yamewashinda. Wana tabia ya kutilia mkazo mambo yao, tena kwa ukali na ikibidi kutumia ukatili ili jambo litimie wao wako tayari.Ni wasiri na wanaopenda kufanya mambo yao kwa siri sana. Ni wenye akili nyingi, waerevu na wepesi sana kuelewa mambo. Wanaweza kujidhuru wao wenyewe mambo yanapowawia magumu.     TABIA ZA KIMA

SIRI, THAMANI, UCHAMBUZI WA HERUFI I KATIKA MAISHA UTAFUTAJI NA MAPENZI

Image
UCHAMBUZI HUU UNALETWA KWAKO NA MTABIBI ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA LEO TUNAENDELA DARASA ZA THAMANI NA UCHAMBUZI WA HERUFI ZA MAJINA KATIKA MAZINGATIO YA KIMAISHA. HERUFI HIZI ZINAHUSIANA NA MASUALA YA UTAFUTAJI, MALI, UTAJIRI NA MAISHA YA KIMAPENZI KATIKA UTAFUTA MAENDELEO. TUMESHAZUNGUMZA HERUFI A,B,C,D,E,F,G,H SASA LEO TUNAINGIA HERUFI I. KAMA UMEPITWA NA HERUFI HIZO PITIA DARASA ZILIZOPITA MAKALA ZIPO HAZIFUTIKI. UTARATIBU NI ULEULE JITAHDI KUSOMA KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO. TABIA ZAO HALISI KIMAUMBILE KATIKA MAISHA      Watu wa herufi hii wanamatumaini ya mafanikio kwa lolote wanalolitegemea. Wanapenda kuwa na uhuru wa kupenda na kuchagua na wanapenda watu wengine wawe kama wao. Wapo wazi na wanaopenda kusoma. Ni wakweli na ukitaka kuelewana nao na wewe uwe mkweli wanaoenda mambo yao kukalimika haraka sio nusunusu. Ni watu watulivu, waaminifu na wanapenda uadilifu,.hawapendi kuamrishwa kufanya jambo kwa sababu wanaamini kwamba wao wenyewe wana uwezo

UCHAMBUZI WA THAMANI YA HERUFI F KATIKA MAISHA MAFANIKIO NA MAPENZI

Image
HUU NI MUENDELEZO WA MAKALA ZA UCHAMBUZI WA THAMANI ZA HERUFI KATIKA MAISHA UTAFUTAJI NA MUUNGANIKO WA KIMAPENZI. Uchambuzi huu unahusiana na maisha kwa ujumla watu herufi F, mienendo yao na utafutaji wa maisha. Hali halisi za maisha ya kimapenzi pale zinapokutana na herufi nyingine katika miingiliano ya kimapenzi na utafutaji rudhki katika maisha ya ndoa. Jitahid kusoma kwa umakini mwanzo mpaka mwisho kama hii ndio herufi yako basi jitahd kusoma kwa umakini toa pupa kuna mambo mazuri ya kujifunza na mambo mabaya ya kuachana nayo.     MAISHA HALISI YA WATU WA HERUFI F Watu wa herufi hii  wanapenda kufuata kanuni na kufanya mambo kwa usahihi kabisa. Ni waangalifu sana hasa katika mambo madogo madogo na wanapenda kushutumu hasa mambo yanapokwenda vibaya. Wanatabia ya kuchunguza mambo na kuhakikisha mpangilio unafuatwa kikamilifu. Wanajituma na kujishughulisha na wanapenda sana kufuata sheria. Wana sifa ya kutumia mbinu yoyote ile wanapohitaji kufa ikisha jambo lao hata uchawi.           

UCHAMBUZI WA THAMANI YA HERUFI E KATIKA MAISHA NA MAPENZI

Image
HUU ni muendelezo wa chambuzi za thamani ya herufi katika Maisha ya Utafutaji na Muinganiko wa Kimapenzi. Nimeshafafanua herufi A, B, C na D kama umepitwa basi jitahd kusoma post za nyuma herufi hizo tayata nimeshazifafanua. Leo nitazunguma herufi E uchambuzi wake katika maisha masuala ya utafutaji na mambo ya kimapenzi. Jitahd kusoma kwa umakini sana. Pia jitahd kusona maelezo mpaka mwisho kunakuwa na ufafanuzi wa mambo muhimu.   TABIA MIENENDO YA WATU WA HERUFI E Watu wa herufi hii wanapenda sana ufahari na kutukuzwa. Hupenda kuonekane wana hali nzuri kimaisha wanapenda sana kuheshimiwa. Ni watu wakarimu lakini wajeuri na wanapenda sana kuonea watu. Wana hisia kali, ni wakali na wanakiburi.Tabia yao ni kujitanua, Ukarimu na ulezi ikichanganyika na ujeuri na kujionyesha, huwaharibu wale wanaowapenda. watu hawa huwa ni wakali sana katika mapenzi na mara nyingi huwa hawadumu kwenye mapenzi kutokana na ukali wao na huwa ni watu wenye ghadhabu za mara kwa mara hasa akikosewa a