Posts

KUMTULIZA MUME ATULIE KWENYE NDOA

JINSI YA KUMTULIZA MUME SEHEMU YA PILI   KATI ya naswali mengi ninayopokea kila uchao asilimia kubwa yanahusiana na mapenzi, sehemu kubwa ikiwa ni wachepukaji watu wasiohudumia familia zao.   Kama ulipitwa na makala ya kwanza tembelea wall yangu utaiona kiurahc na nina imani utafurahia baada ya kuisoma. Ili mume atulie unatakiwa na ww mke uwe mtulivu kwenye ndoa yako una adabu na heshima kwa mwenzi wako mnyenyekevu na mkarimu. pia penda ndugu wa mume kwani ukipenda boga penda na ua lake lakn kabla ya ua kuna mboga wenyewe werevu naona mtakuwa mmeshanielewa. SASA KWA WASIOTULIA UNAWEZA UKANITAFUTA KWA NAMBA 0621442936 njia rahisi kuliko zote ni hii hapa katafute ktu kinaitwa poza hii poza ina matumizi mengi unawwza ukaiweka kwenye maji yake yakuoga unaweza ukachanganya na vtu vngne akala pia kwa kutumia hii poza njia rahisi ni hii hapa chukua kjinga cha moto kinachowaka chukua kopo la maji weka hyo poza koroga chukua hayo maji zima hicho kijinga cha moto kwa manuiz unayo

UGONJWA WA CHANGO KWA WANAUME NA WANAWAKE

Image
Asilimia kubwa watu hufahamu kuwa chango la uzazi ni ugonjwa unaowapata wanawake tu. Sivyo hivyo ugonjwa huu huwapata mpaka wanaume. Tunapozungumzia ugonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume. Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Wanaume hupata wakiwa na umri mdogo zaidi ni moja Kati ya aina za ngiri kwa wanaume. Kwa upande wa wanawake wao hupata pindi wanapovunja ungo. Ugonjwa huu husumbua zaidi kuanzia umri wa miaka 16 na kuendelea. Ukiwahi kuitibu haraka hupona na kukuepusha na madhara utakayoyapata usoni. Baadhi ya madhara makubwa ya ugonjwa huu ni utasa kwa wanawake na kwa wanaume huua nguvu za kiume. Tuangalie baadhi ya dalili na nadhara ya ugonjwa huu kwa pande zote mbili. Kwa mwanaume atakuwa akishiriki tendo la ndoa, anawahi sana kufika kileleni na kurudia mara nyingine ni vigumu sana. Pia mwanaume hatakuwa na uwezo wa kusimamisha dhakar vizuri. Ni vigumu kumpa mimba mwanamke japo co wote. Unawez

CHAI YA MPERA KATIKA KUPUNGUZA MWILI

Image
UNA UZITO ULIOPITILIZA ANZA KUTUMIA CHAI HII YA KIJANI YA MPERA makala zilizopita za kupunguza unene tulizungumzia kuhusiana na chai ya kijani katika kupunguza mwili. Baadhi ya chai hizo ni pamoja na chai ya mpera. Katika nchi ya China Mara nyingi watu walioendelea na wanaojali afya zao hutumia chai ya kijani Jinsi gani unaweza kuandaa chai Hii ya mpera andaa majani machanga yasiwe mengi sana weka kwenye maji lita moja kisha chemsha kwa dakika 15 mpaka 20 Ukimaliza ipua iache ipoe kidogo ichuje upate chai Yale majani gator Matumizi Asubuhi kunywa vkombe vya kahawa vtatu mchana vwili jioni kimoja Dumu kwa majuma kadhaa ukifanya hv utapata matokeo mazuri Chai nyengine za kijani Mchachai Ndimu Mstafeli Nk Waliopo kwenye group la tiba asili wanajua hlo Una swali maoni 0621442936 Kwa dawa za kupunguza mwili fanya mawasiliano

MAFUTA YA MRONGE KWA AFYA NA UREMBO WA BINAADAM

Image
FAHAMU FAIDA ZINAZOPATIKANA KWA KUTUMIA MAFUTA YA MRONGE KIAFYA NA UREMBO MARA kadhaa nimekuwa nikiandika makala zinazohusiana na faida za mti wa mronge. Nimeshawahi kuandika juu ya faida za unga, mbegu pamoja na mizizi ya mlonge katika mwIili wa mwanaadamu. Kama ilikupita tembelea wall yangu au ingia group la afya ya uzazi kwa njia za asili hapa facebook utayaona masomo yaliyopita. Kama ni mfuatiliaji wa makala zangu utaona umuhimu wa kufuatilia kila post inayotoka maana inakubadilisha kifikra. MAFUTA YA MRONGE NI NINI Mafuta mronge ni mafuta yaliyotokana na mti wa mronge ambayo yameandaliwa kitaalamu kwa ajili ya matumizi ya kibinaadamu. Mafuya haya unaweza ukayatumia kwa kupikia kama unavyotumia maguta ya korie samli alizeti au mafuta mengine yeyote. Tofuati yake ipo kwenye gharama mafuta haya yana gharama kubwa ukilinganisha na mafuta mengine, ukiweza kumiliki lita moja kwa ajili ya kupikia ujifunge mkanda kweli. FAIDA ZA MAFUTA YA MLONGE kama nilivyozungumza kwenye kichwa ch

Tiba ya mafua na kifua sugu

Image
FAHAMU DAWA ZA UGONJWA WA MAFUA NA KIFUA MSIMU huu wa kipindi cha mvua kinaambatana na mafua na kifua kwa pamoja. FAHAMU DAWA RAHISI ZA KUPAMBANA NA KIFUA NA MAFUA LIMAO Chukua vjko vwl vya limao na kimoja cha asali pasha moto anywe mgonjwa afanye hvyo mara mbl kwa ck au unaweza ukaiyengeneza nyingi ukachanganya na tangawizi ukawa unaiweka juani ni nzuri na inasaidia TANGAWIZI saga tangawizi yako yakutosha kisha weka maji kiasi pima glass tatu kisha iweke jikoni ichemke mpaka ibak glass mbl kunywa mara tatu kwa siku kumbuka kuchuja MANJANO weka vjko vtatu kwenye kikombe cha maji vuguvugu kisha weka pilipili matama kjko kmoja weka na asali kijiko kimoja chemsha kwa dakika mbili tumia kwa kunywa mara tatu kwa ck

NJIA TATU RAHISI ZA KUMALIZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Image
Uhali gani mpenzi wa makala zetu kupitia mitandao ya kijamii. Tumefanya vzur kwenye makala ya kupunguza unene wa mwili na sehemu zake, kuongeza nguvu za kiume na mambo mengine kama umepitwa unaweza kutembelea kwenye wall yetu utajifunza mengi. Kwa wale wafuatiliaji wa makala za njia ya uzazi wa mpango za asili utazipata kwa utuo kwenye group la afya ya uzazi kwa njia za asili na ufafanuzi kuhusu matumizi ya nyonyo waweza nitafuta mwwnyeqe nikuelekeze jns ya kutumia achana na makachero wa mitandaoni. Uvimbe kwenye kizazi kitaalamu hujulikana kama 'uterine fibroid au uterine myoma'. Ni uvimbe ambao hutokea kwenye misuli laini ya mji wa uzazi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 hadi 50. Hii inatokana na sababu zinazosababisha ugonjwa huu ambao hukaa kwenye mfuko wa uzazi wa mwanamke. Kuna vimbe nyingi tumboni lakini Leo tunazungumzia uvimbe katika mfuko wa uzazi wa mwanamke. ZIFUATAZO NI SABABU ZA UVIMBE  Kutumia njia za uzazi wa mpa

TATIZO LA KUKOSA WATOTO KWA WANAWAKE NA WANAUME NA SULUHU YAKE

Image
Mara nyingi kwenye ndoa kukitokea tatizo la kutopata mtoto lawama anapewa mwanamke kuwa ndo chanzo cha tatizo hilo. imejengeka hivyo toka enzi na enzi ila hakuna ukweli wowote tatioz linaweza kuwa kwa yeyote kati ya hawa. MIMBA INATUNGWAJE ILI mimba itungwe inatakiwa yai la mama limepevuka na liwe tayari kurutubishwa na manii yaliyokomaa kutoka kwa baba. Watu hawa wanapokutana mwanaume anapomwaga manii yake hupita kwa kasi kwenye mirija ya uzazi kuelekea yalipo mayai ili kuanza urutubishaji TUKIO HILI LIKIENDA KAMA ILIVYOPANGWA MIMBA HUWEZA KUTUNGWA ILA PAKIWA NA TATIZO SEHEMU YOYOTE MIMBA HAWEZI KUTUNGWA. SABABU ZINAZOPELEKEA KUTOSHIKA UJAUZITO KWA MWANAMKE 1. kuziba kwa mirija ya uzazi 2. mayai kutopevuka kwa wakati 3. matatizo ya chango 4. majini na ibilisi 5. uzalishaji wa mayai kuwa mdogo pamoja na mambo mengine SBABU ZA MWANAUME KUKOSA UWEZO WA KURUTUBISHA YAI LA MAMA 1. kukosa nguvu za kiume 2. manii dhaifu I3. kuumwa kwa muda mrefu 4. majini na maibilis 5. upigaj

MATATIZO YA HEDHI NA SULUHU YAKE

Image
MATATIZO YA HEDHI: Matatizo ya Hedhi yanawagusa moja kwa moja hata hivyo nayo yana tiba yake inayolingana na aina ya tatizo husika. TIBA YA HEDHI ILIYOFUNGA (AMENERRHOEA): Kanuni ya kwanza: Tafuna ufuta kiasi cha kijiko kimoja kila siku mara tatu. Fanya hivyo hadi upate hedhi. Ni bora zaidi kula ufuta kabla ya zile siku ambazo hedhi hutoka na uendelee wakati inapotoka hedhi. Dawa hii ni hatari kwa mwanamke mja mzito, hivyo atahadhari nayo,na tangu hapoyeye haimuhusu. TIBA YA HEDHI ISIYOTOKA VIZURI: Chukua Jirjir (rocket) kijiko kimoja ukoroge ndani ya kikombe cha maji ya moto. Yakishapoa uchuje. Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kutwa mara tatu. TIBA YA HEDHI INAYOTOKA KWA WINGI ZAIDI YA ADA: TIBA Kanuni ya kwanza Chukua kijiko kimoja cha maua ya Babunaji (Chamomile) ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Yakishapoa, unywe kikombe kimoja kutwa mara tatu kabla ya kula. TIBA YA MAUMIVU YA HEDHI YANAYOTOKA KIDOGOKIDOGO (DYSMENORRHOEA) : Tiba: Chukua Nanaa na utayarishe

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA SUKARI NA TIBA YAKE

Image
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA SUKARI NA TIBA YAKE BY MTABIBU ASILI UHALI gani mpenzi wa msomaji wa makala zangu ambazo zinalengo la kuimarisha afya ya binaadamu pamoja na urembo. Nimezungumza sana juu ya kupunguza Unene kwenye makala zilizopita lakini pia nlizungumzia kuhusiana na masuala ya afya uke ikiwa kuwa na maji, mkavu, hauna joto sambamba na vtu vingine. Kama ulipitwa na masomo yaliyopita unaweza kutembelea ukurasa wangu au kuingia kwenye group la Afya ya Uzazi kwa njia asili. Baada ya utangulizi huo mfupi sasa tuingie kwenye somo letu la leo linalohusiana na suala zima la ugonjwa wa sukari na tiba yake. Sukari imekuwa ikiwatesa watu wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka aeobaini japo kwa sasa imekuwa tofauti hats watoto wadogo wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa huu. Kwa kawaida binaadamu anatakiwa kuwa na sukari normal ikizidi inakuwa sukari ya kupanda ikipungua inakuwa sukari ya kushuka. Leo nakupa njia za kutibu sukari kwa ujumla iwe ya kupanda au kushuka. Kwa kufuata tarat

KUPUNGUZA UNENE ULIOPITILZA

Image
FAHAMU KUPUNGUZA KITAMBI, MATITI, MIKONO NA MINYAMA UZEMBE   Habari yako mpenzi msomaji wa makala hii. Kama ni mfuatiliaji mzuri wa makala zangu basi kuna vitu utakuwa unaongeza kwenue kichwa chako kila uchao juu ya utembo kupunguza mwili kuonheza nguvu za kiume na mambo menhine mengi.     Leo nmeamua kuirejea makala ya hii ya kupunguza tumbo kutokana na kupata mrejesho mkubwa juu ya makala haya. Katika dunia tuliyonayo sasa hakika unene unawatesa watu wengi sana kina mama. Wanashindwa kuvaa baadhi ya nguo sababu ya nyama uzembe.   FAHAMU KUHUSU TANGAWIZI NA LIMAO KATIKA KUPUNGUZA MWILI.   Tangawizi na limao ni viungo vinavyoaminika ktk kukausha mafuta na kuyeyusha mafuta mwilini Leo tutavitumia viungo hivi asilia katika kupunguza ukubwa wa matiti,tumbo, mapaja na mikono iliyoning'inia manyama uzembe mahitaji tangawizi mbichi limao au ndimu na Asali safi JINSI YA KUPUNGUZA TUMBO andaa tangawizi yako imenye vizuri kisha itwangwe au usage kwa blenda kamulia malimao mak

KUNENEPESHA MWILI KWA NJIA ZA ASILI 'TIBA ASILI YA KUONGEZA MWILI

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UAFAFNUZI WA MAMBO MUHIMU maziwa fresh KUNA SABABU NYINGI ZINAZOFANYA WATU KUWA NA MAUOMBO MADOGO YAANA WATU WEMBAMBA KWA LUGHA NYEPESI WANAITWA MODO. Kuna maradhi ya muda mrefu mfano mru akkumwa sana magonjwa shambulizi ya kushusha kinga ya mwili kama vile Kifua Kikuu TB, Ukosefu wa Kinga Mwilini UKIMWI hata maradhi ya sukar preha nk hufanya mwili kukosa muonekano ule wa kawaida. Lakini pia mtu kuwa na stress sana aidha kwa wanafunzi au watu wanaotafuta maisha kwa kasi huwa na miili midogo sababu bado nafsi na moyo haojaridhika na hawa si wagonjwa na wala si tatzo ila hupitia tu kipindi fulani cha mwili kuwa katika hiyo. Kuna watu wanarithi yaan ndip nature yao toka kwa babu baba mama shangazi wajomba wote ni wembamba wewe pia si tatzo ndip asili ya mwili wako hata ule nini huwez kunenepa na wala usipoteze muda na gharama. Lakini pia kuna matatzo ya kurogwa siku hzi wanga wanaweza kutengeneza

KUONDOA MADOA MICHIRIZI MWILINI

Image
  FAHAMU NJIA TANO MUJARABU ZA KUONDOA MADOA MICHIRIZI NA MAKOVU MWILINI BAADA ya kuongea kuhusiana na ukuzaji wa nywele kutoa chunusi na makunyazi usoni. Sasa tufahamu kuhusiana na kuondokana na Madoa makovu Michirizi na kuipa ngozi yako afya.   Wapo watu wanatumia gjarama kubwa na muda mwingi kumaliza matatzo haya lakini wanaambulia patupu.     Wapo wengine hawana uwezo wa kifedha lakini pia hawana uelewa kuhusiana na vitu asili ambavyo unaweza ukavtumia kumalza tatizo. Leo nakupa njia tano za kuepukana na matatzo nlyoyataja hapo Juu. Km unatattzo moja kat ya hapo Juu chagua njia inayokufaa ambayo ni rahs kwako dumu nayo kwa majuma kadhaa utapata mabadlko     1.MTINDI Kwa wenye Madoa usoni tafuta mtindi safi fanyia masaji kwa dakika 15 hadi nusu SAA kisha ukimaliza OSHA na maji vuguvugu Fanya hvyo kwa majuma kadhaa utapata mabadiliko.         2.JUISI YA LIMAO Kwa madoa ya mwilini pakaa juis ya limao kwa kutumia pamba chovya pamba pakaa kwenye DOA acha kwa dkka Kumi