JINSI YA KUMJUA MPENZI UNAYETAKA KUOANA NAE JE YUAFAA AU HAUFAI NiNI UREKEBISHE MAMBO YAWE SAWIYA
JINSI YA KUJUA KAMA MPENZI WAKO ANAKUFAA AU HAKUFAI NILIWAHI kuandika mambo ya kuzingatia kabla hujaingia kwenye ndoa. Nikazungumzia habar za nyota zinazoendana nikaweka makala nyengine inayozungumzia saa na siku nzuri za kufunga ndoa kulingana na nyota zenu leo tuangalie je anakufaa au hakufai. Pia anaweza akawa hakufai lakini unampenda nini kifanyike. Na je ikiwa umeshaoa na ukagundua hukuwa hakufaia hakutakuwa na mafanikio kwenye ndoa hakutakiwa na watoto wala mali jambo gani lifanyike ili usimuache na mambo yakae sawa fuatilia darassa kwa umakini Leo nitagusia senetes moja tu kwenye kitabu kikubwa cha saaatul habar kitabu kinachozungumzia milango ya saa hesabu na majibu katika maisha ya mwanaadamu sasa unataka kuoa au kuolewa ufanye nini kujua chukua jinaa la mpenzi wako baba yake na mama yake yaani matatu kisha chukua kila jina heruf moja ya kwanza mfano mpenziwako aitwa Harith baba yake Ubaid Mama yake Maryamu utachukua H+U+M nenda kwenye alfabet A mpaka Z kwa kuzi