Posts

Showing posts from July, 2020

IPI TAFSIRI YA KUOTA UNAKULA NYAMA UNALISHWA VTU NA UKAHISI HARUFU BAADA YA KUSHTUKA FAHAMU KWA UNDANI

Image
NDOTO hutafsiriwa kulingana na mazingira ya muotaji pamoja na masaaa aliyoota. Hapa namaanisha si kila ndoto ina tafsiri na si kila ndoto ina tafsiri moja yategemea na mazingira ya muotaji yapoje mazingira ndio huleta tafsri halisi ya ndoto. Pia si kila mtu ana uwezo kutafsiri ndoto. Kutafsiri ni elimu na kipaji maalumu kutoka kwa allah. Leo tuangalie tafsiri ya kulishwa au kula vitu ndodtoni. Maisha ya mwanadamu chakula ndio kila kitu, mlo ndio uhai na maisha yenyewe. Ikitokea mtu hajakula chakula fulan muda mref kisha mchana wake ukaiwaza upo uwezekano mkubwa usiku kukiota hcho chakula ucku wake.  Ukiota unakula nyama mwenyewe bimaana hulishwi tafsiri yake ni dalili ya kutaka mafanikio ama kufanikisha jambo lako kwa njia ya kudhuru ama kuumiza wengine, yaani ufanikiwe wewe lakini ukiacha wengine na madhara. Ili upate nyama lazima kiumbe kipoteze uhai wake, mfano kirekebisha nyota yako utakapochinjiwa kuku mweupe basi umetoa uhai wa kuku ili kuweka sawa yakwako ndio tafsir

ROSEMARY MMEA UNAOHESHIMIWA NA WAFALME KUTUNZA KUMBUKUMBU FAHAMU FAIDA NA MAAJABU YAKE

Image
NCHINI Uturuki wafanyaki wa waluokuww wakifanya kazi kwenye makasiri ya kifalme na wanajeshi wakuu wa ngazi za juu walikuwa wakitumia mizizi ya mti huu kutengenezea kofia zao. Ikiwa ni sehemu ya kutunza kumbukumbu katika matukio yao. Kila ngome ya ufalme lazima utaukuta mmea huu na ulikuwa ukitengenezewa bustani ya maalumu kulingana na faida yake. Mmea huu unaaminika kwa asilia 70 kwamba una uwezo wa kurejesha na kutunza kumbukumbu vzuri. Baadhi ya nchi za Ulaya na Asia wanafunzi walikuwa wanavishwa mashada yaliyotengenezwa na maua ya rosemary na walikuwa wakifaulu mitihan yao wakiamni kwamba harufu ya yale maua yanaweza kukumbusha kile ulichofundishwa na mwalimu wako. Kuna baadhi masaa machache kabla ya mtihani hupuliziwa harufu ya mti huu ili kurahisisha wanafunzi kukumbuka kutokana na maswali watakaoyokutana nayo kwenye mitihan huu unaitwa  Rosemary soma makala kwa umakini zaidi una faida nyingi. Kwa wanawake wenye hedhi isiyopishana yaan kwa mwez huweza kwen

FAHAMU KUHUSU MMEA WA ZAATAR SIRI FIDA NA UTUMIAJI WAKE SIRI YA UZAZI, VIDONDA VYA TUMBO

Image
NIMFULULIZO wa darassa za miti shamba na mimea asili ambayo ina faida huwenda ukawa unaiona lakini hujui faida zake, basi fuatilia ukirasa huu wa Mtabibu Asili Tz tupate kuulisha ubungo wako mimea ya tiba asili Pichani ni mmea unaofahamika kwa jina la zaatar hapa nchini sio maarufu sana na hata upatikanaji wake ni shida kidogo. Ila kwenye maduka ya dawa asili zipo dawa zenye mfumo wa unga, majani na mafuta fuatilia darasa kwa utuo. Majani yake mabichi hutengenezewa chai kama mchaimchai na ukinywa utapata faida zifuatazo muawasho wa koo na kikohozi huisha, inaboresha mzunguko wa damu kwa asilimia kubwa inatibu shida ya kupumua. Pia inasiadia kukinga kifua kwa maradhi nyemelez. Mafuta yake huwenza kuondo amabaka na madoa michirizi makovu ya moto na uparesheni ila inategemea na aina gani ya mafuta maana yana aina nyingi na wengi huyengeneza kwa ubora wa chini Majan ukiyatengeneza kama juisi yanazuia na kupunguza maumivu ya madonda ya tumbo. Ukichukua sanamaki na za

ALAMA, ISHARA, NDOTO NA MADHARA YA JINI NA SULUHU YAKE

Image
KATIKA maisha ya mwanadamu yameandamwa na hudhuni na furaha. Ila mwanadamu hufurahia zaid anapokuwa na furaha kuliko kuwa na huzun. Katika maandiko matakatifu yanaema kuwa ukipata ushukuru na ukikosa ushukuru pia usikufuru kwan yote ni makadirio yake muweza. Binaamadamu anapozaliwa huishi na wazaz wake anapokuwa hufurahia anapoanziasha familia yake, wapo watu hulia pindi anapoachana na familia kwanda kuanzisha familia yake ndoa. Katika ndoa kinacholeta furaha zaid ni uzazi ndio faida na ndio furaha zaid ya ndoa. Jini mahaba anaweza akakusosha vyote kati ya hivyo nilivyovitaja je furaha itakuwa upande wako. Ishara za jini huyu ni mtu kutopenda watu wa jinsia nyengine ikiwa ni mwqnamke basi kuchukia wanaume na hapendi kabisa hali ya kuanzisha mahusiano. Wapo wanaoteska na uzazi lakini wamepata bahat ya kuolewa. Zipo ndoa zinazoyumba ugomvi kila siku lakini chanzo ni huyu jini mahaba. Utafahamu vipi kama una jini mahaba hapa utaandamwa na ndoto za kufanya jimai yaani tendo la

JIMAI NGUVU ZA KIUME TENDO LA NDOA NA HAMU KWA WANAUME NA WANAWAKE

Image
Jimai ni tendo la ndoa sasa kumekuwa na changamoto nyingi kwenye tendo lenyewe la ndoa kwa wanawake na wanaume hali inayopelekea wahusika kuchepuka ili kupata furaha na kuridhisha hisia zao. Kifupi tendo la ndoa ndio ndoa yenyewe hayo mengine ni mapambo ya ndoa tu. Kwa wanaume tatuzo kubwa ni nguvu za maumbile madogo lakin kubwa zaid ni nguvu za kumfikisha mwwnzi wako anapopataka. Na kwa mwanamke ni kuwa na hali ya kufanya tendo au hamu na wakat mwingine mazingira ya uke yawe vzur nshafafanua sana makala zilizopita. Siku hz kumeibuka wimbi la watu wengi wanauza dawa za nguvu za kiume tena kwwnye makopo yanayovutia. Usichokijua kwanza watakiwa ujue chanzo cha ugonjwa wako ni kipi kisha tibia tatizo kwanza nguvu zitarud zwnyewe automatic. ZAMANI ULIKUWA UKIATHIRI WATU WAZIMA KUANZIA UMRI WA MIAKA 45 LAKN KWA SASA NI TOFAUTI MPAKA VJANA WA MIAKA 20 WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA TATIZO HILO.  UTAJUAJE KAMA UNA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME 1.kushindwa kumridhisha mwanamke aidha kwa ku

FAHAMU KUHUSU VIFUNGO ISHARA, DALILI NA NDOTO ZAKE

Image
UHALIGANI mpenzi mfuatiliaji wa darasa zangu kupitia ukurasa huu wa Mtabibu Asili Tz. Leo tutazungumziq vifungo ishara dalili zake na aina za ndoto zinazoashiria vifungo. Kuna vifungo vya aina nyingi kulingana na milango ya riziki ya mwanaadamu. Mungu alipokuumba alikukadiria riziki zako za kipato tunauita mlango wa mali chumo au kipato. Kuna ruziki za ndoa huitwa mlango wa mapenzi, kuna riziki za uzazi nk.         huu ni mfano wa kofungo na kuadhibu mtu.   macho kutoona mbele wala kuonekana na watu hasa hufanyiwa wanafunzi Wapo walioruzukiwa mali wakanyimwa kizazi, wapo waliopewa kizazi wakanyimwa mali wapo waliopewa vyote wakanyimwa busara wapo walionyimwa vyote wakapewa akili. Tukiachana na mipango ya mungu wapo waanaadamu wanaingilia kazi ya mwenyezi mungu ikiwa ni pamoja na kuziba riziki za wenzao kwa lengo la kuwakomoa. Leo nitazungumzia dalili na ndoto za mtu aliyefungwa na wanaadamu. Kuna vifungo vya mali vifungo ndoa mapenzi elimu uzazi hedhi kazi nk. Mfano kindoa

FAHAMU MMEA WA MSHONA NGUO FAIDA NA MATUMIZI YAKE KWA MARADHI NA DAWA ZA ASILI

Image
MMEA huu ukawe ponyo na dawa kwa wanaawake wote wajawazito ambao wana tatzo la upungufu wa damu. Huu hurejesha na kuonheza damu haraka zaid. Tumia kama mboga tu au waweza chemsha ukanywa ile supu yake ni mujarabu. Kww wale wanaoshika mimba kisha zinaharibika lakini huna jini mahaba wala jini pakuzi mti huu unaweza kukusaidia. Nenda kwa bibi yako au dada yako mkubwa unayemuamini hana husda mkauchume huo mti mrejee nao nyumban. Nduguyo apekeche kwa viganja vyake mpaka itoe mchuzi utanyonya kwa kutumia kiwiko chake. Hakikisha ni mtu mzima mwenye akili timamu lakini asiwe na jicho la husda. Ukichukuwa Majani Ya mti huu uki Chemsha yanaongeza damu kwa mtu yoyote yanaweza kumaliza mafua yanayokera husafisha kibofu hvyo humaliza U.T.I  Ukichukua majani yake ukitwanga yale maji yake yanatibu mtoto wa jicho tia matone mtatu jichoni. Hubana uke kama utavaa kama pedi yale majani yaliyolainika Ukitumia kama chai huweza kupunguza mwili na kuounguza shinikizo la damu na maumi

FAHAMU FAIDA NA MATUMIZI YA MTI WA MKOMAMANGA NA TUNDA LAKE

Image
MKOMAMANGA ni mti unaopandwa sana na kumea ukanda wa Pwani. Watu huupanda kama mmea au mti kwa faida ya matunda yake. Leo nitakupitisha katika matumizi ya dawa kwa kutibu maradhi mbali mbali yanayowasumbua wanadamu. Mti huu kuanzia mizizi mpaka majani yake hutumuka katika tiba mbalimbali.  Juisi yake huweza kushusha presha, juisi yake ukachanga na asali hurejesha kumbukumbu hasa kwa watu wazima wenye matatzo ya kusahau. Ukichukua juisi yake ukachanga na ndimu unaweka kukukinga ugonjwa wa ini na manjano. Unywaji wa juisi yake unaweza kupunguza maumivu ya meno na kuua vijidudu vya meno husafisha kibofu cha mkojo na kutibu U.T.I. ukichugua maganda ya ya tunda la mkomamanga ukayaanika yakakauka ukasaga upate unga wake ukachanganya na asali inatibu maradhi ya vidonda vya tumbo utaumia kwa aiku 21 vijiko viwili asubuhi na jion. Ukichukua majani yake ukatwanga unamaliza tatzo la vtu kutembea tumboni unakunywa kama juisi au unaweza kuanika ukatwanga kisha ukaweka unga wake kwenye c

UWIANO WA NYOTA KATIKA USHIRIKIANO WA MAPENZI NA BIASHARA (NYOTA ZINAZOENDANA)

Image
UWIANO WA NYOTA KATIKA USHIRIKIANO WA MAPENZI NA BIASHARA (NYOTA ZINAZOENDANA) BAADA YA KUZUNGUMZIA KUHUSIANA NA MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA NDOA. IKIWA NIMEFAFANUA JINSI YA KUANGALIA SIKU NZUR YA KUFUNGA NDOA LAKINI NANI UNAFAA KUFUNGA NAE NDOA AU NANI UNAFAA KUSHIRIKIANA NAE KATIKA BIASHARA ZAKO AU SHUGHULI ZA KUSHIRIKIANA. Nlifafanua juu ya tabia za nyota na ulinganifu wake. Sasa tufahamu nani unafaa kufunga nae ndoa na siku gani ni nzur kulingana na nyota zenu soma kwa umakini zaid. Nyota zinazoendana kimapenzi ni ; zinazofuata asili ya nyota moja au inyoana pamoja mfano  nyota zenye asili ya MOTO anauona na MOTO mwenzie au inaoana na nyota ya UPEPO halikadhalika mwenye upepo anatakiwa kuoana na upepo mwenzie au MOTO na hii hata kibiashara pia inafuatana hivyo hivyo. Wenye nyote ya  MAJI wanaweza oana na MAJI wenzie au UDONGO halikadhalika kwa UDONGO anaoa UDONGO mwenzie au MAJI hii hata kibiashara pia yatakiwa iende hivyo Matatizo yatakayotokea endapo mtu wa moto akim

MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA NDOA, NYOTA ZINAZOENDANA KATIKA MAPENZI MA BIASHARA

Image
MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA NDOA ZAMANI WAZEE WALIKUWA WAKIANGALIA NYOTA KABLA YA KUFUNGA NDOA wakipata majibu yakuridhisha ndipo ndoa hufungwa. wakat mwingine huangalia mpaka mlango wa saa na siku nzuri yakufunga ndoa yenye baraka kulingana na nyota zao. Ndo maana unakuta ndoa za zamani zilidumu sana na watu walisikilizana na kupendana kulko cku hz. Ikitokea mtu kampenda na hawez kumuacha na anataka kufunga nae hapa hufanyika kazi ya kulinganisha nyota ndo utakuta mke anabadilishwa jina ili kukishi hesabu au wakat mwingine kuna mafanyo ya kitaalam hufanyika na mambo hukaa sawa. KWANN WATU WENGI HUOANA SIKU YA IJUMAA SAA SABA NA SAA NANE ni kwasababu ck ya ijumaa inatawaliwa na mapenzi ya mwanamke na mwanaume na ufalme unamiliki ck hiyo ni mapenzi na saa saba na nane wanasimama shamsi na zuhura ni nyota za mapenzi hivyo ukifunga ndoa mda huo ni sahihi. CK MBAYA KABISA KUFUNGA NDOA  cku ya jumamosi kuna masaa si mazuri na siku ya jumanne haifai kabisa kufunga ndoa

DAWA ZA WATOTO KUCHELEWA KUONGEA NA KUTEMBEA

Image
KUNA sababu nyingi zinazopelekea mtoto kuchelewa kwwnye hatua za makuzi yake. Moja ya sababu hizo ni pamoja na ziwa la mama anayemnyonyesha iwapo ziwa litakuwa zito basi mtoto atachelewa kwenye hatua za ukuaji na uzito wa ziwa ni hali ya uhalisia wala haina tiba ila mtoto unaweza ukamtibu. Mambo mengine ni pamoja na kuwadekeza watoto na kuwaonea huruma unakuta mtoto unri wa kukaa lakini mzazi hamkalishi kitu kingine ni kuchezewa na wenda usiku hasadi za watu wanaokuja kumuangalia vifungo nk nishaeleza kuhusu kumkinga mtoto soma somo liliopita kwenye ukurasa wangu Hapa ntaeleza njia tatu rahsi zisizokuwa na madhara, kuna nadharia nyingi huelezwa juu ya dawa za watoto ila usikurupuke nyingi zina madhara.   Njia ya kwanza Muamshe asubuhi kabla watu wote kuamka Mfagie miguuni na mfagie unyayo kisha muweke mlango wa nje katikati msukume polepole na ufagio atoke  nje funga mlango akiwa nje atalia kdg then mchukue atatembea tu Fanya hivyo mara kadhaa hii dawa ya asili za mababu na

MAAJABU YA MISHUMAA SEHEMU YA PILI FAHAMU JINSI YA KUONGEZA UPENDO KAZINI NA NYUMBANI

Image
MAAJABU YA MSHUMAA SEHEMU YA PILI KUHUSU MAPENZI IWE KAZINI AU NYUMBANI SOMO hili linahusiana na balaa la mishumaa na kazi zake kuna kitabu nimekiandaa kinahusiana na mishumaa rangi na jinsi inavyofanya kazi. Muda chache ujao kitakuwa mitaani  Leo naongelea kuhusiana na kuongeza mapenzi kwa mpenzi wako au kazini kwako tafadhali soma kwa umakini ili usiulize swali ambalo nmeshafafanua. Ndio maana ukiangalia post zilizopita kuna coment huwa sizijibu kwa sababu mtu anauliza swali wakati hajasoma. Vitu vinayohitajita kwenye kazi yako ni  Mshumaa wa blu Karatasi ya blu Pini au nwiba wa uaridi na kalamu nyekundu Mafanyo yake Kwanza watakiwa uwe msafi bimaana huna hedhi nifasi wala janaba utatandika mswala wako au jamvi mkeka siku ya alhamisi usiku kabla kupindukia saa sita utaweka vifaa vyako mbele yako kisha utaandika majina ya muhuiska awe bosi au mpenzi kwenye mshumaa kwa kutumia mwiba au hiyo pini, maandishi yatoke juu kule unapowashia kuelekea chini utaansika jina lake baba