Posts

NDOTO ZINASHOARIA UCHAWI, KUROGWA NA KUCHUKULIWA MSUKURE

Image
NDOTO ZINAZOASHIRIA UCHAWI, KUROGWA, MSUKULE  KUna ndoto ukiota inaashiria wewe muotaji umerogwa au unataka kuingizwa kwenye chama cha wanga au unataka kutolewa msukule kuwa makini katika usomaji. Kuna hatua kama nne kuu za mtu kuingizwa kwwnye wanga hizi nitazizungumza siku nyengine mungu akitupa uhai leo tuangalie hizi ndoto na tafsiri yake. Ukiota nyoka mweusi amekuingia mwilini kwa aina yoyote ile iwe kapitia miguun kichwani mkononi tumboni ni ishara ya kuingiwa na jini wa kichawi ambao ametumwa na wachawi. Ukiota unakula nyama na ndoto zikawa zajirudia mara kwa mara ni ishara ya kulishwa vitu vibaya na wachawi usiku sasa aidha wanakulisha kwa kukudhuru au wanataka kukuingiza chamani. Hapa hata ukiamka asubuhi msomo huhisi kweli ulikula kitu usiku. Kuota unaingiliwa kimwili mara nyingi waenda usiku anaweza akakutongoza mchana ukakamtalia basi huja kukuadhibu usiku utaota unaingiliwa na mtu tena kwa fujo na ukiamka hujikuta umechoka  na umechafuka na wakati mwingine huku

MIZIZI YA MLAZALAZA LUFYAMBO KATIKA DAWA ZA MAPENZI

Image
MLAZALAZA LUFYAMBO  KATIKA MAPENZI MTI unaouona pichani nishauzungumzia mara kadhaa kwenye makala zilizopita leo nitazungumzia mizizi yake katika mapenzi Hapa ni mpenzi bimaana mke mume au mtu unayejamiiana nae fuata taratibu zifuatazo Amka asubuhi ukiwa msafi bimaana kama umelala na mwenzio basi ujitwayarishe  vzuri usiwe na janaba hedhi wala nifasi Elekea eneo lenye mti huo pichani ukifika gonga hodi sema wewe mlazalaza nmekuja kumlaza fulani bin fulan au fulan bint fulan utachuma majani na kung'oa mizizi kadhaa huku ukiendelea kunuia Ukimaliza rudi nyumbani kwako twanga vyote kwa pamoja tia mafuta zaituni kidogo kisha kama n mwanaume pakaa kwenye kichwa cha uume kama mwanamke paka kwenye kinena na mlango wa uke acha mpaka ikauke Nenda kaingiliane nae hakika utamlaza kweli na atakupenda mpaka utamchoka Ukitaka akihadithie mambo anayoyafanya kUKna tarasimu utamuwekea kwenye mto wake wakati ukimfanyia hivyo atakuhadithia kila kitu usiku mkiwa katika tendo kw

FAHAMU KUHUSU MLUFYAMBO MLAZAZA TIBA NA DAWA KWA WATOTO NA KINAMAMA

Image
FAHAMU KUHUSU MLAZALAZA' LUFYAMBO MTI huu huoatikana kwa wingi ukanda wa pwani hasa maeneo ya mapori na makaburi. Mti huu una sifa ya kutambaa na kutoa mbegu zenye rangi mbili nyekundu na nyeusi. Mti huu ni dawa kubwa sana katika matibabu ya asili na uganga wa jadi. Leo nitagusia vitu vikubwa vina vyoweza kufanywa na mti huu, kwa chochote usifanye kwa kujaribu tiba ni imani. Majani yake ni tiba kubwa ya kifua na pumu  Mtu anaweza kupata pumu iwapo atakuwa anakaa karibu na moshi  au wakati mwingine anaweza kurithi kutoka kwa mmoja wa wazazi au ndugu  wa damu aliyewahi kukumbwa na maradhi hayo. Namna ya kutumia: Chukua majani mabichi ya mmea huu yenye uzito wa nusu kilo, yatwange au yasage kwenye mashine  ya juisi ili kupata juisi. Juisi hiyo changanya na mayai matatu ya kuku  wa asili, asali vijiko vitano vya chakula na limau mbili au tatu itategemeana na ukubwa wake, changanya vizuri mchanganyiko huo. Kunywa nusu glasi kutwa mara  mbili (asubuhi na jioni), muda wa siku

MFAHAMU JINI MAHABA ANAVYOINGIA DALILI MADHARA NA MATIBABU YAKE

Image
MFAHAMU JINI MAHABA KATIKA MAISHA YA MWANADAMU YAMEJAA MITIHANI MINGI INAYOPELEKEA MWANADAMU KUPATA MITIHANI YA KIMAISHA, KIMAUMBILE NA KIAFYA. KATIKA VITU AMBAVYO VINAWATESA WATU WENGI WALIOPO NA WASIOPO KWENYE NDOA, WAUME KWA WANAWAKE NI JINI MAHABA. JINI MAHABA SHEYTWANI ANAYEMJIA MWANADAMU KWA LENGO LA KUFANYA NAE UCHAFU WA ZINAA  WATU WENGI WAMEKUWA WAKISUMBULIWA NA JINI HUYU MPAKA KUSABABISHA KUVUNJIKA KWA NDOA. MTU KUCHUKIA WATU WA JINSIA NYENGINE. KUINGILIWA NA NUKSI NA MAMBO MENGINE.  VIPI JINI HUYU ANAWEZA KUWAINGIA WATU  1.Wanaopenda kulala bila ya nguo au nguo nyepesi sana bila ya kusoma dua hasa nyakati za joto 2.wakati wa kufanya tendo la ndoa na wanandoa kusahau kusoma dua wakati wa tendo{na hapa ndipo huwaingia watu zaidi} 3.kujitazama ktk kioo kwa muda mrefu bila ya kusoma dua na hasa kwa wanaopenda kujitazama wakiwa uchi 4.kuogelea ukiwa uchi katika vyanzo vya maji bila ya dua  5.kutupiwa na wachawI 6. kuingia chooni bila dua  hivyo anaeingia bila ya dua anaweza kukum

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI

Image
Faida za mtunguja, mtura. Mti huu unaingia miongoni mwa miti midogo duniani ambayo inafaida kubwa katika afya ya mwadamu. Na mti huu si sumu kama inavyopotoshwa na wengi Kwa ufupi mtu huu unafaida, kiafya, kiurembo na masuala ya mapenzi. Kwenye mapenzi dawa za mapenzi masomo yanatolewa whatsap group. Leo tutazungumzia kwenye afya na biashara na kukinga wachawi Maradhi ya kuumwa meno Km jino limetoboka chukua mzizi wa mti wa mtura mkavu chemsha na chumvi kisha nyunyuzia kwenye shimo Km halijatoboka sukutua Mara tatu kwa siku. Kwa watoto wadogo wa kiume wenye ugonjwa wa ngiri kende kusinyaa. Chukua mizizi ya mti huu na mzizi wa mpapai dume itimie saba Chemsha mpe anywe kutwa Mara mbl kwa ck saba Kwa wakubwa Hii inatuliza tu maumivu kutokana mdudu kukomaa ukhtaj dawa nione. Maumivu ya hedhi Chukua unga wa tunda zake kijiko kimoja weka kwenye glass ya maziwa ni dawa mujarabu kwa kunywa. Tumia mpaka maumivu yakate. Kwa matatizo ya uzazi Hutumika mizizi ya mti huu mti wa mzalia nyuma mti wa

UGONJWA WA PID CHANZO DALILI , MADHARA NA SUKUHU YAKE

Image
UFAHAMU UGONJWA WA PID KWA WANAWAKE DALILI MADHARA NA SULUHU. BAADA yakupokea maswali mengi kutokana kwa kina mama kuhusiana na maradhi haya ya PID leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Nimepokea simu nyingi na jumbe kupitia whatsap baada ya kuandika ile makala inayohusiana na madhara ya njia za uzazi wa kisasa. PID ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke kama vile, mfuko wa uzazi, mirija ya mayai, vifuko vya mayai, shingo ya kizazi.                 VISABABISHI VYAKE Ugonjwa huu kwa kawaida husababishwa na maambukizi kwa njia ya kujamiiana, na mara nyingi hata magonjwa yanayohusiana na kujamiana huusishwa kama kama vile Pangusa ,UTI, Fangasi, Kisonono, nk. Pia utoaji mimba usiosalama, kuharibika mimba, au kujifungua kwa njia zisizo salama na kuweka vitu ndan ya uke kama vizuizi vya mimba pia huchangia maradhi haya. DALILI ZAKE Dalili za ugonjwa huu huwa kama ifuatavyo: • Maumivu katika tumbo la chini na sehemu za nyonga. • Kutokwa na uchafu mwingi wenye h

FAHAMU FAIDA ZA MUEGEA

Image
FAHAMU KUHUSU FAIDA ZA MTI WA MUINGE AU MUEGEA KATIKA TIBA MTI huu una majina mengi wengine huita muegea, muinge  mlemela. Leo nitawapa faida kiafya wanaohtaj habar za kukuza nitawapa dawa. KWA AFYA KWA UJUMLA UUnatibu Tumbo Kujaa Gesi Kujisaidia Milendalenda Vidonda Vya Tumbo Kunawirisha Mwili Kwa Wale Wenye Afaya Mgogoro ukurutu na magonjwa mengine ya ngozi. Jinsi ya kutumia Kupata faida hizo kwa kutumia mizizi ya mti huo, chukua mizizi au magome yake na uyakaushe kivulini (sio juani), baada ya kukauka, saga magome hayo ili upate unga. Chota unga huo kiasi cha gramu 700 (karibu na robo tatu kilo), changanya na maji kiasi cha lita 6. Mwenye tatizo anatakiwa kunywa mchanganyiko huo kwa kiasi cha robo lita kila siku Hifadhi kwenye fliji ili isiharibike ukhtaj kutumia waipasha moto kidogo. kukausha vidonda chukua unga huo hunyunyuziwa katika nguo au kitambaa na kisha nguo au kitambaa hicho hufungwa katika kidonda au jereha na baada ya siku kadhaa jeraha hilo hukauka. KWA MARADH

KUFARAKANISHA AU KUTENGANISHA WATU

Image
KUFARAKANISHA AU KUGOMBANISHA MARA KADHAA nimepokea malalamiko watu wanachukuliwa waume zao wake zao au wanachukiwa na watu ofisin ambao wanajifanya wapo katibu na mabosi. sasa kufarakanisha au kuyengenisha fuata maelezo kwa makini ukishindwa ndo unitafute.  hii inahusiana na mafusho sambamba na kafara la faraqa mafusho yake ni haya 1. Sandal nyekundu, 2. Haltiti, 3. washqu (uwatu) 4. Miatsaila 5. maganda ya karanga. 6. magadi 7. ugoro 8.shubili Unachoma mafusho hayo muda zohari FUSHA KWA CKU TATU HUKU UKINUIA HITAJ LAKO UKIMALIZA FANYA HIVI Mahtaji Chungu kipya Kuku kinyavu Yule mwenye manyoya yalosimama Mahindi Makapeni nyeusi Jiko na mkaa Andika majina ya unaowataka wagombane ndani ya chungu kwa kuzipa nafasi hzo heruf yaan kwa kuzipishanisha utaandika na tarasimu yake Ukimaliza mchinje Yule kuku damu ikimiminikia kwenye chungu Bandika hicho chungu kwenye moto uwe mkali hakikisha damu ikauke Weka mahindi koroga huku ukiwa unanuwiya unachotka na uweke tageti ya ck yaan natak

BIMBILISA MAVI ANAVYOTUMIKA KUMUADHIBU MWIZI, KURUDISHA KILICHOIBIWA NA KUPEPERUSHA WATU

Image
DAWA YA MWIZI AU MTU ALIYEKUZULUMU HII ni kwa wale walioibiwa jinsi ya kurudisha ktu chako na kuadhibu mwizi haraka mahitaji UNGA WA MAJAN YA MBAAZ KITAMBAA CHEUPE BIMBILISA MAVI NA MZIGO WAKE MRINGARINGA MCHANGA WA ENEO LILILOIBIWA MAANDALIZI SAGA VTU VYOTE UPATE UNGA WAKE uweke juu ya kitambaa  kisha nuia unachotaka kwa mwizi wako Mfano kaiba kuku basi awikie tumboni kama simu iitie tumboni kama hela basi asikie chenchi tumbon n.k. kisha ukimaliza kunuia vifunge pamoja kavining'inize panapowashwa moto kila siku NDANI YA CK SABA UTAPATA MAJIBU KWA KILE ULICHOKIKUSUDIA Atakapokuja kumuopoa kwake fungua kisha mwaga kila kitu Ucfanye kwa kuonea watu na huyu bimbilisa mavi anaweza kutumika kusafirisha mtu asirudi tena Mdudu huyu pia waweza mchoma n mzigo wake unga wake hutumika kutibu vidonda sugu visivyopona unapaka. KUMUHAMISHA AU KUMPEPERUSHA ADUI KAMA una uadui na mtu labda amekutendea uovu, amekudhulumu amekuchukulia chako fuata taratb zfuatazo Chukua nyayo za

TIBA YA KUMALIZA VINYWELEO VINYOLEO 'MALAIKA' NA NDEVU KWA WANAWAKE

Image
JINSI YA KUTOA VINYWELEO KWA WANAWAKE   HABARI za muda huu mpenzi mfuatiliaji wa makala zetu kupitia webiste ya hii ama page ya mtabibu Asili tz kule facebook na instagram. Leo nawapa njia ya kumaliza vinyweleo usoni na miguuni. kwa wanawake kwanza mwanamke kuwa na vnyweleo husababisha na hommon inballance, Wakat mwingine husababishwa na utumiaji wa vipodozi vikali ambavyo vnapelekea mwanamke kuvurugika hommon zake na kupata muonekeno wa kiume.   Lakn pia si tatizo kubwa sana maana wapo watu wanapendeza zaid wakiwa vinyweleo. KUna baadh ya wanaume hujckia raha wakkutana na mwanamke mwenye vinyweleo ila inapozidi huwa kero sasa leo tufahamu njia za kumaliza  VINYWELEO VYA USONI MAHITAJI  MAANDALIZI  Vitu vinavyohitahika ni Uwatu na kunde kavu ( uwatu unapatikana maduka ya dawa za asili kunde ni masokoni) chemsha kunde na uwatu kipimo cha kiganja chako ikishachemka iache ipoe weka kwwnye bakuli ponda ponda ongeza vjko vtatu vya assli hakikisha kunde unazichambua maganda kabla ya kuche

FAHAMU NJIA ASILI ZA UZAZI WA MPANGO ZISIZO MADHARA

Image
UZAZI WA MPANGO KWA NJIA RAHISI ZA ASILI     BAADA YA KUFAHAMU MADHARA YATOKANAYO NA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO WA KISASA SASA TUANGALIE NJIA ASILI ZA KUJIKINGA NA KUPANGA UZAZI PASIPO MADHARA. NJIA HIZI NI SALAMA NA HAZINA MADHARA YOYOTE KWENYE MJI WW UZAZI WA MWANAMKE JITAHDI KUSOMA VIZURI NA KWA UMAKINI MAELEZO YALIYOWEKWA.       Awali ya yote kwanza tujue tofauti kati ya dawa za asili na za kisasa katika kupanga uzazi. Anayetumia njia za sasa asilimia kubwa hazioni ck zake hvyo humpelekea damu ya hedhi kubaki ndani na kuwa kama uchafu ambao baadae huweza kusababisha madhara makubwa.      Madhara anayoweza kuyapata mtu huyu in pamoja na kuziba mirija ya uzazi, kupata uvimbe kwenye mji wa uzazi pamoja na madhara mengine ambayo tumeyazungumza kwwnye makala yakwanza iliyopita. Kama umeikosa hujachelewa waweza itafuta.      Anayetumia njia za asili huweza kuziona siku zake hvyo uchafu hutoka kila mwezi hvyo mirija na mji wa uzazi hubaki salama kabisa. Japo zipo baadhi ya dawa z

MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZA KISASA NA MATATIZO YAKE

Image
KWA KAWAIDA KABISA KUNA MADHARA MENGI YANAYOTOKANA NA NJIA YA UZAZI WA MPANGO MWANAMKE ANAWEZA AKAPATA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJA KUMSABABISHIA MAMBO MAKUBWA KAMA KUTOSHIKA UJAUZITO KABISA AU KUZAA KWA OPARESHENI. NA PIA NYONGA HUWEZAKUGEUKA NA KUWA ZA KIUME. KITENDO CHA DAMU YA HEDHI KUBAKI NDANI YA TUMBO HUWEZA KUSABABISHA UCHAFU AMBAO UNAWEZA UKASABABISHA UVIMBE TUMBONI. zamani wazee wetu walikuwa wakitumia za asili ambazo ziliwapa matokeo mazur bila madhara yoyote yake. KUna njia nyingi za kisasa za uzazi wa mpango zenye madhara makubwa kwa mtumiaji. Zifuatazo ni baadhi na madhara yake. MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA   Kuna madhara mengi makubwq sana ila fahamu kwa uchahe kuwa kuna usumbufu hedhi, Kuumwa kichwa mara mara Kizungu zungu Kichefu chefu Kuongezeka uzito usiokuwa na faida. MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA Huathiri fuko la uzazi kwa ndan, Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga, Kuumwa kichwa mara mara. Kupata kichefu che