Posts

MADHARA YA ZINAA 'MAPENZI' KINYOTA INAVYOHARIBU MAMBO YAKO VIFUNGO VYA MWILI

Image
KWENYE makala za uchambuzi wa nyota mara kadhaa nmekua nikizungumza kuhusiana na kuchanganya wapenzi kunaweza kukuharibia mambo yako hasa kinyota. Pia tabia ya kuwa na mtu ambaye hakuendani kinyota inaweza kukupa madhara. Tufahamu je ni kwa namna gani wapenz zinaa inaweza kukuharibia mambo yako kinyota soma kwa umakini makala haya jitahdi usome mpaka mwisho kuna funzo utalipata na kama una tatzo tayar utajua wapi pakuanzia. Zinaa imezungumzwa kwenye vitabu vya sini kuwa na uchafu na sio miongoni mwa njia nzuri. Uharamau wa zinaa umeelezwa kwa kina vitabu vya dini kiimani, pia ukaelezwa madhara yake kisayansi kwamba kuna magonjwa kadhaa ya zinaa yuwaweza kuyapata ikiwa utadumua au kufanya uchafu huo. Kuna kinga kazaa zmegunduliwa ila leo hapa nitakueleza hata ujikinge vipi kuna vitu huwez kuepukana navyo kinyota. Ipo imani ukitembea na mtu fulani basi mambo yako yatakuwa kama yule uliyetembea naye. Hapa ndio wengi wanatembea na watu maarufu, wanatembea na viongozi wa dini, w

JUMBA 'GAMBA' LA KONOKONO KATIKA KUFANIKISHA MATIBABU YA ASILI NA MAMBO MBALIMBALI

Image
KABLA sijaenda kwenye mada husika napenda kutolea ufafanzu jambo fulan. Mlio wengi mmasumbuliwa na mashakiri ya kinyota kimapenz na utafutaji ridhki. Sasa kwa ufupi ridhka na maelezo nitakayokupa kwenye tiba huwa hakuna shortcut kinachotibiwa ni chanzo cha tatzo husika. Wewe mambo yako kukwama ama kukuendea kombo lile ni tatzo lakini lina chanzo chake hiko chanzo ndicho chapaswa kitibiwe. Kinajulikanaje hapo sasa ni kazi ya Wataalam wao watakuangalia watajua nn hasa tatzo na chanzo chake ndipo itakapopatikana tiba. Kwa maana hiyo ukiniuliza swali sijui natoaje nuksi sijui mpenz kanikimbia sijui nataka kumeudisha mtu jibu ntakalokupa halitotofautiana na maelezo nilotoa kwamba hakuna jambo linalofanyika pasina kujua chanzo na uzito wake ndipo utakapojua watibia nn na nm ufanye kumaliza hilo tatzo. Katika matembez yako nafikiri umeshawahi kuona konokono akitembea ama majumba ya konokono hakiwa matupu baada ya wao kufasasa makala haya nitaeleza mambo ambayo yuwaweza kuyafanya n

UPEPO MBAYA UNAOKUMBA NYOTA DALILI AINA ZAKE NA SULUHU

Image
KAMA ni mfuatiliaji mzur wa makala zangu neno upepo mbaya ki nyota hakitakuwa geni masikion mwako. Leo nitafafanua walau kwa uchache ukisikia upepo mbaya kinyota huwa inamaanishwa nini. Na daliki zake ni zipi na nini ukifanye ukishajigundua una tatzo hilo fuatailia makala haya mpaka mwisho anayekuletea chambuzi hizi ni Mtabibu ASILI TZ. Upepo mbaya ni hali inayoikumba nyota yako yaweza kuwa haki ya muda bimaana katika mzunguko wa sayar ikatokea siku hyo nyota yako ikakumbwa na upepo. Pia kuna hali ya makadirio yaana michezo ya kufanywa na watu sasa hali hii hudumu kwa muda mrefu kwako kama hukuweza kuikabili mapema. Ila ile mzunguko wa sayat huwa ni siku hyo ymtu basi. Ukisoma chambuzi mfano nikisema leo haitakuwa nzur kwako ila choma fisho la nyota yako kinachomaanishwa kuna upepo mbaya utaipitia nyota yako mambo yako mengi yatakuwa na mkwamo wakati mwingine huvuruga mpaka mapenz ila siku ikipita mambo yanarud kama mwanzo na ule mkwamo huisha. Sasa ukiona nmesema kipindi h

KUHUSU PETE ZA MAJINI UPATIKANAJE WAKE NA MASHART YAKE

Image
PETE ZA MAJINI NA UTAJIRI TOFAUTI  MASHART NA UPATIKANAJI WAKE SEHEMU YA PILI JANA nilizungumzia kuhusiana na pete za bahati kinyota nikagusia na pete za utajiri wa majini. Maswali mengi yalikuwa kuhusiana na utajiri hii inaonesha watu wengi wanapenda pesa bila kushughulikia matatzo waliyokuwa nayo. Nmeamua kutoa sehem ya pili ili kutoa ufafanuzi wa kina zaid ikiwa unachukua hataua za kutafuta huo utajiri ufahamu mambo muhimu kabla ya kuutafuta.Wale wanaohitak pete za bahat angalia mwisho wa makala haya kuna namba za simu uchambuzi huu unaletwa kwako na Mtabibu ASILI TZ. Leo nitakueleza utofaut wa pete za majini na pete za utajiri wa majini ni vitu viwili tofaut. Hapa naacha kidogo pete za bahati ambazo kama ulielewa jana hizi hazina masharti yoyote ni matengenezo tu ni kuvaa kukingana na maelezo utakayopewa na atakaye kutengenezea ila pete za majini na pete za utajiri wa majini zina mashart na utaratibu wake jinsi ya kuzipata na huwa haziptaikan kwa sonara wala maduka ya mapambo.   UF

SADAKA ZA KUNG'ARISHA NA KUSAFISHA NYOTA

Image
KATIKA uchambuzi wa Nyota ninazozitoa asubuhi huwa nazungumzia mafusho ya Nyota. Naweza nikaweka maelezo alaf kwenye ushaur nikasema leo watakiwa ufushe fusho la nyota yako kabla ya kuanza shughuli yako. Makala haya yataaangazia juu ya fusho la kila nyota na utumizi wake. Anayekuletea uchambuzi hii ni Mtabibu ASILI TZ. Niliwashatoa makala za uchambuzi wa kila nyota. Zile nyota kumi na mbili kuanzia Punda mpaka Samaki, nilifafanua siku zao za bahat, watu wa kushirikiana nao siku mbaya kwao, malaika na majini wa nyota zao pete vito na shughuli au kazi za kilufanya ili uendane na nyota yako na kujipatia kipato. Makala hizo zipo peruz post za nyuma utaona ukiutaka uchambuz binafs utanilipa ili nikufafanulie kama utaona kazi kusoma post za nyuma. Fusho ni dawa ambayo hutumika kuchoma aidha kwa kujifusha yaan kujifunika ili moshi ukiungie mwilini au kuchoma kawaida. Hutunika katika shughuli mbalimbalu hasa za kuvuta ridhki kutoa uzito kuleta wepes pamoja na masuala ya kimapenzi. Yatakiwa uwe

KUHUSU KUNG'ARISHA NYOTA KWA KUTOA SADAKA KWA WATOTO WADOGO

Image
KUJIIMARISHA KINYOTA MVUTO WA CHUMO LA AMALI ZAKO KILA mmoja anazo shughuli zake za kujitafutia ridhki ili kuyaendesha maisha yake. Zipo shughuli za heri na shari ila si wote wanaofanya shari hupenda wakati mwingine ni majukuku kuwabana na hakuna njia nyengine ya kuyatatua. Si hamasihi watu kufanya shughuli mbaya nipo katika kukuelewesha namna ya kuupata unafuu katika mihangaiko yako. Nmekuwa nikiulzwa sana baadh ya maneneo ninayotumia kuna watu huwachanganya ila hiki ninachoandika ni kiswahili sanifu alhamdulillah nmekaa na wazee pia nmesoma sana kiswahl elimu ya dunia. Hapo juu neno chumo maana yake ni kipato au fedha unayoipata baada ya kufanya kazi amali ni shughuli yoyote unyoifanya ili kupata hicho kipato sasa kuna amali njema na mbaya kama nilivyoeleza hapo. Kabla ya kuendelea nataka niweke sawa ikiwa una mikwamo mambo hayaend unahs na kuona kabisa sio kawaida kwanza yatakiwa iangaliwe tatzo na chanzo chake ikiwa ni vifungo husda upepo mchafu majini nk vishughulikiwe

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

Image
KATIKA uchambuzi wa Nyota ninazozitoa asubuhi huwa nazungumzia mafusho ya Nyota. Naweza nikaweka maelezo alaf kwenye ushaur nikasema leo watakiwa ufushe fusho la nyota yako kabla ya kuanza shughuli yako. Makala haya yataaangazia juu ya fusho la kila nyota na utumizi wake. Anayekuletea uchambuzi hii ni Mtabibu ASILI TZ. Niliwashatoa makala za uchambuzi wa kila nyota. Zile nyota kumi na mbili kuanzia Punda mpaka Samaki, nilifafanua siku zao za bahat, watu wa kushirikiana nao siku mbaya kwao, malaika na majini wa nyota zao pete vito na shughuli au kazi za kilufanya ili uendane na nyota yako na kujipatia kipato. Makala hizo zipo peruz post za nyuma utaona ukiutaka uchambuz binafs utanilipa ili nikufafanulie kama utaona kazi kusoma post za nyuma. Fusho ni dawa ambayo hutumika kuchoma aidha kwa kujifusha yaan kujifunika ili moshi ukiungie mwilini au kuchoma kawaida. Hutunika katika shughuli mbalimbalu hasa za kuvuta ridhki kutoa uzito kuleta wepes pamoja na masuala ya kimapenzi.

FAHAMU KUHUSIANA NA PETE ZA BAHATI ZINAVYOLETA MVUTO

Image
VITU AMBAVYO HUTAKIWI KUVICHUKULIA POA ILI KUFANIKISHA MALENGO YAKO KILA asubuhi huwa naweka post inayohsiana na utabiri wa Nyota yako wa kutwa nzima. Kuna vipengele vingine vianaonesha hali itakavyokuwa wiki nzima. Katika ufafanuzi huo kunakuwa na ushauri ndani yake wa kinyota. Ikiwa kile kinachoandikwa kinafanana kabisa au ni chakweli kwako katika Nyota yako jitahd kufuata ule ushaur. Nmegundua wengi mnasoma nakuacha kisha likikukuta ndo unaanza kutafuta pakutokea napokea sana jumbe za namna hiyo ninachowashauri jitahdini kufuatilia kwa kina maelezo ya nyota zenu. Uchambuzi huu unaletwa kwako na Mtabibu ASILI TZ. Hutakiwi kuchukulia poa Ndoto zako, ikiwa unafulululiza ndoto zenye ishara fulan jitahf kufuata ushaur unaopewa kitaalam. Siku za usoni inaweza kuwa hatari zaid. Mfano umeelezwa kuwa ni ishara ya vifungo mkwamo wa jambo na si mara moja, ishara ya uchawi wa kulishwa au kutolewa, ishara ya jini mahaba, ishara ya mizimu au majini wabaya na ndoto nyengine ambazo kwa

KUHUSU VUMBI LA KONGO KASONGO MUNDENDE UHALISIA NA MATOKEO YAKE

Image
NIMEONA nilizungumzie hili swala baada ya kupata jumbe nyingi zikiulizia kuhusiana na hasa na dawa zinazopewa jina la vumbi la kongo chakupaka kasongo mundende na majinaengine. Wapo waliowahi kuzungumzia madhara ya madawa haya hasa baada ya matumizi ya muda mref. Mimi nitagusia kitaalam zaid si biashara, nakumbuka niliwah kuzungumzia kuhusiana na SHABU faida n madhara yake pamoja na vipipi hasa kwa wanawake peruz post zilizopita kama umepitwa na darasa hzo. Chambuzi hizi zinaletwa kwako na Mtabibu ASILI TZ. Utandawaz umeleta urahisi wa mambo mtu unaweza kutafuta kitu kwa mtandao na ukakipata. Ukiitumia vizur inaweza kukuleta faida kama unavyosoma darasa zangu ingelikuwa hakuna njia za mawasiliano na mitandao ingekupasa uje ofisin ili kupata ufafanuzi pia nisingeweza kumudu kufafanua kwa watu wote nyinyi endpo mngekuja mmoja mmoja. Watu wengi wamekumbwa na upepo wa vitu vinavyovuma. Vipo vitu vyenye faida na vipo vyenye madhara sio vyote ni vibaya. Tufahamu uhalisia wake fai

NYOTA ZENYE TABIA 'ASILI' YA UDONGO UHALISIA MAFANIKIO NA USHIRIKIANO WAKE

Image
HII ni makala ya nne na ni ya mwisho katika ile orodha ya Tabia au asili ya Nyota. Tulianza na Nyota zenyewe zipo kumi na mbili nikazichambua moja baada ya nyengine maana yake tabia zake matendo siku za bahat namba za bahat nani ushirikiane nae nyota gani ni mbaya kwako, bishara gani ufanye mapambano gani utumie. Kila rangi ina nguvu yake kinyota kuna rangi ni za mapenzi kuna rangi ni kwa ajili ya fedha kuna rangi kwa ajili ya nyumba au eneo lako la biahsara yote niliyazungumza katika kila Nyota niliyoitaja anayekuletea chambuzi hizi ni Mtabibu ASILI TZ. Wale mnaotaka uchambuzi kwenye coment mtanishamehe siwez kukuwekea ufafanuz uliopita  wote kwenye coment makala zipo zitafute hapa soma ninachoweza kukusaidia hujui nyota yako naweza kukusaidia kukitajia lakini uchambuzi soma post zilizopita maana ni maneno maref ila ukiona kazi kusomasoma post zilizopita tutafanyiana private utanilpa nitakupatia uchambuzi inbox. Tulishazungumza tabia za MOTO, UPEPO na MAJI leo tutamaliza n

JINSI 'NJIA' YA KUJUA KUNDI LAKO LA NYOTA KUOITIA HERUFI YA JINA LAKO KWA WSIOJUA TAREHE ZAO ZA KUZALIWA

Image
MFUMO WA KUJUA NYOTA YAKO KUPITIA YA KUZALIWA KUPITIA HERUF YA KWANZA YA JINA LAKO Hii kwa wale wasiojua tarehe zao za kuzaliwa, kwa sababu mfumo wa Nyota huletwa na tarehe yako ya uzawa yaani siku ulioyzaliwa, saa na siku. Katika mfumo wa Nyota kila siku kuna SAYARI, MALAIKA na MAJINI wanaotawala hizo siku. Siku utakayizaliwa itabebwa na hvyo vtu ndivyo vutakuwa vinakupa muongozo wa nini ufanye nini usifanye maisha yako yatakuawaje na hata watu wakushirikiana nao kibishara na kindoa. Sasa wale wasiojua tarhe angalia njia hapo chini ili kujua herufi ya jina lako ipo lwemye kundi gani na vipi tunayapata na kuyachambua hayo majina. Hata wewe unayefahamu tarhe kunaambo nitakuja kuyazungumza mbele kwahyo nakili hili darasa weka kwenye kumbukumbu zako kwa sababu nikija kutoa maelezo siku nyengine nitaanzia nilipoishia na si kutoa njia hizi tena. Tafuta kalamu na karatasi au 'note book' kitunza kumbukumbu uhakikishe unanakiri hizi heruf sababu itakufaa mwenyewe somo litakapopita. TUF

NYOTA ZENYE TABIA 'ASILI' YA MAJI UHALISIA MAFANIKIO NA USHIRIKIANO WAKE

Image
TUPO kwenye muendelezo wa darasa zinazohusu masuala ya Nyota na taratibu zake. Masomo ya awali nilishazungumzia kuhusiana na kuitambua Nyota yako kwa tarahe uliyozaliwa pia nikatoa ufafanuz kuhusiana na Majina kwa wale wasiojua tarhe zao. Nakumbuka nishaongelea ufafanuz wa kila nyota tabia zao siku zao za bahat watu wakushirikiana nao siku za kufunga ndoa. Tabia z mbili za Nyota tayar nishazizungumzia MOTO na UPEPO na leo nitaongelea tabia ya MAJI kama ulipitwa na makala zilizpota kwenye ukurasa wangu Mtabibu ASILI TZ Nyota zipo kumi na mbili katika mdumo wake na zimebebwa katika tabia au asili nne bazo ni MOTO, MAJI UDONGO NA UPEPO. Makundi haya ndiyo yanayoleta muongozo nani ushirikiane nae na nani usishirikiane nae. Kuna ushirikiano wa kibiahsra kuna mahusiano ya kimapenzi. Hivi ni vitu viwili tofaut unavyopaswa kuvifahamu kiundan. Mashirikiano ya kikawaida hayafungamani na mashirkiano ya kimahaba mapenzi hivyo ukitaka kuangalia kuhusiana na muunganiko wa mapenzi watakiw