Posts

NDOTO ZA KUCHEKA, KULIA MAANA NA ISHARA ZAKE

Image
TENDO la kucheka ndotoni huashiria furaha aipatayo muotaji. Wakati kulia ndotoni huashiria huzuni, kinacholeta picha halisi ya ndoto ni mazingira ya ndoto na hali ya muotaji wakati huo wa ndoto. Anayekuletea uchambuzi huu na ndoto siku ya leo Alhabib Mtabibu ASILI TZ. Mara nyingi ndoto huja kwa mazingira ya muotaji wakati huo. Mfano mwanamke anayetaka kuolewa aliyekuwa akisubiria ndoa kwa hamu ikafikia pahala keshatolewa kila kitu anasubiria ndoa tu huyu njozi zake zitakuwa za furaha wakat wote hata kucheka usingizini ni jambo la kawaida. Pia mfano mwengine mwanamme ambaye mipango yake haiend huyu kuota huzun kulia ni kawaida kwake, kuota unakimbizwa, upo shulen kwenye mambo ya kutia huzun, kuachwa na usafr ndoto za ajali ni hali ya kawaida kwake na kinachotakiwa ni kuwa makini na kile unachokiota kisha ukakifanyia kazi ikiwa kinahtaji ufumbuzi. Ukiota unacheka mwenyewe utapata furaha au taarifa itakayokupa furaha moyoni mwako. Ukiota watu wanacheka kuna taarifa ya utaletew

LEO TUFAHAMU NAMNA YA KUTUMIA NAMBA ZA BAHATI ZA UZAWA NA ZA NYOTA YAKO KATIKA MILANGO YA MAPENZI NA NDOA.

Image
KILA mwanadamu ana password yake ya maisha yake. Ili ufanikiwe uatakiwa uitumie vzur hiyo password yake. Leo tufahamu namba zako unavyoweza kuzitumia ili kukupa mtu sahihi na lini ufunge ndoa. Chukua peni n karatasi maana leo siku ya mahesabu. Nakusihi chukua peni na karatas unakili vtu muhimu kwako. Kwwnye maisha kuna namba za aina mbili za bahati na kila namba zina matumizi yake. Pia zina mahesabu yake jinsi ya kupata kulingana na hitaji labmuhusika. Namba za kwanza hii ni siri yako wakati wa kuzaliwa na inatakiwa uwe nayo mwenyewe si kila mtu unaweza muambia anaweza akaharibu baadho ya matukio yako. Namba ya pili hizi zipo kwenye nyota yako ambao huwa zinatumika pia n watu wa kindi lako. Utofaut wake ni kwamba namba yako wewe ya bahati kwa uzawa ni yakwako pekee. Wakati namba za nyota ni za kundi. Mfano nyoya Punda nikiweka nambaz zao za bahati basi watu wote wenye nyota ya Punda zitawahusu. Tuangalie jinsi unavyoweza ipata namba yako yakipekee ya bahati. Siri ipo kwenye tarhe yako

MTI WA MTOPETOPE PORI NA FAIDA ZAKE KATIKA ULIMWENGU WA DAWA ASILI

Image
HII miti ipo ya aina nyingi na kila mmoja unatumika katika matibabu. Leo tuuzungumzie mtopetope pori kama unavyouona pichan una majani mapana kiasi matunda yake yana rangi ya njano yanapoiva hauwi mkubwa sana. Matunda yake yanaliwa hasa watu waliokulia vijijini wanaufahamu huu mti unapenda kuota karbu na miembe na mikoroshi na Mifuu mikubwa. Nitauzungumza walau kwa uchache kwenye makala hii ya kwanza mungu akitupa uhai na afya tutazidi kuudadavua japo wengi mnapata faida z darasa lakini wagumu haya kuombeana uhai mref ili tuzidi kufunguliana akili kwwnye miti na madawa kwa magonjwa yanayotuzunguka. Mti huu hutumika kuponesha vidonda haraka hata baadhi ya mangariba hutumia katika kuponesha wanapowatahiri watoto magovi. Kama una donda pahala haliponi chukua gozi la mti huu litwange upate ule umajimaji wake weka juu ya hilo donda ikifika jion bandua wka jingine dumu hata wiki moja. Kwa vinundu au majipu machanga pia unaweza kuweka baada ya kulainisha au kutwanga majani yake ma

KUZIMA UADUI WA MANENO KWA MAADUI ZAKO

Image
LEO niliongea kuwa ni siku nzur ya kuanzisha vita na maadui zako. Ukiikosa siku ya leo basi siku nzuri ni siku ya Jumanne. Kitaalam ndio siku zinazokubalika haraka masuala ya kuanzisha vita au mambo ya kuzima vtu. Hapa nazungumzia kuuzima uadui wa maneno. Ikiwa pahala unapofanya kazi au sehemu unayoishi kukiwa kuna fitna za maneno dhidi yako. Ikiwa yuwasemwa kwa ubaya au kuna jambo linazushwa dhidi yako unataka ulizime ndio maana ya kuzima uadui wa maneno kwa lugha nyenpesi kuzima mdomo. Kwanza yatakiwa uanzishe ukaribu na huyo mtu anauekusema ili iwe rahsi kufanya jambo lako. Mahitaj yatakiwa upate kipande cha mua, ukikosa upate tikiti maji au ubuyu ila ni murarabu kama utapata mua ndio inaleta majibu haraka zaidi. Utachukua huo mua kisha utatayarisha moto kwnye chetezo uwe na utasomea aya saba za urat Munafiqun kisha utataja jina la mtu wako utapuliza huo mua utafanya hivyo mara saba. Yaan utasoma aya saba mara saba na kila unapomaliza utatja jina la muhuiska kisha utapul

MAGOME YA MTI WA MWAROBAINI TIBA KWA MAGONJWA NA JINSI UNAVYOTUMIKA

Image
JUZI na jana niliongelea faiada za majani ya Mwarobain na asali yake. Leo nitaongelea kuhusiana na magome na mti wenyewe katika matibabu asili kwa mwili wa binaadamu. Mti huu unatibu maradhi mengi sana kama nilivyoeleza kwenye makala mbili za awali nilizozitoa. Ikiwa ulipotwa tembelea ukurasa wangu Mtabibu ASILI TZ. Zamani wazee walikuwa wakiutumia huu mti kama mswaki na bado mpaka sasa kuna baadhi ua maeneo watu bado wanautumia kama mswaki. Moja ya faida zake unaweza kutoa hatufu mbaya mdomoni na kuua vijidudu vya ugonjwa wa meno. Ukiona dawa za meno kutoka nje zina neno limeandikwa herbal basi inatumika miarubain na mishibiri kutengeneza hizo dawa na huwa na rangi ya kijani. Ukichukua magome ya mti huu ukayaanika ukatwanga upate unga wake, kwa wale wenye meno yenye rangi unatumia na mswaki kupigia utaweka na mafuta ya habbatsouda kisha unapigia inasafisha meno na kuyafanya kuwa meupe. Piga mara nyingi ili upate matokeo sio jambo la siku moja. Kwa watu wanaoungua unaweza u

FAHAMU KUHUSU ASALI YA MWAROBAIN TIBA NA DAWA KWA MARADHI YA NGOZI

Image
JANA niliongelea kuhusiana na Mti wa Mwarobain nikaeleza faida zinazopatiakana katika majani yake. Pia nikaorodhesha magonjwa na jinsi ya kuitengeneza dawa ili iwe tiba. Katika ufafanuz wa awali niligusia kuhusiana na asali muarobain nikasema niyauzungumza kwenye makala zijazo. Hii ndio makala ya ufafanuzi wake kwa kina. Asali ninayoizungumzia hapa ni ule utomvu unaotoka aidha ukiukata mti wa muarobain au ukiukwangua hutoa utomvu fulan ambao ukiganda unakuwa na rangi ya asali na hiwa ina asili ya kuganda mkononi iwapo utaishika kwa kuimimnyaminya.  Nchi zilizoendelea zinatumia asali hiyo kutengeneza bidhaa za kutumika kwwnye ngozi. Kama sabuni losheni pamoja na mafuta ya kupaka. Uandaaji wake ni wakitaalam kulingana na hitaji au malengo ya kampuni husika. Leo nitakupa faida kadhaa ya asali hyo ambayo unaweza ukaitengeneza mwenyewe nyumban na ikawa tiba.   MATAYARISHO ILI IWE TIBA KWAKO Chukua huo utomvu ulioganda ambayo inaitwa asali. Chukua za kutosha weka kwenye sufuria k

TIBA KWA MARADHI AROBAIN YANAYOTIBIWA NA MTI WA MUORABAIN

Image
JUMA hili niliuliza kuhusiana na mti huu. Niliweka picha nikataka watu wautaje jina lake waelezee jinsi wanavyoufahamu. Muitikiko ulkuwa mkubwa wengi wwnaujua kww kuuoan ana wengine wanaujua kama tiba lakini hawana taarifa rasmi unatibu nini na unatumikaje ili uwe tiba bimaana matayarisho yake. Leo ntazungumzia kiundani maradho yanayotibika kwa mti huu. Nitaugawanya katika makundi manne, kuna majani yake, kuna mizizi, kuna magome yake na pia kuna tunda na asali yake. Mti huu ukiusogelewa ukaukata kwenye mti wenyewe baada ya siku kadhaa hutoa kama utomvu ambao huwa na rangi ya asali ile ndio inaitwa asali ya muarobaini ina tiba yake. Hapa nitazungumza kuhusiana na majani siku nyengine mungu akitujaalia uzima na afya tutazungumzia kuhusiana na vtu vingine.  Neno Mwarobain pekee huwakilisha neno mwisho au dawa. Twende pamoja katika ufafanuzi huu wa ili iwe faida kwako. Kama si kwako kwa familia ndugu na jamaa zako huwenda siku ikatokea mtu akabanwa basi ukamsaidia kiwepesi.

MTI WA MUASUMINI MNUKIA FAIDA NA MATUMIZI YAKE KATIKA ULIMWENGU WA TIBA NA MAPENZI.

Image
HUU ni mti mdogo kimuonekano lakini ni mkubwa kimatumizi. Upo sana maeneo ya Ukanda wa Pwani hasa Unguja, Tanga, Bagamoyo nk. Hutumika kamaanukato na mapambo kwa maharusi. Wazee wa zaman hasa kwetu Tanga huchuma majani yake na kuyamwaga kitandan wakti wakiwa wamekitandika vizuri. Bwana anapokuja kutoka kwenye mishughuliko yake hukuta chumba kinanukia na kitanda kinavutia jinsi kilovyorembwa 'Tanga Raha' ila si kwa mabinti wa majini wanaujua walau hata kwa kuuona huu mti. Unaitwa Muasumini au mnukia fahamu walau kwa uchache faida na matumizi yake. Maua yake ukichanganya na karafuu na marashi mazur ukamsinga mumeo huongeza mahaba pia humuachia harufu nzuri. Kudhibiti mtu kimapenz wakat unamsinga hakikisha zile taka zinazotoka unazikusanya sehem moja kisha utatafuta unga wa mzizi wa mchaachaa huu nishauzungumza siku za nyuma upo ofisin. Utakuwa na unga wa mmeremere na kitambaa cha kanga ambayo mtakuwa mmeitumia katika kusingana. Utakata kipande hyo kanga utaweka hzo ta

IJUE NYOTA YAKO YA UZAWA KUPITIA TAREHE YA KUZALIWA

Image
KUNA makundi 12 ya nyota kulingana na miezi inayounda mwaka. Nyota hizi hutokana na tarehe ya uzawa ya muhusika. Pia kuna nyota kuu zipo saba ambazo hizi hutumika sana kwa watabiri na wapiga ramli hizi ndizo zinazochomoza jua kulingana na cku husika. sasa ili upate unachotaka kwa wanaocheza michezo ya kubahatisha au kitu chochote lazma ujue nyota yako cku yako ya bahat saa yako ya bahat ndan ya ck hiyo na namba zako za bahati ukitumia kama ilivyo utapata utakacho. Pia kuna rangi za bahati vito vya bahati ambavyo mtu ukivaa kulingana na nyota yako unapata bahati maradufu.  Kwa ufupi mwanaume huvutwa na bahat kwa kutumia pete ya fedha sasa kito kitategemea kulingana na nyota yake. Kwa mwanamke wao huwa dhahabu  leo tuangalie jedwari la nyota za uzawa kwa kupitia tarhe na mwezi uliozaliwa 1.PUNDA-ARIES(MARCH 21-APR 20). 2.NGOMBE-TAURUS(APR 21-MAY 20). 3.MAPACHA-GEMINI(MAY 21-JUNE 20). 4.KAA-CANCER(JUNE 21-JULY 22). 5.SIMBA-LEO (JULY 23-AUG 22). 6.MASHUKE-VIRGO(AUG 22-SEPT 23).

KUHUSU NGUO YAKO YA NDANI 'CHUPI' UCHAWI TEGO NA MADHARA KWA WATOTO

Image
WAPO watu wameathiri watoto wao kwa namna moja ama nyengine pasipo wenyewe kujua. Nguvu urijali wa mwanamme huanza kutengenezwa akiwa mtoto. Urembo usichana uimara wa mwanamke huanza kuundwa pale tu anapozaliwa na kuanza na kukua. Kuna pahala mzazi ukikosea unamuathiri mtoto moja kwa moja soma kwa makini makala yaha usijesema hukuambiwa. Kuna wimbi la watu hasa wanawake wanahamasishana kwenye kuwatengeneza waume zao ili wawe na wao tu katika tendo la jimai. Zipo dawa ambazo unaweza kufanya zisikuletee shida lakini zipo dawa kwa kutokujua au labda tu kusoma pahala kwa wale watu wanaocopy na kupaste na wewe ukalifanyia kazi kumbe unamdhuru mumeo na mwanao. Simaanishi kila dawa zina madhara ila kuna dawa zinadhuru moja kwa moja na huathiri mtoto wako. Hii si kwa wanawake tu hata kwa wanaume ipo nimeshapta kesi hizi sana kuzitatua mara baada ya mambo kwenda kombo. Nguo yako ya ndani hutumika kwa mambo mengi yakichawi hasa watu wakikutaka kukufunga kwnye mambo ya uzazi na mapenz

FAHAMU KUHUS NGIRI, CHANGO NA MCHANGO KWA WATOTO NA TIBA ZAKE

Image
NGIRI, CHANGO NA MCHANGO KWA WATOTO UHALI gani mpenzi mfuatiliaji wa ukurasa wa Mtabibu ASILI TZ. Leo tutazungumzia kuhusiana na ngiri kwa wanaume chango kwa waanawake lakini kwa watoto huitwa mchango. Kiuhalisia ni magonjwa yanayoshabihiana hutofautisha umri na jinisa tu. Ikiwa hujakuwa makini kumtibia mtoto basi anapokuwa mkubwa huja kumsumbua. Pia kuna kipindi husumbuliwa akiwa mtoto lakini kadri anavyokua ugonjwa hupotea. Ngiri na chango hujitokeza baada ya balahe kwa msichana pale anapoanza kuona siku zake ndipo maradhi haya huanza kujiyokeza maana huwenda sambamba na mfumo wa uzazi. Kwa mwanaume pale anapoanza kuzalisha mbegu za kiume ndipo hujiyokeza maradhi haya. Wapo wanaorithi ikiwa ukoo wako unaaslili ya magonjwa haya basi kunabuwezekano mkubwa kuupata ni kama pumu vile. Ngiri kuna utofaut kuna ngiri ya kawaida ambayo hukubana wakat wa bard kali tumbo kuunguruma kende moja kushuka na kusinyaa hujikuta mtu amejikunja hawez kujikunjua mpaka imuachie. Na kuna Ngiri maji ile ya

FAHAMU KUHUSU MVUTO WA MWILI KUTIMIZIWA HAJA

Image
UHALI gani mpenzi mfuatiliaji wa darasa zangu kupitia ukurasa huu wa Mtabibu ASILI TZ. Leo tutazungumzia kuhusiana na kuupa mwili mvuto  katika mambo yako unayoyakusudia kuyafanya. Wapo wengi huulizia nataka mvuto sasa soma kwa umakini hii makala ikufumbue macho na pili utakuwa balozi kwa wengine wenye shida yako maana makungwi na wataalam ni wengi siku hizi kuliko hata wagonjwa wenyewe. Kwanza yatakiwa ufahamu kuna tofauti kati ya kutoa nuksi na kuupa mwili mvuto. Watu wengi wanachanganya kuhusu nuski na mvuto. Lakini si kila kinachopostiwa ni chauongo ila asilimia kubwa ni dawa za kuupa mwili nuru au mvuto na si kutoa nuksi. Niliwahi kuzungumza mara kadha kuwa nuksi zina uingiaji wake na utoaji wake baada ya mtaalam kuangalia ulivyoipata yaan aliyekutenda kaweka vitu gan, kuna husda jana nmetoka kuirudia makala yake na nikazungumza na utokaji wake. Mfano mtu aliyefungwa kwenye kabur la zaman lilioshauliwa akafungwa milango yote yakutoka ridhki uzazi alaf unakuta sehm kume