Posts

JE MIZIMU INAWEZA KUFUNGWA ISIKUTAKBUE WALA KUKUFUATILIA, KUNA JAMBO LITATOKEA IKIWA ITAFUNGWA

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUABDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZ WA MAMBO MUHIMU NINA makala nyingi sana mitandaoni zinazhusu masuaka ya kimizimu. Nimezitoa kwa lengo la kuwasimaidia watu kwqnza kujua mizimu ni nini na ilioatikana vipi. Kwanini ikufuatilie, ukiwa na dalili gani ujue ni mizimu inakufuata na maelezo mengi sana. Yamkini uliwahi kukutana na hizo makala ama ndo mara ya mwazo unasoma leo basi pitia ukurasa makala zaidi ya kumi nimeadnika kuichambua mizimu tu. Nimekuwa nikipokea maswali mengi juu ya watu kutaka kujitoa kwenye mizimu wananiukiza je inawezekana, na kama inawezekana hatua ni zipi. Vipi kama haiwezekani nifuate hatua ganu ili nisiwe nabanwa na mizimu. Makala haya yatalenga kutoa majibu ya swali hili hivyo jitahidi kusoma kwa umakini sana haya maelezo.   KWANINI MIZIMU IKUANDAME NA KUKUFUNGA Makala za mwanzo nilifafanua mizimu ni nini na ilipatikanaje mpaka ikawa ukoo wenu. Hapa leo n

MIZIMU INA NAFASI GANI KATIKA MAFANIKIO YA MTU, NA JE MIZIMU INAWEZA KUKUFUNGIA MAFANIKIO YAKO KATIKA MAISHA ?

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU MARA kadhaa nmekuwa nikitolea ufafanuzi kuhusiana na masuala ya mizimu kama ni mfuatiliaji wa ukurasa huu basi sasa utakuwa una uelewa mpana kuhusiana na haya mambo ya mizimu. Nimekuwa nikiylizwa maswali mengi sana kila ninapotoa makala kuhusu mizimu ina nafasi gani katika maisha ya mwanadamu na je mizimu yaweza mnufaisha mtu ama kumuharibia maisha. Na je historia ya hio mizimu imetokana na nini. Eapo wanaoniuliza mizimu ndio wale mababu waliokufa ndio tunaowaomba. Sasa nilishafafanua vitu vingi sana makala zilizopita hapa nitaeleza walau kwa ufupi ili ninapoingia kwenye kiini cha mada ujue nizungumzia nini.      MIZIMU YA UKOO WENU ILOSABABISWA NINI Hapa unaweza kuuliza chanzo cha mizimu ya ukoo ni nini. Nimeelza mara nyingi kiwa mizimu ni Muunganiko wa Majini wenye tabia na koo zinazofanana  waliojiumda kwenye kikundi kimoj

MIZIMU YENYE ASILI YA PWANI ELIMU, TIBA, MALI NA SHUGHULI ZAKE 'MAULIDI,ZIKRI'

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUABDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA IFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU KUHUSU MIZIMU HII ni makala ya tisa katika mfululizo wa makala zinazohusiana na mambo ya kimizimu. Nimezungumza sana huko nyuma mizimu ni nini ilipatikana vipi na kwanini ikukamate. Makala iliyopita ya nane nikieleza kuhusiana na Mizimu yenye asili ya Pwani nikaifafanua kwa kina. Ila makala haya yatazungumzia kuhusiana na Mizimu yenye asili ya Pwani. Kwa ufupi miizmu yenye asili ya Bara nilieleza kuwa moja ya daliliza ke ni vibanda vya kinyamkera, kibuyu shanga kaniki pombe. Kuota sana maeneo ya mapori na ikiwa unaadamwa na njozi zinazoelezea vtu nilivyotaja hapo juu. Makala haya yataeleza mizimu yEnye asili ya pwani mali elimu tiba na tamaduni zao.       TUJIKUMBUSHE MIZIMU NI NINI Napenda kukirejea hili sababu naukizwa sana na watu huongopeana kuwa mizimu ni mababu na mabibi. Hapana Mizimu ni kikundi cha majini chenye tabia na asili moja walioungana na kii

ISHARA NA DALILI ZA MTU ANAYEAUMBULIWA NA KUKWAMISHWA KUFUNGWA NA MIZIMU

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU NIMEKUWA nikijitoa mara kadhaa kuweka maelezo yanayoelwza shida zinazowakabili. Na kinachonisukuma kuandaa hizi makala ni kuwasaidia lakini pia baada ya kuona naulizwa maswali mengi basi nikiona jambo naulizwa mara kwa mara sina budi kulitolea ufafanuzi. Lakini pia nawasisitiza hakuna. Tiba jambo au mafanyo unayoweza kujifanyia mwenyewe, hivyo mnaposhauriwafikebi kwa wataalam huwa na maana kubwa kwamba mkaangaliwe shida zenu lakinibpia myibiwe kulingana na vyanzo vya matatizo yenu. Makala haya yatajikita katika kueleza mambo gani yakiwa yanakutokea basi hutafsiriwa una shida za kimizimu. Hapa tufaham kuna watu koo zao zina mizimu yaani mizimu ya ukoo lakini pia familia pia nayo inayo mzimu yaan baba au mama alitunukiwa ijaza ya tiba na majini wenyewe lakini tatu kuna watu mnaenda kwa waganga wenye mizimu wanawaombea kisha mam

NAMNA JINI ANAVYOINGIA MWILIN, KUTUMWA KUKUMBA NA ATHARI ZAKE

Image
HUU NI MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA ASILI NA TABIA ZA MAJINI. LEO NITAONGELEA NAMNA JINI ANAVYOINGIA MWILINI MWAKO NA KUKUATHIRI DALILI NA ISHARA ZAKE NA NAMNA YA KUSHUGHULIKA NAE ANAYEKULETEA DARASA HIZI NI MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAJA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU 9 KWANZA tufahamu hakuna jini anayeweza kuingia mwilini mwa mtu kwa lengo la kutesa mwili. Jini hupanda kwa kiti wake panapotokea ahitajika kutoa msaada wa kitiba au dharura ya haraka. Mwemye uwezo wa kukaa kwenye mwili wa mtu au mnyama au mti ni Jini aliyeasi ambaye ana sifa za shetanai ndio utasikia una jini mchafu mwilini au jini mbaya. Maudhui ya leo yatazungumzia kwa jinsi gani unaweza kuingiwa na Jini Mchafu mwilini dalili zake ni zipi njozi zake ni zipi na hatua gani za kukabiliana nae. Kuna njia nyingi za JiniChafu anaweza kuingia mwilini na kukuletea madhara, lakini pia kuna misukure ambayo nayo ina uwezo wa kutoonekana hivyo anaweza kukuletea vitimbi ukae

ASILI ZA MAJINI FAHAMU KUHUSU JINI MAKATA KAZI, KUUA NA UTAJIRI

Image
HUU NI MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA ASILINA TABIA ZA MAJINI KAZI ZAO WANAVYOPATIKANA WANAPOISHI NA UTOAJI MALI. UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWQ NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILO NA TIBA NILIWAHI kueleza kuwa majini wana tabia zao kuu wana makazo yao makuu na hata kusimamia vitu vinavyowwza kukupa manufaa kifedha na utajiri. Jini kama makata hafai kupewa kazi ya ulinzi wa duka au shamba atalinda kama una yitaka ila ukimuudhi analichoma fasta na hakitoki kitu hata kimoja. Wale wazee wa kamali kubeti nishawaelezea shetani anayesimamia habari hizo na nmeweka vipengele vyake namna ya kunufaika na anavyofanya kazi ulipitwa makala zipo rejea nyuma utaona.        ASILI NA TABIA ZA MAKATA MAKATA ni miongoni mwa majini wakorofi walioasi falme za ujinini. Ni miongoni mwa Mashetani wenye nguvu zaidi na huwa hawapindishi maamuiz yao. Jini huyu ana asili ya Moto ana sifa ya Ushetani na jukumu lake kubwa kuadhibu watu. Jini huyu hiwa hatumiki kwenye kazi zakuagua hutumika k

DALILI ZA KUWA UNA JINI MZURI ANAYEWEZA KUPANDA NA KUONGEA

Image
ISHARA NA DALILI  ZA MAJINI WANAPAONDA NA KUONGEA KWA AMBAO BADO HAWACHIMBULIWA WALA KUKABIDHIWA KITI, WAGONJWA WANAOSUMBULIWA NA MAJINI MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWQ ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MAELEZO MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU JUU YA MAJINI KABLA ya kuendelea na makala leo nimeelza kuwa nis iku nyeupe na nikabainisha mambo ambayo unaweza kuyafanya siku ya leo kusimamisha ufalme na kujua nn chakufanya ili umiliki mali au umalize tatizo linalokusumbua. Walionitafuta waliotaka kuangaliwa yaliyoelezwa nimeshamalizana nao. Makala hii itazungumza dalili za kuwa una jini na huyu jini ana uwezo wa kupanda na kuzungumza. Katika ulimwengu wa Majini kuna elimu pana sana kuna majini wao kazi yao ni kinga tu. Kuna majini kazi zao ni tiba, kuna majini kazi zao kutajirisha hapa walioasi hutoa pesa haraka zaidi. Hebu tuangalie dalili kuu kuwa wewe una majini na wanazungumza ikiwa watashughulikiwa. Au mgonjwa unayemtibia a

FAHAMU KUHUSU MTURA 'TURATURA' NDULELE MAAJABU NA TIBA YA MARADHI MBALIMBALI

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA YIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU HUU ni muendelezo wa makalq za miti nikizowahi kuzizungumzia zaidi ya miaka saba iliyopita. Hivyo tutakuwa tukirejea baadhi ya miti kwa kuiwekea maelezo zaidi na ufafanuzi wa kina. Mturatura ni miongoni mwa miti midogo yenye matumizi mengi katika ulimwangu wa tiba asili. Huu haupo lwenye madawa ya kisuna ni mti wenye majabu mengi sana katika toba aaili hivyo soma makala mpaka mwisho kama nilivyoeleza hapo juu.        MAJANI YA MTI WA MTURATURA mwenye kisukari chukuwa majani yake ponda ponda upate unga wake utatumia kwenye maji ya vuguvugu kutwa mara tatu Kwa siku 14 neenda kapime Leta mrejesho. Aliyekumbwa na kitu kibaya akawa hajielew atafute mti wa mturatura majani mnukauvundo majani mvumbasi majani kisha achemshe nyungu ajifushe na aoge. Kwa mtu anayesumbuliwa na tumbo la hedhi upate unga wa majani tumia kwenye maji moto n

KUHUSU MAMBO YA KAMALI 'BETTING' MILKI NA MAJINI YENYE NGUVU NA NAMNA YA KUSHINDA

Image
UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWQ ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU HUWA napokea jumbe na maswali mengi kuhusiana na mambo ya kamali wengi wanauliza kuna dawa ya kamali wakitaka kujaribu. Leo nmeona nitolee ufafanuzi hizi kama ninavyoyatolea mambo mengine ninayoulizwa lengo ni kuwafungua akili aidha upate uelewa lakini kubwa zaidi usitapeliwe kizembe, kama umelaiki page yangu mtabibu asilit tz halaf bado unaish kinuonge wewe ni mzembe. Kuna mambo mengi yanayonasibihana na mambo ya kamali na huwez kushinda mshindo mkubwa kama hujainhia kwenye ulimwengu wa wamiliki wa mambo ya Kamali. Kumbuka kamali zote duniani ni mchezo wa shetani na kuna mashetani saba wakuu ndio wanaosimamia michezo ya kamali wakiwa na wasaidizi ama wasimamizi mashetani 45. Kila shetan ana siku yake yenye nguvu kutoa mshindi hivyo sio kila siku atakuwa shetan mmoja lakini pili kila mwaka kuna namba ya siri ya ushindi ambay

ASILI YA MAJINI FAHAMU KUHUSU SUBIANI VITIMBI NA DALILI ZAKE NA NAMNA YA KUKABILIANA NAE

Image
UCHAMBUZI HUU UMEANDALIWANA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA AS]LI NA YIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU SUBIAANI ni aina ya majini korofi wenye asili ya kike, hupenda kujibadilisha kukingana na mazingira husika. Jini huyu ana tabia mbili za wema na ubaya hivyo wapo wanaotumika kwenye uchawi bimaana kuroga na kuwapa watu mateso na wapo wema ambao hukaa kichwani kwa mwanadamu. Asilimia kubwa majini hawa hutumika kwenye shighuli za kuangamiza watu kuwapa watu mateso na dhiki. Kwa mru asiye mtaalam anaweza mfananisha jini huyu na jini mahaba maana daliki zao zinashabiina inahitajika utaalam wa hali ya juu kujua tofauti zao. Jini huyu anamuongia mtu yeyote na kumtesa mpaka watoto wadogo.        ASILI NA TABIA ZA MAJINI HAWA kama nilivyoeleza hapo juu wapo wa aiana mbili lakini wenye nguvu zaidi ni hawa wabaya hivyo hata mgonjwa akipanda akisema ana subian anataka kutibia jua kuna jini mwingine ndani yakr huyu ana tabia kuiba tabia z

KINGA YA KUFICHA KIVULI FAIDA NA MATESO YAKE

Image
MAKALA HAYA YAMEANDALUWA NA KUANDIKWA NA MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MPAKA MWISHO KUNA MAELEZO NA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU NIMEULIZWA  na watu kadhaa kuhusiana na kuficha au kukinga kivuli faida yake ipoje na madhara yake yapoje na je nafichwaje. Hapa nitaeleza faida na hasara zake na namna ya kuficha kivuli. Makala haya yatakuwa na mambo ya kutisha kidogo endelea kufuatilia nondo kutoka kwa mtabibu asili tz ikiwa maelezo haya hayatakuwa na furaha kwako kuna watu wanafaida nayo kuna wataalam wanaongeza ujuzi na elimu hapa hivyo utakachokisoma kinaweza kisiwe ma faida kwako ila kwa wengine ni lulu. Kuna utofaut wa kukinga kivuli na kuficha kivuli. Ukificha kivuli maanae si wanga tu watasumbuka kukuroga hata uoatikanaji wa ridhki zako zitakuwa za shida ukificha maanae yuwahisabiwa ni mfu ni sawa na pikipiki au chombo cha moto kisiwe na injini. Hivyo si vyema kuficha kivuli utaishi kwa dhiki sana na mateso na manyanyaso hata wanga wakikuf

ASILI ZA MAJINI FAHAMU KUHUSU JINI MAIMUNA NGUVU MAPENZ UTAJIRI

Image
TUPO KWENYE MUENDELEZO WA CHAMBUZI ZA MAJINI. KUWAJUA ASILI ZAO NGUVU ZAO KAZI ZAO NA UTOAJI WA MALI ANAYEKULETEA CHAMBUZI HIZI NI MTABIBU ASILI TZ MTAALAM WA DAWA ZA ASILI NA TIBA JITAHIDI KUSOMA MAELEZO KWA UMAKINI MWANZO MPAKA MWISHO KUNA UFAFANUZI WA MAMBO MUHIMU.        ASILI NA SIFA ZA JINI MAIMUNA Leo tunamuangalia jini Maimuna ni miongoni mwa majini wa kisharufu wenye asili ya kike kwa lugha nyepesi huitwa Bi Maifu. Asili yake ni Arabu Milki yake ni bahari na nchi kavu Wasifu wake ni Uongozi. Anapendelea mapambo ya fedha na dhahabu hupenda pete ya fedha au dhahabu vito vyake hutegemea na aina ya jini na tawala yake. Wamegawanyika katika makundi mengi ila hapa nitayazungumzia makundi makubwa saba na kazi zao. Sio wote wanapenda mapambo, ni jini mwenye nguvu katika kazi zake hasa msuala ya mvuto wa mapenzi biashara kulete uchawi bimaana kuroga mtu. Huyu ni Khadimu wa siku ya Jumamosi hivyo ukifanikiwa kupata vitu vyake ukamtumia siku hiyo unaweza kupata ulichokikusudi