Posts

Showing posts from 2018

UGONJWA WA PID CHANZO DALILI , MADHARA NA SUKUHU YAKE

Image
UFAHAMU UGONJWA WA PID KWA WANAWAKE DALILI MADHARA NA SULUHU. BAADA yakupokea maswali mengi kutokana kwa kina mama kuhusiana na maradhi haya ya PID leo nimeamua kutolea ufafanuzi. Nimepokea simu nyingi na jumbe kupitia whatsap baada ya kuandika ile makala inayohusiana na madhara ya njia za uzazi wa kisasa. PID ni maambukizi katika viungo vya uzazi vya mwanamke kama vile, mfuko wa uzazi, mirija ya mayai, vifuko vya mayai, shingo ya kizazi.                 VISABABISHI VYAKE Ugonjwa huu kwa kawaida husababishwa na maambukizi kwa njia ya kujamiiana, na mara nyingi hata magonjwa yanayohusiana na kujamiana huusishwa kama kama vile Pangusa ,UTI, Fangasi, Kisonono, nk. Pia utoaji mimba usiosalama, kuharibika mimba, au kujifungua kwa njia zisizo salama na kuweka vitu ndan ya uke kama vizuizi vya mimba pia huchangia maradhi haya. DALILI ZAKE Dalili za ugonjwa huu huwa kama ifuatavyo: • Maumivu katika tumbo la chini na sehemu za nyonga. • Kutokwa na uchafu mwingi wenye h

FAHAMU FAIDA ZA MUEGEA

Image
FAHAMU KUHUSU FAIDA ZA MTI WA MUINGE AU MUEGEA KATIKA TIBA MTI huu una majina mengi wengine huita muegea, muinge  mlemela. Leo nitawapa faida kiafya wanaohtaj habar za kukuza nitawapa dawa. KWA AFYA KWA UJUMLA UUnatibu Tumbo Kujaa Gesi Kujisaidia Milendalenda Vidonda Vya Tumbo Kunawirisha Mwili Kwa Wale Wenye Afaya Mgogoro ukurutu na magonjwa mengine ya ngozi. Jinsi ya kutumia Kupata faida hizo kwa kutumia mizizi ya mti huo, chukua mizizi au magome yake na uyakaushe kivulini (sio juani), baada ya kukauka, saga magome hayo ili upate unga. Chota unga huo kiasi cha gramu 700 (karibu na robo tatu kilo), changanya na maji kiasi cha lita 6. Mwenye tatizo anatakiwa kunywa mchanganyiko huo kwa kiasi cha robo lita kila siku Hifadhi kwenye fliji ili isiharibike ukhtaj kutumia waipasha moto kidogo. kukausha vidonda chukua unga huo hunyunyuziwa katika nguo au kitambaa na kisha nguo au kitambaa hicho hufungwa katika kidonda au jereha na baada ya siku kadhaa jeraha hilo hukauka. KWA MARADH

KUFARAKANISHA AU KUTENGANISHA WATU

Image
KUFARAKANISHA AU KUGOMBANISHA MARA KADHAA nimepokea malalamiko watu wanachukuliwa waume zao wake zao au wanachukiwa na watu ofisin ambao wanajifanya wapo katibu na mabosi. sasa kufarakanisha au kuyengenisha fuata maelezo kwa makini ukishindwa ndo unitafute.  hii inahusiana na mafusho sambamba na kafara la faraqa mafusho yake ni haya 1. Sandal nyekundu, 2. Haltiti, 3. washqu (uwatu) 4. Miatsaila 5. maganda ya karanga. 6. magadi 7. ugoro 8.shubili Unachoma mafusho hayo muda zohari FUSHA KWA CKU TATU HUKU UKINUIA HITAJ LAKO UKIMALIZA FANYA HIVI Mahtaji Chungu kipya Kuku kinyavu Yule mwenye manyoya yalosimama Mahindi Makapeni nyeusi Jiko na mkaa Andika majina ya unaowataka wagombane ndani ya chungu kwa kuzipa nafasi hzo heruf yaan kwa kuzipishanisha utaandika na tarasimu yake Ukimaliza mchinje Yule kuku damu ikimiminikia kwenye chungu Bandika hicho chungu kwenye moto uwe mkali hakikisha damu ikauke Weka mahindi koroga huku ukiwa unanuwiya unachotka na uweke tageti ya ck yaan natak

BIMBILISA MAVI ANAVYOTUMIKA KUMUADHIBU MWIZI, KURUDISHA KILICHOIBIWA NA KUPEPERUSHA WATU

Image
DAWA YA MWIZI AU MTU ALIYEKUZULUMU HII ni kwa wale walioibiwa jinsi ya kurudisha ktu chako na kuadhibu mwizi haraka mahitaji UNGA WA MAJAN YA MBAAZ KITAMBAA CHEUPE BIMBILISA MAVI NA MZIGO WAKE MRINGARINGA MCHANGA WA ENEO LILILOIBIWA MAANDALIZI SAGA VTU VYOTE UPATE UNGA WAKE uweke juu ya kitambaa  kisha nuia unachotaka kwa mwizi wako Mfano kaiba kuku basi awikie tumboni kama simu iitie tumboni kama hela basi asikie chenchi tumbon n.k. kisha ukimaliza kunuia vifunge pamoja kavining'inize panapowashwa moto kila siku NDANI YA CK SABA UTAPATA MAJIBU KWA KILE ULICHOKIKUSUDIA Atakapokuja kumuopoa kwake fungua kisha mwaga kila kitu Ucfanye kwa kuonea watu na huyu bimbilisa mavi anaweza kutumika kusafirisha mtu asirudi tena Mdudu huyu pia waweza mchoma n mzigo wake unga wake hutumika kutibu vidonda sugu visivyopona unapaka. KUMUHAMISHA AU KUMPEPERUSHA ADUI KAMA una uadui na mtu labda amekutendea uovu, amekudhulumu amekuchukulia chako fuata taratb zfuatazo Chukua nyayo za

TIBA YA KUMALIZA VINYWELEO VINYOLEO 'MALAIKA' NA NDEVU KWA WANAWAKE

Image
JINSI YA KUTOA VINYWELEO KWA WANAWAKE   HABARI za muda huu mpenzi mfuatiliaji wa makala zetu kupitia webiste ya hii ama page ya mtabibu Asili tz kule facebook na instagram. Leo nawapa njia ya kumaliza vinyweleo usoni na miguuni. kwa wanawake kwanza mwanamke kuwa na vnyweleo husababisha na hommon inballance, Wakat mwingine husababishwa na utumiaji wa vipodozi vikali ambavyo vnapelekea mwanamke kuvurugika hommon zake na kupata muonekeno wa kiume.   Lakn pia si tatizo kubwa sana maana wapo watu wanapendeza zaid wakiwa vinyweleo. KUna baadh ya wanaume hujckia raha wakkutana na mwanamke mwenye vinyweleo ila inapozidi huwa kero sasa leo tufahamu njia za kumaliza  VINYWELEO VYA USONI MAHITAJI  MAANDALIZI  Vitu vinavyohitahika ni Uwatu na kunde kavu ( uwatu unapatikana maduka ya dawa za asili kunde ni masokoni) chemsha kunde na uwatu kipimo cha kiganja chako ikishachemka iache ipoe weka kwwnye bakuli ponda ponda ongeza vjko vtatu vya assli hakikisha kunde unazichambua maganda kabla ya kuche

FAHAMU NJIA ASILI ZA UZAZI WA MPANGO ZISIZO MADHARA

Image
UZAZI WA MPANGO KWA NJIA RAHISI ZA ASILI     BAADA YA KUFAHAMU MADHARA YATOKANAYO NA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO WA KISASA SASA TUANGALIE NJIA ASILI ZA KUJIKINGA NA KUPANGA UZAZI PASIPO MADHARA. NJIA HIZI NI SALAMA NA HAZINA MADHARA YOYOTE KWENYE MJI WW UZAZI WA MWANAMKE JITAHDI KUSOMA VIZURI NA KWA UMAKINI MAELEZO YALIYOWEKWA.       Awali ya yote kwanza tujue tofauti kati ya dawa za asili na za kisasa katika kupanga uzazi. Anayetumia njia za sasa asilimia kubwa hazioni ck zake hvyo humpelekea damu ya hedhi kubaki ndani na kuwa kama uchafu ambao baadae huweza kusababisha madhara makubwa.      Madhara anayoweza kuyapata mtu huyu in pamoja na kuziba mirija ya uzazi, kupata uvimbe kwenye mji wa uzazi pamoja na madhara mengine ambayo tumeyazungumza kwwnye makala yakwanza iliyopita. Kama umeikosa hujachelewa waweza itafuta.      Anayetumia njia za asili huweza kuziona siku zake hvyo uchafu hutoka kila mwezi hvyo mirija na mji wa uzazi hubaki salama kabisa. Japo zipo baadhi ya dawa z

MADHARA YA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZA KISASA NA MATATIZO YAKE

Image
KWA KAWAIDA KABISA KUNA MADHARA MENGI YANAYOTOKANA NA NJIA YA UZAZI WA MPANGO MWANAMKE ANAWEZA AKAPATA MADHARA MAKUBWA YANAYOWEZA KUJA KUMSABABISHIA MAMBO MAKUBWA KAMA KUTOSHIKA UJAUZITO KABISA AU KUZAA KWA OPARESHENI. NA PIA NYONGA HUWEZAKUGEUKA NA KUWA ZA KIUME. KITENDO CHA DAMU YA HEDHI KUBAKI NDANI YA TUMBO HUWEZA KUSABABISHA UCHAFU AMBAO UNAWEZA UKASABABISHA UVIMBE TUMBONI. zamani wazee wetu walikuwa wakitumia za asili ambazo ziliwapa matokeo mazur bila madhara yoyote yake. KUna njia nyingi za kisasa za uzazi wa mpango zenye madhara makubwa kwa mtumiaji. Zifuatazo ni baadhi na madhara yake. MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA   Kuna madhara mengi makubwq sana ila fahamu kwa uchahe kuwa kuna usumbufu hedhi, Kuumwa kichwa mara mara Kizungu zungu Kichefu chefu Kuongezeka uzito usiokuwa na faida. MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA Huathiri fuko la uzazi kwa ndan, Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga, Kuumwa kichwa mara mara. Kupata kichefu che

FAIDA ZA MTI NA MAJANI YA MKUNAZI KATIKA TIBA ASILI

FAHAMU KUHUSU MMEA WA MKUNAZI MTI huu hupatikana sana ukanda wa pwani hasa Zanzibar pwani yenyewe na Tanga. Karbu katka mfululizo wa makala zetu zinazohusiana na mimea km ulipitwa tembelea wall yangu au pitia www.tabibuasili.blogspot.com. Mti huu ni mujarabu kwa mapenzi kutoa sihiri, kujikinga na wachawi, nguvu za kiume, pressha sukari hakika ukiwa na mti huu basi una kliniki nyumbani. Hapa ntazungumzia faida za majani, unga na magome ukihitaji masomo zaidi ntatoa group la whatsap namna ya kutumia Mafuta yake sambamba na mambo meninge. Mti huu ukichukua mzizi wake ukachemsha ukanywa kwa manuiz yoyote utajayemwendea shda yako atakusikiliza. Na Wale wagumu kutoa pesa unga wake unahusika Kutoa sihiri mwilini Wake wanaoota wanakmbizwa wanakabwa wanakula Chukua unga wa mkunazi Tia kwenye chai tumia kwa ck 3 Kla ck weka mpya KIFUA SUGU Chukua majani ya mkunaz chemsha pamoja na ndimu kisha unywe kwa siku 14 utapona, kila ck tengeneza mpya Hii haihusian na tb wala pumu KUDHIBITI WAC

KUSAFISHA NYOTA, MVUTO WA BISHARA KWA KUTUMIA MUOSHA FEDHA

Image
FAHAMU KUHUSU MMEA WA MUOSHA FEDHA Muosha fedha unaingia kwenye orodha ya mimea saba ambayo inafanya kazi kubwa katika hitaji binaadam. Mti huu huweza kungarisha nyota, kuvuta watu biashara pamoja na mambo mengine.mwingine Miongoni mwa miti saba ambayo inafanana kikazi na muosha fedha ni pamoja na mwita, mfunguo, muharaka miti mitatu naihifadh. Miti Hii km utaiweka pamoja inaweza kukupa matokeo haraka kwwnye kazi iliyokusudiwa. Itategemea na kusudio lako nia na mafanyo uliyopatiwa na mtaalam wako.            NAMNA INAVYOTUMIKA KWA TIBA Hapa kwqnza lazima ufahamu kila jambo linatibiwa kulingana na chanzo chake. Ikiwa ni mikwamo ya biahsra, mambo yako binafsi hayaend, masuala ya kazi, masuala ya kimapenz iwe kesi ni shart kwanza uangaliwe shida ni nn ifanyiwe kazi kisha ndipo mambo mengine yanafuata maelezo nitakayoyaweka hapa chini yatakusaidia kwa muda ikiwa hujashughulikiwa tatzo. Ila kama utashughulikiwa tatzo lako kisha ukafuata maelezo haya itakuwa umejinasua pale u

FAHAMU FAIDA ZA MMEA WA NANAA

Image
FAIDA ZA MIMEA SEHEM 3 FAHAMU KUHUSU MMEA WA NANAA Hii ni muendelezo wa makala zinazohusiana na faida za mimea asili inayotuzunguka. Makala zilzopita tulizungumzia kuhusu mtura au mnyanya pori wengine huita ndulele na makala ya pl ilihusiana na mmea uitwao mvumbasi kama ulipitwa tembelea wall yangu au waweza jiunga group la whatsap kwa kufuata 0717053804. Nanaa ni miongoni mwa miti midogo ambayo ina faida kubwa katika mwili wa mwanaadamu. kwa maradhi na pia kupendenezesha mwili pia kinga ni bora kulko tiba. Nanaa ipo katika mfumo wa aina tatu tofauti km ifuatavyo nanaaa ya majani [ kavu na mbichi] Mafuta ya nanaa unga wa nanaa mafuta yapo ya njia ya mgando na kimininika. Faida ya mti huo ni kma ifuatavyo hapo chini. Majani ya mnanaa ambayo hutumiwa kama kiungo. Nanaa husaidia katika kuzuia hali ya mwako wa moto tumboni, kupunguza kichefuchefu, kuzuia kutapika na kuharisha. Pia huweza kupunguza maumivu ya tumbo na mkakamao wa misuli. Vilevile nanaa husaidia katika uyeyushwaji wa

FAHAMU KUHUSU FAIDA NA MADHARA YA SHABU

Image
FAIDA NA MADHARA YA MATUMIZI YA SHABU ASILIMIA KUBWA ya wanawake wanaofanya biashara ya miili Yao hutumia shabu ili kurejesha ule utamu, kubana au mnato wa uke pasipokujua madhara yake. Sasa ukitumia shabu ni kweli uke wako utabana na utakuwa mnato kwa muda lakini Baadae utakubwa na madhara makubwa mnomno. Wengi wanapenda kurudisha usichana bikra kwa vtu visivyokuwa salama na Baadae hupata madhara makubwa mno kama tutakavuoona kupitia makala Hii. Madhara yake ni makubwa kuliko faida ambayo utaipata kwa muda mfupi *Madhara yake n km ifuatavyo *Uke kulegea na kujaa maji *Kukosa ladha yaan utamu hupotea kutokana na utepe *Kwenye mashavu ya uke huweza kutoa vibuja * harufu mbaya ukeni * wakati mwingine huweza kusababisha fangasi na kushambulia mji wa uzazi Maana yake unaweza ukawa na uzazi wa shida mbele ya safari. Ushauri kwa wadada msiozaa uckubali kutumia njia za uzazi hzo za kisasa c salama pia usipende kutumia viunga uke. Pia c kla ukisikia ktu Hk dawa wakitumia fanya uchingizi

KUMTULIZA MUME ATULIE KWENYE NDOA

JINSI YA KUMTULIZA MUME SEHEMU YA PILI   KATI ya naswali mengi ninayopokea kila uchao asilimia kubwa yanahusiana na mapenzi, sehemu kubwa ikiwa ni wachepukaji watu wasiohudumia familia zao.   Kama ulipitwa na makala ya kwanza tembelea wall yangu utaiona kiurahc na nina imani utafurahia baada ya kuisoma. Ili mume atulie unatakiwa na ww mke uwe mtulivu kwenye ndoa yako una adabu na heshima kwa mwenzi wako mnyenyekevu na mkarimu. pia penda ndugu wa mume kwani ukipenda boga penda na ua lake lakn kabla ya ua kuna mboga wenyewe werevu naona mtakuwa mmeshanielewa. SASA KWA WASIOTULIA UNAWEZA UKANITAFUTA KWA NAMBA 0621442936 njia rahisi kuliko zote ni hii hapa katafute ktu kinaitwa poza hii poza ina matumizi mengi unawwza ukaiweka kwenye maji yake yakuoga unaweza ukachanganya na vtu vngne akala pia kwa kutumia hii poza njia rahisi ni hii hapa chukua kjinga cha moto kinachowaka chukua kopo la maji weka hyo poza koroga chukua hayo maji zima hicho kijinga cha moto kwa manuiz unayo

UGONJWA WA CHANGO KWA WANAUME NA WANAWAKE

Image
Asilimia kubwa watu hufahamu kuwa chango la uzazi ni ugonjwa unaowapata wanawake tu. Sivyo hivyo ugonjwa huu huwapata mpaka wanaume. Tunapozungumzia ugonjwa wa chango tuna maana kuwa ni matatizo yaliyopo katika viungo vya uzazi kwa mke au mume. Huu ni ugonjwa ambao humpata mtu katika umri mdogo utotoni. Wanaume hupata wakiwa na umri mdogo zaidi ni moja Kati ya aina za ngiri kwa wanaume. Kwa upande wa wanawake wao hupata pindi wanapovunja ungo. Ugonjwa huu husumbua zaidi kuanzia umri wa miaka 16 na kuendelea. Ukiwahi kuitibu haraka hupona na kukuepusha na madhara utakayoyapata usoni. Baadhi ya madhara makubwa ya ugonjwa huu ni utasa kwa wanawake na kwa wanaume huua nguvu za kiume. Tuangalie baadhi ya dalili na nadhara ya ugonjwa huu kwa pande zote mbili. Kwa mwanaume atakuwa akishiriki tendo la ndoa, anawahi sana kufika kileleni na kurudia mara nyingine ni vigumu sana. Pia mwanaume hatakuwa na uwezo wa kusimamisha dhakar vizuri. Ni vigumu kumpa mimba mwanamke japo co wote. Unawez

CHAI YA MPERA KATIKA KUPUNGUZA MWILI

Image
UNA UZITO ULIOPITILIZA ANZA KUTUMIA CHAI HII YA KIJANI YA MPERA makala zilizopita za kupunguza unene tulizungumzia kuhusiana na chai ya kijani katika kupunguza mwili. Baadhi ya chai hizo ni pamoja na chai ya mpera. Katika nchi ya China Mara nyingi watu walioendelea na wanaojali afya zao hutumia chai ya kijani Jinsi gani unaweza kuandaa chai Hii ya mpera andaa majani machanga yasiwe mengi sana weka kwenye maji lita moja kisha chemsha kwa dakika 15 mpaka 20 Ukimaliza ipua iache ipoe kidogo ichuje upate chai Yale majani gator Matumizi Asubuhi kunywa vkombe vya kahawa vtatu mchana vwili jioni kimoja Dumu kwa majuma kadhaa ukifanya hv utapata matokeo mazuri Chai nyengine za kijani Mchachai Ndimu Mstafeli Nk Waliopo kwenye group la tiba asili wanajua hlo Una swali maoni 0621442936 Kwa dawa za kupunguza mwili fanya mawasiliano

MAFUTA YA MRONGE KWA AFYA NA UREMBO WA BINAADAM

Image
FAHAMU FAIDA ZINAZOPATIKANA KWA KUTUMIA MAFUTA YA MRONGE KIAFYA NA UREMBO MARA kadhaa nimekuwa nikiandika makala zinazohusiana na faida za mti wa mronge. Nimeshawahi kuandika juu ya faida za unga, mbegu pamoja na mizizi ya mlonge katika mwIili wa mwanaadamu. Kama ilikupita tembelea wall yangu au ingia group la afya ya uzazi kwa njia za asili hapa facebook utayaona masomo yaliyopita. Kama ni mfuatiliaji wa makala zangu utaona umuhimu wa kufuatilia kila post inayotoka maana inakubadilisha kifikra. MAFUTA YA MRONGE NI NINI Mafuta mronge ni mafuta yaliyotokana na mti wa mronge ambayo yameandaliwa kitaalamu kwa ajili ya matumizi ya kibinaadamu. Mafuya haya unaweza ukayatumia kwa kupikia kama unavyotumia maguta ya korie samli alizeti au mafuta mengine yeyote. Tofuati yake ipo kwenye gharama mafuta haya yana gharama kubwa ukilinganisha na mafuta mengine, ukiweza kumiliki lita moja kwa ajili ya kupikia ujifunge mkanda kweli. FAIDA ZA MAFUTA YA MLONGE kama nilivyozungumza kwenye kichwa ch

Tiba ya mafua na kifua sugu

Image
FAHAMU DAWA ZA UGONJWA WA MAFUA NA KIFUA MSIMU huu wa kipindi cha mvua kinaambatana na mafua na kifua kwa pamoja. FAHAMU DAWA RAHISI ZA KUPAMBANA NA KIFUA NA MAFUA LIMAO Chukua vjko vwl vya limao na kimoja cha asali pasha moto anywe mgonjwa afanye hvyo mara mbl kwa ck au unaweza ukaiyengeneza nyingi ukachanganya na tangawizi ukawa unaiweka juani ni nzuri na inasaidia TANGAWIZI saga tangawizi yako yakutosha kisha weka maji kiasi pima glass tatu kisha iweke jikoni ichemke mpaka ibak glass mbl kunywa mara tatu kwa siku kumbuka kuchuja MANJANO weka vjko vtatu kwenye kikombe cha maji vuguvugu kisha weka pilipili matama kjko kmoja weka na asali kijiko kimoja chemsha kwa dakika mbili tumia kwa kunywa mara tatu kwa ck

NJIA TATU RAHISI ZA KUMALIZA UVIMBE KWENYE KIZAZI

Image
Uhali gani mpenzi wa makala zetu kupitia mitandao ya kijamii. Tumefanya vzur kwenye makala ya kupunguza unene wa mwili na sehemu zake, kuongeza nguvu za kiume na mambo mengine kama umepitwa unaweza kutembelea kwenye wall yetu utajifunza mengi. Kwa wale wafuatiliaji wa makala za njia ya uzazi wa mpango za asili utazipata kwa utuo kwenye group la afya ya uzazi kwa njia za asili na ufafanuzi kuhusu matumizi ya nyonyo waweza nitafuta mwwnyeqe nikuelekeze jns ya kutumia achana na makachero wa mitandaoni. Uvimbe kwenye kizazi kitaalamu hujulikana kama 'uterine fibroid au uterine myoma'. Ni uvimbe ambao hutokea kwenye misuli laini ya mji wa uzazi. Ugonjwa huu huwapata zaidi wanawake wenye umri zaidi ya miaka 30 hadi 50. Hii inatokana na sababu zinazosababisha ugonjwa huu ambao hukaa kwenye mfuko wa uzazi wa mwanamke. Kuna vimbe nyingi tumboni lakini Leo tunazungumzia uvimbe katika mfuko wa uzazi wa mwanamke. ZIFUATAZO NI SABABU ZA UVIMBE  Kutumia njia za uzazi wa mpa

TATIZO LA KUKOSA WATOTO KWA WANAWAKE NA WANAUME NA SULUHU YAKE

Image
Mara nyingi kwenye ndoa kukitokea tatizo la kutopata mtoto lawama anapewa mwanamke kuwa ndo chanzo cha tatizo hilo. imejengeka hivyo toka enzi na enzi ila hakuna ukweli wowote tatioz linaweza kuwa kwa yeyote kati ya hawa. MIMBA INATUNGWAJE ILI mimba itungwe inatakiwa yai la mama limepevuka na liwe tayari kurutubishwa na manii yaliyokomaa kutoka kwa baba. Watu hawa wanapokutana mwanaume anapomwaga manii yake hupita kwa kasi kwenye mirija ya uzazi kuelekea yalipo mayai ili kuanza urutubishaji TUKIO HILI LIKIENDA KAMA ILIVYOPANGWA MIMBA HUWEZA KUTUNGWA ILA PAKIWA NA TATIZO SEHEMU YOYOTE MIMBA HAWEZI KUTUNGWA. SABABU ZINAZOPELEKEA KUTOSHIKA UJAUZITO KWA MWANAMKE 1. kuziba kwa mirija ya uzazi 2. mayai kutopevuka kwa wakati 3. matatizo ya chango 4. majini na ibilisi 5. uzalishaji wa mayai kuwa mdogo pamoja na mambo mengine SBABU ZA MWANAUME KUKOSA UWEZO WA KURUTUBISHA YAI LA MAMA 1. kukosa nguvu za kiume 2. manii dhaifu I3. kuumwa kwa muda mrefu 4. majini na maibilis 5. upigaj

MATATIZO YA HEDHI NA SULUHU YAKE

Image
MATATIZO YA HEDHI: Matatizo ya Hedhi yanawagusa moja kwa moja hata hivyo nayo yana tiba yake inayolingana na aina ya tatizo husika. TIBA YA HEDHI ILIYOFUNGA (AMENERRHOEA): Kanuni ya kwanza: Tafuna ufuta kiasi cha kijiko kimoja kila siku mara tatu. Fanya hivyo hadi upate hedhi. Ni bora zaidi kula ufuta kabla ya zile siku ambazo hedhi hutoka na uendelee wakati inapotoka hedhi. Dawa hii ni hatari kwa mwanamke mja mzito, hivyo atahadhari nayo,na tangu hapoyeye haimuhusu. TIBA YA HEDHI ISIYOTOKA VIZURI: Chukua Jirjir (rocket) kijiko kimoja ukoroge ndani ya kikombe cha maji ya moto. Yakishapoa uchuje. Kunywa kikombe kimoja cha kahawa kutwa mara tatu. TIBA YA HEDHI INAYOTOKA KWA WINGI ZAIDI YA ADA: TIBA Kanuni ya kwanza Chukua kijiko kimoja cha maua ya Babunaji (Chamomile) ukoroge ndani ya kikombe kimoja cha maji ya moto. Yakishapoa, unywe kikombe kimoja kutwa mara tatu kabla ya kula. TIBA YA MAUMIVU YA HEDHI YANAYOTOKA KIDOGOKIDOGO (DYSMENORRHOEA) : Tiba: Chukua Nanaa na utayarishe

FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA SUKARI NA TIBA YAKE

Image
FAHAMU KUHUSU UGONJWA WA SUKARI NA TIBA YAKE BY MTABIBU ASILI UHALI gani mpenzi wa msomaji wa makala zangu ambazo zinalengo la kuimarisha afya ya binaadamu pamoja na urembo. Nimezungumza sana juu ya kupunguza Unene kwenye makala zilizopita lakini pia nlizungumzia kuhusiana na masuala ya afya uke ikiwa kuwa na maji, mkavu, hauna joto sambamba na vtu vingine. Kama ulipitwa na masomo yaliyopita unaweza kutembelea ukurasa wangu au kuingia kwenye group la Afya ya Uzazi kwa njia asili. Baada ya utangulizi huo mfupi sasa tuingie kwenye somo letu la leo linalohusiana na suala zima la ugonjwa wa sukari na tiba yake. Sukari imekuwa ikiwatesa watu wengi hasa wenye umri zaidi ya miaka aeobaini japo kwa sasa imekuwa tofauti hats watoto wadogo wamekuwa wakisumbuliwa na ugonjwa huu. Kwa kawaida binaadamu anatakiwa kuwa na sukari normal ikizidi inakuwa sukari ya kupanda ikipungua inakuwa sukari ya kushuka. Leo nakupa njia za kutibu sukari kwa ujumla iwe ya kupanda au kushuka. Kwa kufuata tarat