Posts

Showing posts from April, 2020

SAYANSI YA MIMEA FAHAMU MAAJABU YA MCHEKEA MCHEKA CHEKA FAIDA NA MATUMIZI YAKE

Image
NAAM karibu tena kwenye mfululizo wa darasa zangu zinazohusiana na tiba za asili na sayansi ya mimea. Unaweza kwenda pamoja na mimi kupitia ukurasa wangu wa mtabibu asili tz fb sambamba na youtube pia n mtabibu asili tz na group la whatsap link ipo mwisho wa makala haya. Mti huu unajulikana kwa majina mengi sana wengine huuita nchema, mseka, msekela nk. Una asili ya kuota sana ukanda wa Pwani maeneo yenye mapori na hata maeneo ya makaburi. Una vitunda ambavgo vikiwa vichanga hufumba vikikomaa na kuiva hufumbuka na tunda zake zina rangi ya uekundu na unjano palae unapofunguka ndo wazee husema unacheka ndo maana halisi ya mchekea. Tufahamu faida zake MAJANI YAKE  yanatumika katika matibabu mengi sana kwwnye tiba asili. Ukichukua majani machanga ya mti huu ukatafuna inatibu maradhi ya vichomwi vya mwili visivyoisha iwe tumboni miguuni mgongoni na sehemu yoyote ya mwili. Pia ukichukua majani yake ukatwanga yale maji yake ukaoshe kidonda kisichopona utaona maajabu yake ukimaliza kuosha weka

FAHAMU KUJIFUSHA KUHUSU CORONA

Image
NIMEPOKEA maswali mengi sana nikiulizwa kwanini hutuelezi tunajifushaje kuhusu corona wakati Mheshimiwa Rais ameruhusu tujifushe kama kinga dhidi ya janga hili. Nimeona nisijibu mmoja mmoja niweke somo kila mmoja ajifunze ila tahadhari ukiona haikufai usisumbue wenzio wanaohitaji. Kama n mfuatiliaji mzur wa darasa zangu huwez kusumbuliwa na janga hili maana nishafundisha sana jinsi ya kukinga mapafu na kumaliza ttzo la mafua na kifua ila wengi wenu mnashupalia habari za mapenzi na mivuto vtu vya afya hamvizingatiii Ni vpi unaweza kujifusha Hapa tunazungumzia kuhusiana na nyungu kwa watu wa vijijini ukiupata mti unaoitwa mtambaa na nyoka ni majani fulan yanatambaa juu ya mti mwingine hoatikana sana eneo la makaburini huu ni mujarabu utachanganya na majani ya mkaratusi na majani ya mvinje na tunda zake Kwa watu wa mjini tafuta vtu hv  Tangawizi,  limao , mchaichai na manjano majani ya muarobaini na majani ya mvumbasi chemsha sanaaa usifunue kabisa kisha jifunike shuka mvuke m

NDOTO ZA MAPENZ NA TAFSIRI ZAKE

Image
SEHEMU YA PILI SEHEMU ya kwanza nilizungumzia kuhusiana na tafsri za ndoto ya mapenzi nikagusia jini mahaba pamoja na tafsiri nyengine kama ilikupita isome kupitia page yangu mtabibuasilitz. Leo ntazungumzia kuhusiana na ndoto za kuingiliana kimapenzi watu wa jinsia moja yaani umelala umeota unafanya mapenzi na mwanaume mwenzio au mwanamke mwenzio ndicho ninachomaanisha. Ndoto hizi zipo katika maana mbili zipo za kichawi na kiroho. Kwa maana kuna mazingira ukiota huwa ni ishara ya wachawi wamekutembelea siku hiyo na mazingira mengine huwa ni yakiimani zaidi sasa hizi ndio tafsiri zinazoleta maana na ubashirio. Mwanaume ukiota unaingiliwa kinyume na maumbile aidha na mkia wa mnyama au uume wa mnyama au mnyama mwenyewe ndo anakuingia au binaadamu mwenzio ukahisi maumivu makali sehemu hyo na hata ukija kushtuka maumivu bado yapo na wakat mwingine hudumua mpka asubuhi na kuendelea haoa rafki yangu umeingiliwa kweli na wachawi na wamekuja kwa lengo la kukukomoa. Na usipokuwa makini watazidi

KWANN UNASAFISHWA AU KUSHUGHULIKIWA KISHA TATIZO LINAJIREJEA.

Image
WATAALAM wengi hukupa dawa kutokana na maelezo yako hasa wataalama wa mjini hawasumbui vichwa kujua tatizo. Nuksi inajulikana kwa maelezo tu mtu akijieleza wajua hii ni nuksi sasa kinachotakiwa ni kujua chanzo cha nuksi na utibie chanzo. Nini nuksi? Nuksi waweza kuita mkosi. Nuksi AMA mkosi ni aina ya tatizo ambalo aliye na tatizo hili huwa ni mtu mwenye hali ngumu sana kwa sababu kila analo Fanya huwa hafanikiwi Mtu mwenye nuksi huwa ni mtu mwenye hali zifuatazo  1 kila analo fanya huharibika  2 kuchukiwa na watu bila sababu  3 kutengwa na watu  4 watu kukupuuza na kuto kukujali  5 ugumu wa maisha kwa kukosa msaada 6kupewa ahadi zisizotimia. 7kukosa fedha au ukipata haikai. VISABABISHI VYA NUKSI  1 kuna nuksi unaipata kwa njia ya uzinzi  hii kama utaingiliana na mtu aliyefungwa au mwenye nuksi basi na wewe kuna uwezo mkubwa wa kupata nuksi. Mfano mke akaenda kwa mchepuko mwenye nuksi kisha akarud kwa mumewe kuna uwezekano mkubwa kutoa nuksi kwa mchepuko na kumpa mumewe. 2 kuna nuksi u

TAFSIRI YA NDOTO AMBAZO HUOTA UPO MAZINGIRA YA SHULE NA TAFSIRI ZAKE

Image
LEO KWENYE DARASA LA NDOTO NAWALETEA NDOTO ZA SHULE NDOTO hizi huotwa mara nyingi sana hasa kipindi ambacho hali ya maisha huwa ngumu kidogo kwa muotaji. Ndoto hutafsiri maisha au hali uliyonayo wakat huo au mambo yatajayokutokea baadae. Mara nyingi wanaoota ndoto za dizain hii ni watu wenye malengo makubwa ya kimaisha lakini wanakumbwa na changamoto nyingi za kuwakwamisha kufikia hayo malengo yao.  Kuota ndoto za shuleni mara kwa mara kwaweza kumaanisha kwamba bado hujatenganishwa na wakati uliopita bimaana wakati wako wa nuru bado haujafika au kuna watu wanacheza na nyota yako kwenye manufaa yao, na umekwamishwa kiroho kuvuka kuelekea kwenye maendeleo.         IPI TASFIRI YA NDOTO ZA SHULE hapa inategemea na mazingira uliyoyaota ukiwa shule. nitatoa mifano na tafsiri chache.  umeota upo shule kwenye chumba cha mtihani wenzio wanamaliza ww bado. Upo kwenye chumba mtihani unaona mtihani mgumu upo eneo la kula chakula wenzio wamepata ww umekosa au umepata lakn ni kidogo upo na wenzio wa

SAYANSI YA MIMEA FAHAMU KUHUSU MMEA WA MPAPAI NA MBEGU ZAKE KATIKA TIBA ASILI

Image
FAHAMU  kuhusu mmea wa mpapai katika shughuli za tiba za asili. Mmea huu hutumika kwa kuleta matunda ndo faida tunayoijua wengi maana hata kimvuli hauna. Mti huu una aina mbili kuna jike na dume fuatana nami katika kufahamu zaid. Kila utakachokisoma kinahusiana na mipapai ile ya asili sio mipapai ya kisasa wiki moja ishazaa nazungumzia mipapai asili ile ya kienyeji. Majani ya mpapai jike kiafya yanaweza kutibu maradhi ikiwemo homa kali, maradhi ya sukar shikiizo la dmu ukichukua majani mabichi ukakata na kusga na kitengeneza juisi inatibu maradhi niliyotaja hapo juu. Majani makavu ukayatumia kama mafusho yanashusha pumu ile ya kubana wakat umebanwa fanya hivyo pumu itaahuka. Majan yake pia yanatumika kutengenezea dawa kwa wale wanaume wagumu wasiotoa pesa nishazungumza hili soma makala zilizopita au jiunge na group la whatsap. Mizizi ya mpapai Ukichemsha mizizi ya mpapai yanatuliza maumivu ya ngiri kwa wanaume pia yanapunguza mchango wa watoto wadogo vipimo mtu mzima kikomb

FAHAMU KUHUSU MVUMANYUKI, MVUNJA HUKUMU MTISA DISEMBA FAIDA NA MATUMIZI YAKE

Image
UNAFAHAMIKA kwa majina mengi moja kati ya majina makuu ni mvuma nyuki, mvunja miamba mtu wa tisa disemba nk. Mti huu kila inapofikia mwez disemba bimaana mwez wa 12 hutoa mdudu ambaye kwenye mabawa yake anakuwa na namba 9kila bawa. Sababu hyo pia mti huu huitwa 9 disemba. Unamaajabu mengi makubwa lakini leo ntazungumza kwa uchache faida na matumizi katika dawa asili. Mti huu kila unachokiona kina faida. Kuwa makini katika usomaji vtu ninavyosema n vyakitaalamu sina maelezo navyo ni ufanyaji tu wa kazi kwenye matatizo hayo. Kuutia mwili nuru Ukichukua maua ya mti huu ukachanganya na machicha ya nazi iliyodondoka yenyewe sio kuanguliwa. Yaan namaanisha nazi ya mdondo unaikuna ile nazi yake unachanganya na maua ya mti huu na donge la karafuu unalisaga ule unga wake utachanganya pamoja Utachukua kitambaa cheusi na cheupe. Na mkeka au busat. Anza kutandika mkeba au busat chini kisha tandija kitambaa cheupe chini kiwe kikubwa cheus kiwe kidodo  Kaa chini ukiwa huna nguo tumia huo

NGEKEWA MWENYE NGEKEWA ZAKE NA DAWA ZA NDERE

Image
NGEKEWA MWENYE NGEKEWA ZAKE NA NDERE BAADA YA KUZUMZA KUHUSU PETE ZA BAHAT NA MAJINI LEO TUFAHAMU KUHUSU NGEKEWA KAMA uliwahi kusikia kuhusiana na ngekewa basi leo nataka nikufumbue masikio vzur. Ngekewa ni mnyama aishie porini moja ya tabia kuu zake ni kupendwa na wanyama wenzie. Anapokaa ngekewa hukuta kila aina ya wanayama na ndege na hawamdhuru. Kwa maana hiyo ngekewa ni mnyama ambaye anapendwa na kila mnyama alie mbugani hali hii inasababisha vtu vyake kutumika kutengenezea dawa za mivuto. Mnyama huyu hupatikana kwa msimu na kumuona kwake ujue una bahati sana anaishi kwenye majani marefu kandokando mwa mito au maziwa makubwa. Dawa za ndere NDERE zmegawanyika katika makundi mengi kulingana na uhitaji wako ila mara nyingi ngozi ya mnyama huyu ndio hutengenezewa ndere. Manyoya yake huchomwa na kutoa unga kisha huchanganywa na dawa nyengine za mivuto huchanjwa mtu ambaye anahtaj ndere ya mapenzi basi atafukuziwa na kila mtu na kila atakayeongea nae atampa atakacho. Pia una

FAHAMU KUHUSU MKUYU MTI WA UTAJIRI NA MAAJABU YAKE

Image
UKIFANIKIWA kuliona ua la mti huu na kulichuma na kulimilikia dhiki ndogo ndogo zitakuendea mbali kwani mkuyu uaningia kwenye miti inayomilikiwa na majini wa heri. Sifa za mti huu kwanza huvuta maji panapo mti huu huwa hakuna shida ya maji hata ukichimba shimo pembezon mwa mti huu basi unaweza ukaheuza kuwa kisima. Mti huu una maajabu kuanzia majani magome yake na mizizi. Fuatana na mi mwamzo mpaka mwisho wa makala haya. Hedhi isiyokata Kama umepigwa kitu cha kichawi unableed mfululizo tafuta magome mkwayu kisha chemsha tumia kwa kunywa kwa siku saba  Mtoto kususa ziwa. Chukua majani ya mkuyu chemsha kunywa wewe mzazi na utamuogesha mtoto kwa siku tatu asubuhi na jion wakat unaendelea kunywa endelea kumpa mtoto nyonyo Hii ina saidia hata wale wasiotoa maziwa au maziwa machache tumia itakuongezea ma,iwa. Pia kama una jini anayemtisha mtoto tumia kujifusha mzazi itakusaidia. Maradhi ya chango Majani mkuyu chemsha kiasi cha kiganja chako kwenye maji lita moja iache ibaki nusu lita. Kisha

FAHAMU FAIDA NA MATUMIZI YA MTI WA MBUYU KATIKA AFYA NA TIBA ASILI

Image
FAHAMU FAIDA NA MATUMIZI YA MTI WA MBUYU KATIKA AFYA NA TIBA ASILI BAADA ya kuongelea kuhusiana na mkuyu sasa tuangalie mti wa mbuyu. Mbuyu ni miongoni mwa miti mikubwa duniani na ndio miti inayoongoza kwa umuhimu kulingana na ukubwa wake. Mti huu hutumika kwa shughuli nyongi za kichawi na tiba na afya kwa ujumla. Kichawi hutumika kuhifadhi vitu vyao kama ungo wa kusafiria. Chuma ulete. Vitu vya kuadhibia watu. Huhifadhia misukule pia wakati mwingine hutumika kama eneo la makutano vitu hivi. Ukiosogelea mbuyu wenye mapango ukithubutu kuchungulia ndani iwapo macho yako mazuri utaona vtu vya ajabu na vikubwa vinavyofanyika hiv sitaviongelea. Pia mbuyu hutumika kufungia watu vifungo kama eneo unaloish kuna mbuyu mkongwe angalia utaona misuli imepigiliwa na vikaratas au bati ujue kashapigwa mtu lock hapo kufanikiwa mtihani.   Tuangalie faida za kiafya Majani ya mbuyu ule mchanga hutumika kama mboga hasa upande wa pwani watu hula sana. Ulaji wa mboga hii inaweza kukupa faida zifuatazo, huti

MAAJABU YA MTI MVINJE KATIKA TIBA ASILI NA KUTIBU MARADHI MBALIMBALI

Image
FAHAMU KUHUSU MVINJE NA MAAJABU YAKE KWA DAWA ASILI NA KINGA KWA MAPAFU MTI huu hupatikana zaid kandokando mwa bahar japo siku hz kuna watu huoanda majumbani kwao. Ila ninao uzungumzia hapa ni mti wa baharini nayo pia ipo ya aina mbili . Ipo inayoota ndani ya bahar hii huwa si mikubwa sana na ile inayoota pembezon mwa mwa bahari. Bara la Asia wenzetu wameendelea  wanatumia mafuta ya mti huu kama sehem ya kukinga ngozi zao kulingana na magonjwa nyemelezi ya ngozi na nywele. Mti huu majani yake yapo kama miba yana uasili ya urefu na kuchoma na si upana. Ukichukua majani na hyo mbegutunda zake mbichi ukazichemsha ukatumia kama chai inaweza kupunguza magonjwa ya shambulizi ya moyo kukupa usikivu mzur wa masikio kwa wale wenye usikivu hafifu (sio viziwi). Hukuoa upumuaji mzuri hukinga mapafu dhidi ya magonjwa shambulizi hasa kipindi hichi cha corona. Uandaja wake chukua majan yake na tunda zake chagua za kijan yaan zile bado mbch au changa kias cha kiganja chako.chemsha kwa dkka tatu mpaka

KUHUSU KITUNGUU MAJI TIBA NA KUREJESHA MPENZ

Image
KUHUSU KITUNGUU MAJI KATIKA AFYA NA KUREJESHA MPENZI. Leo nitaonglea faida za juic ya kitunguu maji kisha nitagusia kidogo katika kurejsha mpenzi. Masomo haya huwa tunaeleza kwa upana kwenye group la whatsap kila ifikapo saa mbl usku. Chukua kitunguu maji kikatekate vipande vidogo kisha saga upate juisi yake. Hakikisha huwek maji hata kidogo wakat na baada ya kusaga. Chuja iwe saf makapi katupe soma makini matumizi yake. Juisi yake kama utapaka kwenye nywele zako kisha baada ya nusu saa ukaosha na maji bard itakuza nywele zako na kuzifanya kuwa nyeus pia hukmbiza mvi. Ukinywa kikombe cha kahawa kuna uwezekano mkubwa wa kukinga na kupunguza maumivu ya vidonda vya tumbo. Ukinywa nusu saa kabla ya tendo la ndoa kwa mwanaume kuna uwezekano mkubwa wakuhimili tendo hilo kwa muda mrefu zaidi ya kawaida yako. Ukiweka matone matatu sikioni humaliza maumivu ya sikio na kusafisha uchafu uliopo sikioni Ukichukua juis hyo ukachanganya na asili na mafuta ya zaitu uwiano sawa ni tiba ya m

DAWA YA UKOJOZI KITANDANI KWA WAKUBWA NA WATOTO

Image
KUKOJOA KITANDANI CHANZO NA TIBA YAKE AWALI ya yote napenda kuwakumbusha kuwa nina jumbe nyingi inbox yangu hivyo nitaendelea kuzijibu kidogokidogo kuwa na subira ujumbe wako utajibiwa na wale wanaohitaj group la whatsap link ipo chini ya makala. Kuna ukojozi wa aina mbili ambao huwafanya watoto wadogo na watu wazima kujikojole kitandani. Umri wa kujua kama mtu ana tatizo la kukojoa kitandani ni kupita miaka sita. Kuanzia miaka sita kuja chini hapo ni tatzo la malezi na sio tatizo la kiafya. Unatakiwa mtoto usimzoeshe kumvalisha pempas wakati wa kulala humfanya alilax akiwa usingizin hvyo tendo la kujikojolea huwa zur kwake iwapo utamvalisha nep itakuwa inamuasha akijikojolea hvyo humpa karaha humjengea woga. Aina ya kwanza ya ukojozi ni ukojozi wa mishipa  hii hata wakubwa huwatokea lakini si mara kwa mara unaweza ukalala ukaota unakojoa alaf ukakojoa kweli, tendo hili kitaalam halina madhara. Wakat ukiwa umelala na kibofu kikajaa mkojo na kinahtaji uchafu utoke ili wewe binaadam usid

FAHAMU KUHUSU MNYONNYO FAIDA NA MATUMIZI YAKE

Image
FAHAMU KUHUSU MNYONYO TIBA NA MATUMZI YAKE. MTI wa mnyonyo una faida kubwa sana katika matibabu asili kuanzia majani mti wake mizizi pamoja na mbegu zake. Mti huu una sumu kali sana inayoweza kuwa kiumbe ndani ya dakika 30 tu iwapo haitatumika kwa kufuata taratibu zilizowekwa. Wanga na wachawi pia hutumia mti katika kuwaua watu kimaendeleo, kufunga watu vizazi.nk haya nitafafanua kwenye group. Leo tuongelee faida za kiafya. Mbegu za mti huu hutumika kama mpango wa uzazi kwa njia za asili. Hapa yanahtajika maelezo marefu maana unaweza ukaua kizazi kama hujapata mtaalamu wa kukueleza namna ya kutumia na mbegu gani hasa zinatumika na ni muda gani wa kutumia kuna makala kwenye page yangu inazungumzia njia za uzazi za asili tafadhali isome utapata uelewa mpana. Kwikwi Jaza maji kwenye jani mpe mgonjwa anywe kila baada ya dakika 3 mpaka kwikwi iishe.  Kutibu miguu inayo uma  Tumia majani kwa kufungia miguu inayouma. Maumivu Ya Mgongo  Majani yake ukiyapasha moto yafaa kukanda mgongo wenye ma

FAHAMU KUHUSU MAFUTA YA MCHAICHAI FAIDA NA MATUMIZI YAKE

Image
MCHAICHAI MMEA NA MAFUTA YAKE TIBA KWA MARADHI YA UREMBO ASILI. NILIWAHI kuongelea kuhusu mchaichai kwa urefu jinisi inavyotibu maradhi mbalimbali na kuhusu masuala ya mapenzi kama ilikupita itafute kupitia page yangu ya mtabibu asili tz. Leonitaongelea faida za mafuta pamoja na mchaichai wenyewe. Asili ya mchaichai ni bara la Asia hasa nchi za falme za kiarabu. Mafuta yake asili hutokea huko Asia kwan ndiyo wenye ujuzi wa kuyandaa vzur. Mafuta ya mchaichai yana faida nyingi sana kwa maradhi ya ngozi na urembo wa wanawake. Ukichukua mafuta ya mchaichai ukachanganya na mafuta ya zaituni 'oliv oil' ukipaka kwwnye nywele utazifanya kuwa nyeusi kuondoa mba kujaza nywele. Huondoa mabaka kichwan kwa watoto hhondoa mapunye sugu. Huondoa utangotango matumizi ni kupaka sehemu iliyoathirika. Ukichukua mafuta ya mchaichai ukachanganya na mafuta ya nazi ni dawa nzur ya maumivu ya kufanyia massage mwili mzima. Ni mafuta mazur kwa watoto wadogo. Kwa maumivu ya miguu kuwaka moto kufa ganzi ch