SAYANSI YA MIMEA FAHAMU MAAJABU YA MCHEKEA MCHEKA CHEKA FAIDA NA MATUMIZI YAKE



NAAM karibu tena kwenye mfululizo wa darasa zangu zinazohusiana na tiba za asili na sayansi ya mimea. Unaweza kwenda pamoja na mimi kupitia ukurasa wangu wa mtabibu asili tz fb sambamba na youtube pia n mtabibu asili tz na group la whatsap link ipo mwisho wa makala haya.

Mti huu unajulikana kwa majina mengi sana wengine huuita nchema, mseka, msekela nk. Una asili ya kuota sana ukanda wa Pwani maeneo yenye mapori na hata maeneo ya makaburi. Una vitunda ambavgo vikiwa vichanga hufumba vikikomaa na kuiva hufumbuka na tunda zake zina rangi ya uekundu na unjano palae unapofunguka ndo wazee husema unacheka ndo maana halisi ya mchekea.

Tufahamu faida zake
MAJANI YAKE 
yanatumika katika matibabu mengi sana kwwnye tiba asili. Ukichukua majani machanga ya mti huu ukatafuna inatibu maradhi ya vichomwi vya mwili visivyoisha iwe tumboni miguuni mgongoni na sehemu yoyote ya mwili.

Pia ukichukua majani yake ukatwanga yale maji yake ukaoshe kidonda kisichopona utaona maajabu yake ukimaliza kuosha weka unga wa mzizi mti huu uliokauka na kutwanga.

Mizizi yake ukikausha ndani ukatwanga uoate unga wake yanatibu tatizo la vitu kutembea tumboni chukua maji vuguvugu kikombe weke kijiko kimoja cha chakula.


Kwa mvuto wa mwili
Endea mti huo na mchele ama mtama aidha jion au asubuhi ukifka mwaga kwa kurusha ule mchele huku ukisema wewe mcheka cheka kama unavyochekewa na watu na mm nataka watu wanichekee na kunipenda chukua majani na mizizi 
Rudi nhumbani twanga majani yako weka kwenye maji kama lita saba tia na sarafu iwe mia mbili au mia tano ziwe saba au 14 weka na chumvi na sukar weka n mtama

Kila asubuhi jua likichomoa amka chukua maji yako changanya na maji ya kuoga ya kawaida nenda kaoge sema kama jua linavyochoma na mm nichomoze vichwan mwa watu kama sukar inavyopendwa na mm nipendwe kama chumvi ilivyokuwa muhimu kwenye chakula na mm niwe muhimu kama mtama unavyomea shambani na mm nimee kwenye vichwa vya watu kama peaa inavyotafutwa na mm nitafutwe hivyo hivyo 

Fanya hivyi kwa siku tatu kila asubuhi zikiisha sku tatu zile fedha wape watoto sadaka usimpe mwanao wala mtoto anayekuhusu.

Ile mizizi utaianika ndani kisha utaitwanga upate unga utaisga gawa mara mbili 
Moja utachanganya na mafuta ya zaituni msio na karafuu utatumia kujisinga au kujisugua mwili mzima nyengine tumia na mfauta ya nazi pakaa pale unapoenda kutaguta riziki zako

Ukitafuna mzizi wa  mti huu ukiongea na mtu kitu anauwezo wakukuiskilza na kukutimizia hitaji lako

Mti huu hutengenezewa dawa za kuua kesi mivuto ya mapenzi dawa za kusikilizwa mvuto wa biasha na mambo mengine maelezo yake nitatoa katika group la whatsap 

Fb napatikana mtabibu asili tz

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI