BALAA NA MATUMIZI YA AMBARI NYEUSI KATIKA ULIMWENGU WA KIZA



NILIWAHI kuzungumza ambari kwa ujumla, pia nikaweka darassa linalohusu ambari nyeupe. Nilifafanua faida zake na matumizi yake katika tiba mvuto wa biashara na kulinda mali ikiwa ulipitwa pekua post zilizopita. Nilipokea oda nyingi za ambar waliopata walishukuru lakini pia nilipokea malalamiko kuwa ambar walizonunua madukan nyingi hazikuleta majibu yale niliyoyasema.


Kwenye ile makala nilieleza kuwa ambar yenyewe halisi huwez ipata kwa bei rahisi, sasa mtu kauziwa ambar elf tano, elf 30 au elf 50 hiyo automatic ni fake. Pia wapo wanauza ambar bei ghali lakini pia sio halisi cha muhimu ni kuwa na makini fika kwa watu wanaoaminika katika maeneo unayoishi ambao unajua watakusaiaidia kiwepesi. Sina maana kwamba madukan hakuna ambar halisi lahasha.

Leo tuangalie ambari nyeusi, hii imegawanyika katika mafungu mengi lakini hapa nitaeleza kwa ujumla baadhi ya matumizi ya ambari nyeusi. Hii hutumika sana katika shughuli za kupiga vitu na kuondoa vtu vigumu. Hii ikiwekwa kwenye kurogea huchomoki, watu wengi wenye kufanya kazi za kutesa watu huwa hawakosi ambar nyeusi na unga wa ndengu 'ni unga ya mifupa ya maiti ya mtoo' hutumiwa sana na wachawi.

Hapa nitaeleza kwa uchache matumizi yake katika tiba za asili. Kwa ajili ya kuzuia wezi nyumbani au eneo lolote, tafuta majani ya kisamvu cha muogo aina ya mpira, huu unakuwa mkubwq sana na hauliwi muogo wake. Mti huu unafaida kuanzia mizizi shina lake mti na majani yake nitaufafanua kwenye group kwa upana. Ila katika kazi hii yanatumika majani yaliyoanguka yenyewe yale makavu. Pia upate majani ya mbaaz mkongwe uliofunga kuzaa pia majani yaliyoanguka yenyewe upate na vijiti vyake vilivyokauka.

Mbali na hivyo uwe ambari nyeusi, miatu sayla, chumvi ya mawe ya baharini na kitambaa cheusi. Maandalizi yake utatwanga hayo majani yote na vijiti vya mbaaz kisha utachanganya na hzo dawa nilizotaja kwa manuiz maalum kwqmba nakinga boma langu kwa ajili ya wezi utaweka kwenye kitambaa cheusi utafusha na fusho la nyota yako kisha fukia katika kizingiti cha mlango hatoingia mwizi hapo, kazi hii ifanyike siku ya Jumanne usiku au Jumamosi.

 Kwa zindiko la wachawi wpite nyumba wez wasiione au wakiiba uwakute kuna vtu vinaongezeka hata ufanyaji wake ni wakitaalamu atajkhitajika kundoo mweusi dume lililopita miaka mitatu, majani ya mbuyu na visomo vya haja hii hukinga shamba na eneo la biashara kwa wezi na wachawi.

Kwa mtu mwenye kushtuka mara kwa mara kuwa na wasiwasi unasumbuliwa na jinamizi usiku. Utachukua mafuta ya zaituni, unga wa kitunguu saumu, ambar nyeusi na mvuje uponde upate unga wake utaweka vyote kwenye hayo mafuta ya zaituni. Matumizi utakuwa ukipaka mara mbili kwa siku ndani ya siku 7

Pia unaweza ukatumia kuzima uadui au kumuhamisha adui itahitajika ambari nyeusi, habbat rashad chungu kipya na makapeni nyeusi utaandika jina au majina yao kwenye chungu na talasimu ya faraqa pitia www.tabibuasili.blogspot.com zipo hizo za falaq kisha utatumia jiko la kuni utaweka hicho chungu utaweka na hizo dawa zako utakuwa unakoroga huku unanuia unachokitaka mapak chungu kiwe chekundu zile dawa ziwe zimeungua kabisa

Epua chungu kichie juu ya ngozi ya mnyama aliyekufa mwenyewe  kisha utafunga kama fundo hivyo vitu viwe ndani ya ngozi nenda kafukie pembezon mwa mto au bahari katika mti uliokufa majibu kaa saba tu

Hizo ni baadhi ya mabalaa ya ambari nyeuis hii haitumiki sana kwenye mivuto hii ni kuchapa tu na kupooza vtu. Inatymika pia katika mapenzi kumpooza mtu mkorof hakupi kile unachotaka hili na mengine ni kwenye group.

Mambo muhimu yakuzingatia ile ambari nyeupe haiuzwi bei rahs. Amabri nyeusi zinapatika madukani na ni bei rahisi

Una matatzo yoyote ya afya, uzazi, kazi, biahsra, mapenz, kesi, kuibiwa, nguvu za kiume, kukuza dhakar nk niachie maelezo inbox

+255621442936 
Whtsp group ni la malipo


Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI