FAHAMU KUHUSU UTAJIRI WA MAKAFARA MISUKULE NDONDOCHA CHANZO NA MADHARA



JANA nilizungumzia kuhusiana na utajiri wa majini makafara pete za majini pamoja na pete za bahati kama hujasoma angalia iliyopita chini kwenye ukurasa huu.


Kiuiweli utajiri una siri kubwa sana nyuma yake, na si utajiri tu hata ushindi wa jambo lolote kubwa kuna makafara yanafanyika. Kuna makafara kwenye karibia kwenye kila eneo hapa duniani ambalo watu wake wanajishughulisha au kutegemea nguvu fulani kupata vtu.

Kafara ni sadaka au zawadi inayotolewa na watu fulani kwa lengo la kupata kitu fulani yaweza kutolewa kabla ya tukio au baada ya tukio. Nikiwa namaana yaweza ukatoa kwanza kafara ili jambo lako liende sawiya au unaweza ahidi ili jambo lako litimie ndio utoe sada. 

Kama umewah kutembelea kwenye nyumba za matajiri wengi wenye pesa hasa sio visent lazima utakuwa vtu vifuatavyo kwanza atakuwa na mtoto mmoja hana akili vzur au mlemavu au kuna chumba hakiingiliwi na mtu jaribu kufanya utafiti kuna siku utakuja gindua hili, lakini fahamu sio matajiri wote wanatoa makafara.

Wale watu wanaoonekana hawapo katika hali ya kawaida wwkati zaman mlikuwa mkivheza nao lakini mkasikia amechanganyikiwa na wazaz wake wana uwezo wa kumshughulikia lakini wamemfungia ndani hiyo pia ni kafara.

Lakini pia kuna watu wanamiliki hayo mandondocha lakini hali zao si matajiri hawa ni wale wachawi ambao huto sadaka ya watoto wao ili kupata aidha cheo au uwezo fulani wakati wakiwa kwenye shughuli zao. Macho ya kawaida unamuona masikini lakini usiku anamiliki ghorofa na usafiri yaan watu hawasafr bila yeye na vtu vyao huwekwa kwenye miti mikubwa hata nyumba zao zipo juu ya miti.

Ukiacha hao wanaooonekana ambao ni mandondocha ipo misukule ambayo haionekan hii pia hutolewa kama sadaka ila wakat mwingine hata mtu wa kawaida ukiwa unaringa mtaan umewakosea wanaweza kukuweka msukule kimasimango.

Sasa mtu ataenda kwa mtaalam wake kuwa anataka utajr atapewa mashart kwwmba angoe mti au akate mpapai akifanikiwa hvyo anakuwa tayar amemtoa aidha mama baba au mtoto wake na hii huwa haonekan mnaona mtu kafa mnazika lakini huyu mtu anakuwa kwenye matumizi mengine ambayo hamuwez ona kwa macho ya kawaida.

Kwa mfano kwenye maduka makubwa unaweza kuwakuta wale wapo nje kazi yao kuita watu hvyo wateja mnajaa lakini wale hamuwaon mpaka uwe na jicho la tatu. Wengine hutumikishwa kwenye shughuli za uzalishaji mali mfano tajr mwenye shamba anawatumia kwa kulima nyakat za usiku.

Inawezekana pia tajr akapewa huyo mtu arud nae nyumban achague chumba kimoja ambacho atakuwa akiingia yeye mwenyewe kwa kufanya shughuli fulan tu aliyoagizwa na mtaalam wake.

Hapa kwenye mandondocha wapo wanaobogesha bishara. Wapo wanaokupa mali tu kulingana na matengenezo na maagano

Utofaut kati ya ndondocha na msukule ndondocha anaonekana ila huwa hana akili nzur huwa wanazivuruga pia huwa hujasikia kama alikufa utasikia tu aliumwa ghafla akili zikaruka au kuwa mlemavu ghafla. Wakat msukule lazima afe kwenye macho ya kawaida na mtaona mwenda zika pia huwa haonekan katika ulimwengu huu wakawaida.

Naomba nielewke kitu kimoja nimetoa mfululizo wa makala hizi nikiwa namaana watu mfumbuke macho ila sina nia ya kuunga mkono vtendo hvyo na wala sifanyi hvyo vitu maana jana nimepokea watu weng wanataka utajiri m sitoi utajiri wala similikish watu majini wa pesa mm natoa tiba tu na hizo pete za bahati narejea tena mm sifanyi shughuli za utajri wa makafara wala aina yoyote inayohusiana na hzo uktaka pete tumaujumbe inbox utatengenezewa kulingana na nyota yako. Toleo lijalo nitazungumza kuhusu ndagu

Una tatzo lolote la nyota biashara kesi kuibiwa mapenzi kuuza ndoa jini mahaba nguvu za kiume uzazi kukuza dhakar nk niachir ujumbe inbox

+255621442936

Group la whatsp ni la malipo kwa wanaohitaji.

Comments

Popular posts from this blog

MAFUSHO MADINI YA KILA NYOTA NA JINSI YANAVYOTUMIKA

NDOTO ZA FEDHA NA TAFSIRI ZAKE UKIOTA UMEOKOTA HELA. UKIOTA UMEDONDOSHA HELA. UKIOTA UNAPEWA HELA

FAHAMU KUHUSU MTI NDULELE TURA FAIDA NA MATUMIZI KATIKA AFYA NA MAPENZI